kama ilivyo tofauti ya milima na mabonde ndivyo yapaswa kuwa uadui kati ya waadilifu na mafisadi
Sijakosea msomaji wangu nayosema ndiyo haswa namaanisha kutoka moyoni yaani naomba usiku na...
Malumbano kati ya viongozi wa CCM na Chadema yamendelea kupamba moto, safari hii Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, akitangaza hadharani mshahara aliodai ni wa Katibu Mkuu wa chama...
Calsbash, kweli nakutuuzia bia Tsh 1800/= Ila katika muziki mnatuchakachua mnaweka CD then mnakanadamizia (copy and paste) hamna tija.
Hata mtu akitaka kuwasponsa atashindwa kwani mmejisahau...
Ndg zangu! Huyu ndg kwa wenye kumbukumbu kama mimi namkumbuka alikuwa ni mtangazaji mzuri sn wa radio ya jirani ze2 Kenya ila kuna taarifa ya kwamba alikuwa ni Mwene2 mzawa wa hapa Tanzania,KWA...
ISLAMABAD, Pakistani WATU 80 wakiwamo wanajeshi 65 , wameuawa na wengine 117 kujeruhiwa baada ya kutokea milipuko miwili ya mabomu iliyotekelezwa na washirika wa mitandao ya kigaidi wa...
CCM walivua gamba la unyerere na kuvaa lao ambalo linakitesa chama na kwa kweli halivuliki kirahisi. Ukiangalia historia ya familia ya Nyerere hakupenda kuwaingiza watoto wake kwenye siasa au...
Tumeshuhudia dr Slaa, zitto, Mnyika, na wengine wachache wakijibu hoja kwenye blog na Facebook. Pia wanatoa taarifa mbali mbali kupitia mitandao hii
Rais Paul Kagame na waziri wake wa mambo ya...
Leo TBC news, eti JK katoa pongezi za kuteuliwa askofu wa katoliki, mie naona Rais hili amekuwa mnafiki tu maana hizo pongezi za kuteuliwa askofu basi azitoe kwa makanisa mengine pia na hata...
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!
Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya...
Wakuu tutafakari mambo haya kwa kina.
CCM na M/kiti wao waliahidi kujivua gamba ili waweze kukubalika kwa jamii ya Tz. Kwa bahati mbaya wameshindwa (Binafsi, nilijua tangu mwanzo wasingeweza kwa...
Wadau hebu tusaidiane katika hili, mimi ni mkazi wa mji mdogo waTunduma mkoani Mbeya.
Hivi karibuni nilihudhuria mkutano wa Chadema mjini hapa na nimeishi hapa kwa muda zaidi ya mika 30...
Wana JF
Nimekuwa nafuatilia sana POSTS zinazowekwa kwenye ukurasa wa NAPE NNAUYE pale Facebook! Ni vichesho vitupu! Na wanaomsifia wote ni wana-CCM tena wengine tunawajua...
KATIKA kile kinachoonekana kuwa ni kumshinikiza Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi alizotoa wakati wa kampeni za urais mwaka jana, Chadema kimesema kitatumia kura za maoni kumwajibisha ikiwa...
Giza nene limeendelea kutanda ndani ya chama cha mapinduzi CCM kufuatia kile kinachoonekana udikteta wa sekretarieti ya CCM mkoa wa Dar es salaam kumwonea mbunge wa Kinondoni Bw Idd Azzan, taarifa...
Tunachohitaji watanzania kitakachotusaidia ni elmu ya uraia na elimu ya kujitambua...na hili ndilo wanalofanya CDM kwa sasa (ila kama kuna mdau ana objection nalo anakaribishwa...
Siku c nyingi zimepita kulikuwa na mkutano ulofanyika jijini Dar wa kujadili mambo ya uchumi kwa nchi za E.A na Africa kwa ujumla. Kwa kawaida mikutano hii huwa inafanyikia Arusha AICC au kwenye...
Kwa kufuatilia matukio tu nadhani CDM waanze kufikiria kuwa na Makao makuu au Kuamishia shughuli za Chama katika mikoa ambayo ni Ngome. Kikubwa waangalie influence ya hayo maeneo...Mkoa kama...
Leo asubuhi nimekutana na kituko cha mwaka, naomba nikiri kwamba hata mimi nilikuwa ni mjinga kwani sikutarajia kwamba jambo hilo nililolishuhudia linawezekana. Naomba nikiri kuwa hata mie...
Eneo la kimara resort Kontena limengukia watu watatu na kuwauwa, wawili walikuwa wapanda pikipiki abiria alikuwa ameshafika akisubiri chenji .mmoja katolewa wengine bado wako chini inahitajika...
Kinamama hawa waliamua kujitosa majini wakati wakitoka na wengine kuingia kupata huduma ya kliniki kwenye Zahanati hiyo.
WATU mbalimbali waliohitaji kuingia na kutoka katika Zahanati ya Mwenge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.