One evening an old Cherokee told his grandson about a debate that goes on inside people.
He said,"My son, the battle between two wolves is inside us all.
One is Evil. It is anger, envy, jealousy...
Ki-ukweli kaka wengi wanasema mengi kuhusu tabasamu lako na uvivu wako katika kukemea na kufuatilia bila kumuachia pumzi kwa yule unaye mbana, mimi nimefahamu sasa kuwa vyote hivyo ni kutokana na...
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri...
Ndugu Wanajamvi,
Nilikuwa 'nachat' na mkenya mmoja akaniuliza "Hivi na nyie vitu vimepanda bei kama huku kwetu?". Nikamjibu "Ndiyo tena Chama Cha Upinzani, CHADEMA kinafanya maandamano nchi nzima...
Mildred Patricia Baena is the mother of Arnold Schwarzenegger's out-of-wedlock child, according to ABC News. Baena, who goes by Patty, reportedly had the child about 14 years ago. She worked for...
Jamani mimi nimeamua kujivua gamba rasmi na si mwanachama wa Chadema tena hapa Arusha, bado sijaamua niingie chama gani ila nipo nipo kwanza nikiangalia chama muafaka. Magoma nitafute nikukabidhi...
Balozi Seif Iddi na Waziri Nahodha jibuni hoja hizi za Uamsho
May 18, 2011 by zanzibardaima
Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar
Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu ya...
Hivi ndo tuseme Dar hiii hakuna mapori ya kufundishia
polisi kutumia siraha?
Naamini kabisa kwamba,hadi unafikia kuvaa magwanda ya polisi
na kubeba siraha unakuwa unajua jinsi ya kuitumia...
Ndg zangu, niliwahi kusikia kuwa kuna mkakati wa kuboresha kilimo Tanzania maarufu kama 'kilimo kwanza'. Mimi ni mkazi wa kjjn kabisa(kagera). Huku kwetu sioni mbolea wala trekta wala hizo...
mweshimiwa rais nnajiuliza maswali mengi sana siku utakapoanza kutembelea wanachi wako kama kawaida ya marais wanavyofanya,maswali haya yanatokana na jinsi wabongo walivyoamka na wana hasira...
Miaka 50 ya uhuru umeme tu umetushinda!ni laana,ni bahatai mbaya,ni ujinga,ni umaskini wa fikra,ni kupumbazwa au ni kitu gani hiki kinacho sababisha tusherekee miaka 50 ya uhuru wetu bila ya kuwa...
Reginald Miruko
Sekretarieti ya CCM inaendelea na kampeni mikoani kuhusu KUJIVUA GAMBA. Lakini ghafla wimbo wao umebadilika, chorus ya 'mafisadi ndani ya CCM' ikawa 'Mafisadi wa CHADEMA'...
Ndugu Zangu,
Pichani ni ' Chifu' wa mtandao wa Tanzanet, Mzee Yussuf Kalala. Nilikutana nae Dar jana. Tuliongea kwa kirefu. Mzee Kalala ana mengi ya kuelimisha, ikiwamo maarifa ya kihistoria...
Watanzania nashindwa kufahamu kwanini wabunge wengi hasa wa Magamba wanapenda sana kuishi Dar na kuwakimbia wananchi wao waliowachagua.
Hivi kuna haja gani ya kumchagua Mbunge ambaye hakai...
Punda ni mnyama mwenye sura mbaya sana.Pamoja na hivyo Binadamu wote;wake kwa waume wanamuheshimu sana mnyama huyu.Si kwa ajili ya uvumilivu wake tu kutokana na kazi nzito bali kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.