Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
nawapongeza viongozi hawa kwa hili,wamedumisha mila na utamaduni wetu uliopotea enzi hizo,kwa kusema kuwa ni wa kishenzi
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Namnukuu Babu wa kule Samunge Loliondo kama alivyosema wakati anatoa tiba ya kikombe cha dawa kwa wagonjwa waliokwenda kupata tiba akiwapo mimi mwenyewe kuwa alikua akisema kama umekuja mwenyewe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Richard Mgamba wa Sunday Guardian anasema, unapozungumzia media na uwajibikaji, unajiuliza tunawajibika kwa umma ama wamiliki?
0 Reactions
67 Replies
5K Views
Tido na wenzake wang’olewa MDTF na Mwandishi wetu MAMBO ndani ya Chama cha Maendeleo Muheza (MDTF), yamezidi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
huu ni ushauri wa bure,siasa ni mchezo ambao hautabiliki na hii ni kutokana na sababu ya kuwa inapelekea kwenye kutafuta madaraka,kwa wale ambao wanaamini mungu watakubaliana nami kuwa hakuna...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu wadau wote mliopo humu jamvini. Leo napenda kuwashirikisha hii hotuba nzuri ilitungwa na Mwanaharakati Vitali Maembe; " Hotuba ya mfungwa Mswahili, by Vitali Maembe, Chanjo 2010...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilifadhaishwa sana na ajali iliyosababisha vifo vya wanamuziki 13 wa taarabu hivi karibuni. Kuna haja ya watanzania kuhimasishwa ili wachukuwe madaraka wanapoona dereva anendesha hovyo. Habari za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mi saw an article in a certain magazine saying dat our bodies weren't made naturally to consume meat.It carried on by saying it has made some researches by questioning dem vegetarians and dem meat...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naona watanzania siku hizi mmeingiliwa na Mambo ya kusema Freemasonry, kitu kidogo Freemasons, fulani kanya -Freemasons, Mbwa kakojoa -Freemasons, mwizi kaiba- Freemasons, babu na kikombe chake...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanasaikolojia wameendelea kufanya uchunguzi kuhusu akili na IQ ya mtu. Wamegundua kwamba ili akili iwe faster kwenye kufikiri na kuamua, ni vema kufanya vifuatavyo; 1. Wahi kulala na wahi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani mimi nina wasiwasi na hawa VODACOM kwenye kadi za kuongeza salio. Kadi yao ya shilingi elfu tano ina expiry date/ muda wa kuisha matumizi. Nilinunua kadi kutoka wa wakala wao katikati ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilikuwa nazungumza na mtu wa usalama akanieleza jinsi walivyoiua nccr na kuidhoofisha cuf wakati ule. anasema chadema wanajaribu lakini ina ugumu maana lazima uingize watu wenye ushawishi...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Wana JF Niwakati ambao CHADEMA inapatamashambulizi kutoka kila kona na vyama vyote vinajaribu kila njia kibomoa CHADEMA, hii imedhihirisha muungano wa vyama vya upinzani kwa Tanzania hautafanya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mzee Mwinyi kakaa miaka 10 hakuyamaliza, Mzee Mkapa nae kakaa miaka 10 hakuyamaliza. Mie nimekaa miaka mitano hayakwisha na nitamaliza mitano hayataisha yote. nashangaa hii kauli aliitoa...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Wanajamvi nashangazwa na haya matangazo lukuki toka tanesco kwenye tv? Hivi huyo badra masoud anayeidhinisha matangazo haya wakati kazi yake imetangazwa na wakati akijua hatuna umeme wa uhakika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimeshtuka sana baada ya kusikia habari kwamba muumini mmoja wa kanisa la EAGT kwa jina la BAHATI NGENUIKO eti nayeye amepewa maono kwamba 21 May ndo mwisho wa dunia,na kama isipotokea basi apigwe...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakati mwingine tujihurumia mno, na hata kulalamika kuwa hatuwezi kufanya hili na lile kwa sababu mbalimbali... Lawama tunatupia Muumba aliyetuumba jinsi tulivyo. Je, wasiopewa viungo vyote...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
HESHIMA KWENU WANAJAMVI Nimefikiri kwa kina kuhusu umasikini wa watu wangu katika mikoa niliitaja hapo juu nimejaribu kuoanisha na rasilimali tulizo nazo. 1.Umeme wa gesi wa uhakika 2.Marine...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuanzia sasa sitasoma post yoyote inayohusiana na UVCCM au CCM...Wanatuchezea akili hawa...Makamba na Sumaye lao moja hii ni njia ya kutuvuruga.Ona sasa tumesahau ya msingi..........
0 Reactions
3 Replies
1K Views
The centre cannot hold when the president looses humiliation upon his ministers Posted Monday, March 28 2011 at 00:00 THE EAST AFRICAN Although William Butler Yeats’s poem, “Second Coming”...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom