Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna habari zilizozaaga hapa Arusha ya kwamba kuna dogo mmoja aliye2a Samunge kwa Babu na kupata kikombe, lakini baada ya hapo wakati anarudi mambo yaligeuka na kuwa kama mbogo aliyejeruhiwa na...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nilikuwa napiga stori na ndugu yangu mmoja kuhusu kesi ya Strauss-Kahn na kukumbushana jinsi wale wanajeshi wa Uingereza waliotuhumiwa kubakwa walivyoachiliwa kwa moyo mkunjufu na serikali yetu...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Wana JF naombeni kama kuna mwenye utaalamu wa kutuma habari au taarifa kwenye mtandao anisaidie,namaanisha hata kama sina website,najua huenda suala hili likahitaji shule ya mda mrefu lakini just...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Saif al-Adel, ambaye aliwahi kuwa afsa mwanajeshi wa kikosi maalum katika jeshi la Misri, anasemekana kuwa kwa sasa ndiye aliyechukua nafasi ya Osama bin Laden, ambaye aliuawa na jeshi la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana Jamii, Nimepata taarifa kwamba kuna mwanafunzi ameuawa pale Chuo Muhimbili. Mwenye taarifa kamili au aliyepo karibu na maeneo hayo atujuze tafadhali.
0 Reactions
44 Replies
5K Views
WASANII wa kikundi cha Jakaya Theater wamekumbwa na simanzi baada ya mkurugenzi wao kufariki dunia kwa kuangukiwa na kontena maeneo ya Kimara Resort jijini Dar es Salaam Msanii huyo aliyefariki...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
consider, how she make it to the end of the day working so hard just to get paid as a single parent life aint easy playing the role of mom and dad Repeat Chorus Verse 1 woman I thank you...
1 Reactions
0 Replies
807 Views
Kuna wakati tufike tuseme neema ya mungu isimame na hawa viongozi wetu kumekuwa na matatizo sana kwenye baadhi ya makanisa ...majuzi nimefutahi kusoma gazeti la nyakati likisema kuna mtu mmoja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamii heshima sana! Kwa uchunguzi mdogo nilioufanya kwa kipindi cha mwezi mmoja nimegundua kitu cha aibu na cha kusikitisha sana kwa kikosi cha trafik hususan kwenye mikoa ya Iringa na Mbeya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TRA imetangaza vita na CDM,imeanza kuifanyia uchunguzi wa kukwepa KODI,HI mamlaka siko zote huwa naiita chombo cha CCM cha kukandamiza wale wanaoikaidi au kwa wale au Taasisi inayodhaniwa ni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
PATENI MISTARI YA KWELI TOKA KWA BUJU NA HII NI WARAKA TOSHA KWA HALI TULIYONAYO While I'm living Thanks I'll be giving To the most high, you know Chorus I am living while I'm living to the father...
0 Reactions
2 Replies
797 Views
Wadau something has just come on my mind, msinishambulie tafadhali , nimeangalia kwa makini watoto wanaozaliwa na wazazi wa mixed races wanakuwa na future tofauti sana. Mathalani baba anapokuwa...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Serikali haina mamlaka ya kutupangia cha kujadili. MUSWADA wa sheria ya katiba mpya uliowasilishwa na serikali bungeni hivi karibuni na baadaye kuondolewa baada ya kukutana na upinzani mkubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wajemeni naombeni mnisaidie nashindwa kuelewa huyu mzee kulikoni na na chama cha hawa mafedhuli sijajua anaumuhimu gani katika jamii hii kwani umri wake upo tamati sasa kulikoni mbona hawamuachii????
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya wananchi wanahoji baadhi ya masuala ya muungano na wanaomba ujadiliwe katika pande zote mbili za muungano. Hilo likijitokeza wanaambiwa wanaleta chokochoko. Binafsi naamini kwamba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Baraza la Mawaziri latupiwa lawama kukubali wakimbizi NA DEGE MASOLI 17th May 2011 Baraza la Mawaziri limetupiwa lawama kwa kile kilichodaiwa kumshauri vibaya Rais Jakaya Kikwete, kuhusiana na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu hebu tujaribu kutoa mchanganuo wa wizara mojawapo hapa nchini mwetu halafu tuone kama kuna tija kwa mtu wa mwisho(mlipa kodi) nianze na mchanganuo wangu 1.kumkaribisha mh rais...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika hali ya wahadhiri vyuo vikuu kuendelea kuwatumia wanachuo kama sehemu ya kutimizia haja zao na kuonyesha umaarufu wao,sasa umeingia sura mpya baada ya Mwalimu mmoja(jina tunalo)wiki...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwema makaka na madada, I was abit tight ndo maana nimepotea jamvini, bahati mbaya simu yangu ni ya buku 15 na sina laptop hivyo the only means that I can use to access internet ni kwenda kwenye...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
LAGOS, Nigeria MUUMINI wa dini ya kiislamu anayetibu kwa tiba za jadi katika mji wa Bida, Nigeria, Bello Maasaba, ambaye alikamatwa kwa kuoa wake 86, ameendelea kuoa na kufikisha wake 107. Taarifa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom