Kuna kipindi kinaonyeshwa TBC1 KILA JUMAPILI baada ya taarifa ya habari, kinaonyesha matukio(MAZURI TU) kuhusu wizara mbalimbali na vitengo vyake, wanalengo gani hasa! maana wamerekodi tukio la...
Jana baada ya NAPE kushushiwa kombora na Mpendazoe kwamba yeye pia alikuwa mwanzilishi wa chama cha CCJ,wahandishi wa habari walipojaribu kujua upande wa pili unasemaje ilikuwa hivi
(Nape...
Baada ya Kukumbuka na kupitia utendaji wa serikali ya awamu ya tatu ya Mjomba Ben Mkapa pamoja na bashasha za sera na slogan yake ya ZAMA ZA UKWELI NA UWAZI! na pia nakumbuka alilivalia njuga...
Katika moja ya hotuba za baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliwahikusema kuwa mtu aliyefilisika kisera na kiakili atajidhirisha kwa kuanza kukimbilia udini, ukabila, ukanda. Sasa mambo hayo...
Tanzania ni tajiri katika rasilimali na bado watanzania wengi ni maskini. Kwa nini? Hiki
ni kitendawili kikubwa ambacho tunapaswa kukijibu.
Umaskini katika Tanzania sio ugonjwa ambao tiba yake...
chanzo:historic background.
kumbe jk the pres kasoma shule na aliejua mtumishi wa BoT bwn liyumba,habar zaid zinaeleza mr pres alikua kilaza na bwn liyumba alikua na akil nyingi kumzidi..ugomvi...
Ndugu wana JF napenda kuuliza kuwa TBC1 ni shirika la umma wa watanzania au ni shirika la CCM? Tukiangalia mwenendo wa TBC1 kwa kweli inatukatisha tamaa sisi kama wananchi wa Tanzania tunakuwa na...
Tukirudi nyuma tutakumbuka kuwa nyerere alikuwa anazunguka nchi yote kuwahamasisha watu ili wamuunge mkono dhidi ya ukoloni sasa CHADEMA na maandamano yao wana hamasisha wananchi wawaunge mkono...
Nilikuwa nafuatilia sana thread za huyo jamaa anaitwa mkuki moyoni,
zilikuwa na utamu kama za malaria sugu vile, ila amaepotea ghafla simuoni.
Nilitegemea ampe ms kampani, au na yeye kafungwa...
Swali langu linahusu taasisi inayoitwa takukuru naomba swali hili uniulizie bungeni nikiwa kama mlipa kodi wa nchi hii.
Takukuru mwaka 2010 ilitumia kiasi gani cha fedha kwa mwaka mzima...
By MATTHEW LEE
The Associated Press
updated 2 hours 19 minutes ago
2011-05-13T21:03:38
- Jackpot! Not so fast.
For a few joyful days, more than 20,000 people around the world thought they...
Wadau, em tujadili kidogo na hili la Arusha:
Hivi ? Huu msongamano wa magari (traffic-jams) katikakati ya jiji la Arusha kwa takribani siku zote za juma mfululizo (yaani Jumatatu mpaka...
Toka iibuke tiba ya huyu babu, gazeti la Mwananchi limekuwa likiandika habari hizo kila kukicha. Mwanzo walikuwa wakiifanya habar kuu na sasa wameamishia kurasa za ndani na kuianzishia makala. Je...
Wanafunzi wa kibaha sekondari wameonyesha ujasiri wa hali ya juu baada ya kuingia ktk chumba cha mitihani na kukuta maswali ya mitihani ya merudiwa toka necta 2008 na 2009.kibaya zaidi...
WIMBI la tiba ya kienyeji maarufu kama Kikombe linaendelea kugubika nchi na safari hii mwanafunzi wa kidato cha tano wa sekondari ya Buluba, wilayani hapa, amelazimika kuacha shule na kujikita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.