Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Huwa najiuliza kama ni muhimu kuwa na mamia ya "Waheshimiwa Wabunge" na utitiri wa Madiwani. Niliwahi kuambiwa "Hao ndio wawakilishi wetu wanaoikoromea Serikali ishughulikie matatizo yetu pamoja...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kauli hii alisikika mlevi mmoja akiropoka kua anajutia sana kuishi Tanzania.Lakini sikumpuuzia,nikamuuliza kwa nini?Akasema,alikua anapata milo mitatu,sasa ni mmoja,alikua anapata bia,lakini sasa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
CDM wameingia muafaka na CCM, Ni muafaka wa kwanza kabisa duniani usio na mazungumzo ya pande mbili zinazovutana. Kwa hili inatuonyesha ni jinsi gani chama hiki kimewasahau wahanga wal6waga damu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vipo vipato vingine ni vigumu sana kuelezeka vikaeleweka kwa akiri ya kawaida isiyotaka kujisumbua kutafiti zaidi, matokeo yake huishia kusema kuwa JAMAA KAKWAPUA BENKI! au akikustahi sana utaitwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanaharakati wote watakubaliana na mimi kwamba haki mbalimbali zinavunjwa kila siku kupitia usafiri wetu wa public, hasa ndani ya jiji za dar es salaam. Haki za watoto ( hasa wanafunzi), wakina...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari JF! Naomba kuambiwa hizi sikukuu May Day na 7 7 mara 8 8 zinahusu nini katika jamii ya waTz? Zinatunufaisha wengi au ni wachache? Halafu maana ya hii sikukuu ya saba saba ni sikukuu ya...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Serikali kupitia Kikosi Maalum cha kupambana na dawa za Kulevya, inamshikilia Mchungaji wa Kanisa la Lord Chosen Charismatic Church lililopo Kinondoni Biafra jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
huyu waziri wa nishati na madini a.k.a umeme anatania,jamani tutoke nje maana hali ni mbaya hana lolote , eti kasoma havardi ,havard gani hii ? tumechoka na uongo wake
0 Reactions
1 Replies
992 Views
NI, HASSAN MOHAMMED NDULI SADY ABDUL HEMMED DENENGO SEFU HABARI ZAIDI GONGA HAPA wabongo acheni tamaa mkiwa nje mpaka kujiingiza kwenye mauaji,maana sasa yanawarudi maana nasikia hawa wabongo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wapo waliopata wachumba na kuoana hapahapa JF, wapo wanaofanya biashara na kufanikiwa kupitia hapahapa JF, wapo wanaopata mawazo ya biashara na kijasiriamali. Kuhusu elimu ndio usiseme, JF ni...
3 Reactions
62 Replies
5K Views
Jamani natahitaji decorder nzima ya Startimes, kama kuna mwanajamvi ambaye ana taarifa za iliyoko sokoni tafadhali tuwasiliane kupitia qfisha@yahoo.com.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukifika kwa sasa hapa ujionee utawaonea huruma,ni wanafunzi wa Social mwaka wa tatu wanawahakiki upyaaa yani ili wapate haki ya kurudi masomoni then mahali penyewe ni hapa jirani na Duwasa kuna...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mungu aiweke roho ya marehemu peponi.
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Eti ukiongeza salio kwa Tigopesa utapata mara2!!! Lakini kumbe badala ya kupata mapeni mara 2 unapewa bonus ya dak. za nyongeza ambazo zinaexpire within a limited time!!!!!<br>Wizi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wahadhiri Ustawi wa Jamii wagoma kufundisha Wahadhiri wa Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini Dar es Salaam wamegoma kuingia darasani kufundisha wakiushinikiza uongozi wa chuo uondoke na bodi yake...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wapendwa nimeona niwa-alert kwa wale wanaopenda kugonga gahawa asubuhi asubuhi, Nilikua manyanya pale, Vijana wote wapiga debe na hata wale waliokuwa wanapata gahawa ili kusubiri Usafiri au kuvuta...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Viongozi wetu ni watu wasiopenda kufikiria! Tanzania imepewa sifa na Marekani kwamba ni nchi yenye demokrasia Afrika, ikaona iwakaribishe wamarekani waibe rasilimali zetu. Sitaki kuwaona...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Maswali yote tuliokuwa tunajiuliza kwa muda mrefu sasa, kuhusu Kakobe, yapo peupe. Habari hizo zimemwaga humu cheki link hii...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Wakati wengine wakifa njaa wengine wanaona laki si hela. Hapo chanika kuna kijiji kinaitwa lakisihela kwa maana kwamba mtu anayeishi hapo kutoa rushwa ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom