Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wana JF The Honorable Minister Louis Farrakhan, of the Nation of Islam jana aliwaeleza kinaga ubaga bila kumung'unya maneno ile tabia yao ya kupambana na viongozi wa Africa wanao onekana wapo...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani, Nimekuwa najiuliza mara nyingi sana, ni kwlei kwamba siasa ni uongo na huwezi kuwa mwanasiasa bila kusema uongo! Kama hekaya za abunuasi??? Nimemsilkiliza sana Mh Rais alipohaidi kwua...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ni kwa masikitiko makubwa imenibidi kuandika yafuatayo kwa lengo la kuwakumbusha wabunge kilichowapeleka Bungeni Nimekuwa nikifuatilia mjadala unaondelea wa bunge la 10 kikao cha 4. Mheshimiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawa ni vijana wakiTanzania wajasiria mali walioko UK na shughuli zao kubwa ni kupiga video za matukio etc Sasa takriban mwezi mmoja na uchee walipiga video pale kwenye mkutano wa diaspora na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
CCM ikiwatimua ‘mapacha watatu’ tutawapokea-AFP Na Mwandishi Wetu, Zanzibar CHAMA cha Wakulima Tanzania (AFP), kimeweka bayana msimamo wake kuwa ikiwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaamua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu JF,uchaguzi uliokuwa umepangwa ufanyike leo tar 16 June 2011,umeahirishwa baada ya mgombea nafasi ya uenyekiti ya tume ya uchaguzi wa serikali ya wanafuzi aliyeshindwa kwenda mahakamani...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
John Vidal and Claire Provost guardian.co.uk, Wednesday 8 June 2011 20.18 BST larger | smaller US universities are reportedly using endowment funds to make deals that may force thousands from...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo ni siku ya Mtoto wa Afrika....mtoto ambaye amekosa matumaini.....mtoto ambaye unamkuta anaombaomba pembezoni mwa barabara,mtoto ambae anaikosa elimu japo ni haki yake....mtoto ambaye Konyi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The debate on allowances paid to civil servants took a new turn yesterday when former German president Horst Kohler warned the government that its image was at stake. Prof. Kohler said tht donors...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu wana-JF! Binafsi nimekuwa hapa JF kwa muda mrefu sasa, shukrani kwa maxence na wote walio nyuma ya JF: Jukwaa hili sasa ni kutaniko kuu la Vijana, Wazee, Wasomi, Wanasiasa (Vyama Vyote) na...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Nakubaliana na hili juu ya hawa wafanyakazi kiufanya kazi kwa nguvu zao zote lakini mwisho wa siku hawapati posho, kama vile Polisi halipwi posho kwa kulinda, mwalimu halipwi posho kwa kuingia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haingii akilini vitendo vya kuvamiwa raia majumbani mwao na majambazi katika mtaa mmoja, kwa siku tano mfululizo, tena karibu sana na makao makuu ya mkoa. Vitendo vya Ujambazi mjini Morogoro...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana usiku mida ya saa tatu kulikuwa na tukio la kupatwa kwa mwezi.Hili ni tukio la kawaida lakn linahitaji kubainishwa kwa watu ili wale wasiofaham kuwepo kwa tukio hlo waelewe. Kwa mtu ambaye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hebu chunguza graph hizi mbili uone ni bajeti ipi inawajali watanzania. Quality
0 Reactions
0 Replies
823 Views
Kada maarufu wa CCM na katibu msaidizi wa chama - Moshi bwana Porokwa aonekana kuwa gamba linalotakiwa kuvuliwa ndani ya chama baada ya kuwashutumu wateuliwa wa JK na kuonekana anashirikiana na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika kuzitokomeza tamaduni za nchi za magharibi, serikali ya Iran imesambaza jeshi maalumu la watu 70,000 watakaokuwa wakiwatia mbaroni wanaume wote watakaokamatwa wakiwa wamevaa chini au...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Salama wana jamii? Kwanza napenda kuchukua fulsa hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kunijalia kuiadhimisha siku hii ya kuzaliwa tena furaha iliyoje inakuwa siku ya kipekee kwa wanaafrika wote kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari hii imenistua kiasi kikubwa na imetoka katika gazeti Mwananchi la jana (15/06/2011)...Kwa mwendo huu tutafika jamani wa Tanzania wenzangu? Mh anajitetea kwa kusema SHETANI KAPOTEZA...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Salaam aleykum,wanajamiiforum. Mimi ni mchezaji wa Pooltable. Kama kuna watu wenye Interest ya mchezo huu basi nawakaribisha kwenye Meza kwa kujiunga na www.netlog.com Jisajili ili tucheze...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbunge wa viti maalum mh dk rwakatare -mch; ametoa mpya pale alipoulizwa zile fomu zako ziko wapi akadai nilizileta sikunyingi na nazanishetan atakuwa amezipoteza ili kuniaribia... Alisema hayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom