Wana JF, Nilikuwa nackia kuhusu huduma mbovu na uharibikaji mara kwa mara mabasi ya Falcon. Leo nimeshudia gari imetoka Ubungo saa 12.20 asubuhi na kuingia Mby saa sita na nusu usiku huu badala...
Hivi punde Star TV wamemaliza kipindi cha moja kwa moja kinachoitwa Jicho letu ndani ya habari. Leo walikuwa wanazungumzia jinsi vyombo vya habari vya ndani vilivyoshiriki katika mijadala ya...
Imekuwa ni kawaida kwa makampuni mbalimbali ya simu kujinadi kuwa wao peke ndio waliofika kila kona ya nchi. Nilifunga safari ya kwenda Semunge kwa babu ila katika siku 3 nilizoishi kule...
MGANGA wa Kienyeji anayefahamika kwa jina la Bakari Nyalobi Profesa Safari [30] anaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Ilala, kwa tuhuma za kuua kwa kumpiga risasi kaunta wa Bar ya...
Nilikuwa nacheka hapa kuhusu madiwani wa Arusha kukwamisha kikao cha bajeti. Tatizo ni kwamba lazima wahudhurie wajumbe angalao theluthi mbili. Swali linakuja, kama bila madiwani wa chadema kikao...
Tanzania ni nchi kubwa yenye ukubwa wa 945,000 sq km (365,000 sq miles na yenye idadi ya watu milioni 42,500,000 (IMF, 2008).Pia nchi hii ina mikoa zaidi ya 26(jumlisha mipya zaidi ya 3...
Ukitaka kujua mwedelezo wa ngombe kwenye zizi unatazama ni ndama wangapi ulionao watakaokuwa wazazi wa kipindi hicho kijacho.....kwa hili CCM hawa ndama naona wanapungua na ni miaka sifuri tu hapo...
Ndugu wanaJF wenzangu, natumai mu wazima wa afya jema na mpo tayari kubadilishana mawazo km kawaida yetu.
Napenda kuanza kwa kuwatakeni radhi pale mawazo yangu yatakapo contradict na uelewa...
Sinza kwa wajanja bwana, lakini Masaki wako njema, lakini vijana wa Sinza na vinoti vyao vya kuunga unga wanawapiga mkwara watoto wa mapdj wa Masaki hadi wanaogopa. Hii imekaaje?
Wameanzisha mbinu ya kuhadaa Watanzania kuhusu katiba mpya baada ya kugundua kuwa jambo hilo limekuwa dai la wananchi.
Kwa bahati mbaya wanaoiwakilisha kwenye kongamano na mikutano ya kujadili...
Hivi, tanzania tunaelekea wapi? tukiacha ushabiki wa vyama, chadema na ccm, kujaza watoto wenye umri kati ya miaka 10 na 15 kujadili muswada wa katiba tunajenga au tunabomoa? mbya zaidi watoto...
Nisaidieni wadau tutafakari pamoja, je hii mahakama ya 'ICC" yenye makao makuu yake huko Hegue ni kwa ajili ya waafrika tu?? Maana ilianza na wanyarwanda na sasa wakenya na nilisikia kwenye chombo...
Jambazi mmoja ajulikanaye kwa jina la Njenda Lutelo amechomwa moto na wananchi wenye hasira kali kwa kile kinachosadikiwa kuiba viti vitano vya plastiki
Jambazi hilo likiwa limeingizwa ndani ya...
Misemo ipo mingi sana hapa nchini kuonesha kwamba kuna haja ya kuwawezesha wanawake kupiga hatua katika kuendeleza familia zao na taifa kwa ujumla. Inawezekana msemo huu ndiyo uliotumiwa na Mfalme...
MGANGA wa Kienyeji anayefahamika kwa jina la Bakari Nyalobi Profesa Safari [30] anaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Ilala, kwa tuhuma za kuua kwa kumpiga risasi kaunta wa Bar ya...
Hiii kali, Muheshimiwa Waziri fulani, ilisemekana alitembelea mkoa wa Arusha kwa ziara ya kufungua kisima,alipo fika pale kisimani akachugulia alipo ona sura yake aliruka kwa kukwepa,akisema...
Ni kawaida kwa mtu yeyote mkosaji ama asiye na hoja wakati wote kutumia nguvu fujo na vurugu huku akilia kwa kuomba msaada wa kuonewa huruma. dhana hii ikiachwa iendelee na watu kuona mtu huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.