Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
In 1972 and 1979, Gaddafi sent Libyan troops to defend Idi Amin when we attacked him. I remember a Libyan Tupolev 22 bomber trying to bomb us in Mbarara in 1979. The bomb ended up in Nyarubanga...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
ingia hapa uone profile ya babu loliondo yupo single Babu Loliondo | Facebook
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Maandamano ya Nchi za kiarabu na za Kaskazini mwa Afrika yanaweza kufika Afrika mashariki na Tanazania kutokana na kutoshamiri kwa demokrasia na uhuru wa maamuzi ya wananchi?Pamoja kuwepo kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira imebaini kuwapo kwa mtu aliyekuwa akihodhi nyumba 30 za Shirika la Taifa la Nyumba (NHC) huku akizitumia kujipatia takribani Sh milioni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu katika pitapita mtandaoni nimekutana na hii hapa, tunaweza kushiriki. Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja sasa vyombo vya habari nchini Tanzania na nje ya nchi vimekua vikiandika...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kikombe kimoja cha babu wa Samunge maarufu kama KKKT(KUNYW KIKOMBE KIMOJA TUU)Kimezua balaa serikalini kwani mpaka sasa serikali imeshindwa kuzuia wingi wa watu wanaomiminika huko Semunge...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kumekuwa na tabia hasa kwa shule za hapa dar kwa walimu kuwapa mingi mitihani wanafunzi wao ambayo inalipiwa. Sijui kama hii inalenga kuboresha elimu au ni miradi ya walimu kujazia bajeti zao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa mnyukano kati ya UVCCM na viongozi wastaafu wa CCM ni agenda ya Urais wa 2015, je hii ni kweli? Na kwamba Rais ndiye anayemjua Rais ajaye ni sahihi? Kwanini viongozi wetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tumehabarishwa kwamba watu 200 waliopata kikombe cha Babu wa Loliondo wamejitolea kupimwa kitaalamu (kisayansi) ili kuona kama watakuwa wamepona maradhi waliyokuwa nayo. Naona hapa tunataka...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Baada ya taarifa ya serikali hapo jana kueleza kuwa dawa ya Babu wa kule Samunge haina madhara, wengi wamefurahi, hasa wale waliopata kikombe. Fikra kinyume inahoji, je, ingekuwaje kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
...you plan on other peoples money...you cannot develop that way...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kujitolea kupeleka kuni si kupunguza tatizo serikali haioni mvua? watoe msaada unaoweza kumsaidia kwa nin waspeleke gas?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali: Dawa ya Loliondo ni salama Send to a friend Monday, 28 March 2011 21:50 0diggsdigg Waandishi Wetu SERIKALI imesema imeridhishwa na dawa inayotolewa na Mchungaji Ambilikile Masapila wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yatamka dawa yake haina madhara kwa binadamu *Barabara inayokwenda huko sasa kukarabatiwa *Kituo cha afya Samunge kuboreshwe, maji yapelekwa Mchungaji Mwasapile Kushoto na Kulia ni Waziri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna taarifa kwamba kuna kijana kaoteshwa dawa na marehemu mama yake. Kijana huyo ana dai kwamba dawa hiyo ina tibu maradhi sugu kama ukimwi, kisukari, nk. Kijana huyo anadai kwamba dawa hiyo ina...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Watanzania wenzangu nauliza wapi nitapa bidhaa zenye ubora kama mikate ya siha,maziwa ya kcc,juice za tanglod,beef za tanganyika packers,tanbond,superghee e.t.c kiwanda gani kinatengeneza bidhaa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nini tofauti kati ya huduma ya Dogo wa mbeya na Babu wa Loliondo?!?!?!?!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hawa jamaa wa wizara safi sana, nimependa wanavyo 'handle' utafiti juu ya dawa ya babu Mch. Ambikile. waendelee kutotoa kila kitu hazarani ili jamaa wa majuu wasije claim wamegundua wao. identity...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ya kaisari mpe Kaisari na ya MUNGU mpe MUNGU! Huwezi kumjaribu BWANA MUNGU wako! MUNGU alimtoa YESU auwawe kwa ajili yetu, MUNGU pia alileta gharika na kuteketeza kizazi chote na kumuacha NUHU na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Imagine, Babu wa Loliondo akapotea ghafla na kwenda kusikojulikana na kuacha ujumbe kwamba "Nimegundua hiyo dawa ni sumu ambayo huua baada ya miezi 6 maana wanangu 3 wamekufa kwa mkupuo, kwa kuwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom