Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
p { margin-bottom: 0.08in; }a:link { } MALENGO...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari jamvini JF!. Nimekua nasikia maneno mengi kuhusu ndoto mbali mbali... Wasomi na wasio wasomi wakijadili hili swala la ndoto. Nami nimefurahi japo nitoe mchango wangu kuelimisha ni nini...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari waungwana JF! Hizi ni maana ya Uganga.Uchawi&Ushirikina. Loh! Jamaa wengi utawasikia wakilalamika na kutoa maelezo mengi kuhusu mambo hayo... Sasa tuanze kuyaelezea... 1-Uchawi ni nin...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na wimbi la watu kutoa tiba kwa kuwa wameoteshwa. Napenda kufahamu kama nikiota ndoto nitajuaje kama nimeota au nimeoteshwa? Nikiota labda nimemwoa binti wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tumeshuhudia kashfa nyingi huko Bongo lakini wakosaji hawawajibishwi,hivi ni kwanini?EPA,RICHMOND,KAGODA,MEREMETA,RADA,IPTL,KIWIRA COALMINE,UDOM na nyingine mnaweza kuziorodhesha hapa. Je hakuna...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Akina mama mpo! Tunaendeleza mapinduzi ya kijinsia na kuondoa mfumo Dume, tulianzia bungeni kwa spika mwanamke sasa katibu mkuu wa CCM lazima awe mwanamke........Wanawake oyeeeeeeeeee!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
je kuhamahama toka chama kimoja kwenda kingine ni kutafuta maslahi, kuwatetea wanyonge au uzumbukuku?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inasemekana kua chadema wanatumia mjadala wa muswada wa katiba kuleta vurugu nchini. Naomba kuuliuza je yule sheikh aliechana muswa mbele ya mh. Sitta zanzibar jana yuko chadema?
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Napenda kumkaribisha waziri mwenye dhamana ya TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA kutembelea Idara ya kilimo/mifugo, H/M ya wilaya ya NGORONGORO ajionee UNYANYASAJI UNAOFANYIKA KWA WATUMISHI WA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Uhusiano na Utaratibu) Steven Wassira na Mbunge wa Musoma vijijini Nimrod Mkono (kulia) wakinywa dawa kwa mchungaji Ambilikile Mwasapila katika kijiji cha Samunge...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mara nyingi CCM imetutesa toka ujana wetu acha CHADEMA waseme, hawaipendi CHADEMA na kuipaka matope, lakini hawaiwezi, CCM, imekula mgonngoni mwetu na wamejitarisha sana na kujilimbikizia mali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mapesa ya waznz yaliliwa kambi ya Kibweni 2005, watu walifukuzwa kazi . kumbe kesi ilipoisha na hakimu alisema Walioba sio waliohusika, ushahidi ulitungwa, sheria ziliborongwa. na baya zaidi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema ametangaza kampeni mpya ya kuleta mabadiliko katika jamii. Kampeni hiyo aliyoipa jina la 'CHANGE ON FINGERS' inalenga kuwafanya vijana kushiriki kuleta...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Do you know? a human body can bear only upto 45 Del (unit) of pain. But at the time of giving birth, a woman feels upto 57 Del of Pain. This is similar to 20 bones getting fractured at a...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
WADAU NATAFUTA WATU WENYE MTANDAO WA KUTOSHA ILI KUSHIRIKANA NAO KATIKA BIASHARA YA CONSULTANCY WAWE KAMA ASSOCAITE PARTNERS WA KAMPUNI. NAMILIKI KAMPUNI YA CONSULTANCY INAYOTOA HUDUMA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau, hivi aliyeanzisha watu kujilipua ni nani?? Hivi inawezekana kuja kuwa historia kwa watu kutambua kuwa huo ni ujinga na ni sawa na kuwa jambazi??? Mfano Nigeria, wamepiga kura lakini eti...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau, Naomba nitoe dukuduku langu, kuna huyu mwenyekiti wa mtaa wa CCM kata ya Upanga Mashariki anaitwaa Rukiya A. Riyami toka aukwae uenyekiti 2011, anatukamua sana sisi wakaazi wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwenu wanajf,nataka nifanye applications za kujiunga na vyuo vinavyotoa clinical officers.Lakin bahati mbaya sivifaham vyuo(hususan vyuo binafsi) na mahali vilipo hapa nchini.Naomba anayefaham anijuze
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nabii Joshua Mwantyala akiwanyunyuzia maji ya tiba wananchi waliokusanyika katika mkutano wake wa Neno la Mungu la uponyaji na kuwaombea wagonjwa wote wenye magonjwa sugu kama vile Ukimwi...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mwanzo nilipoona picha za hilo Tangazo nilidhani ni tangazo la tigo, baada ya kusoma hapo juu kumbe ni la Airtel. Ninayo imani kwamba Airtel ni kampuni kubwa katika kiwango cha kimataifa lakini...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom