Habari wana JF!
Huwa najiuliza maswali mengi sana kichwani na huwa sipati picha halisi, na je kama kweli hali ingekuwa ni hivyo ingekuwaje?
MOSI: Kama Mwenyezi Mungu angeamua mioyo yetu iwe...
Kaziya kutathimini viwanja,mashamba,na nyumba eneo la kibamba mloganzila imeanza jana.matangazo yaliyotolewa hayatoshi kuwafikia watu wenye maeneo hayo kama kuna anayehusika awahi jumatatu...
WANA JF NAPENDA TUJADILI MADA HUSIKA ILI NAMI NIPATE UELEWA ZAIDI.
Kila kukicha huwa haikosekani thread za udini kwa upeo wangu mdogo nafikiri tunachanganya mambo mawili 'misingi za dini na...
Hello great thinkers
Nimeshangazwa sana na kauli ya mhe. Rais kwa kuzitaka Wizara za kilimo,chakula na ushirika na Wizara ya mifugo na uvuvi kutoa ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu na kuwapeleka...
hii ni siku ya pili baada ya mabomu kulipuka gongo la mboto jionee mwenyewe utagundua kitu halafu ukitolee maoni hapo chini kwamba umegundua nini angalia kwanza hiyo habari kwa njia ya...
nilisoma habari ya mtu aliyepotelewa laptop yake mlimani city, nauliza laptop yake ni aina ya Sony? na je kuna documents zake zimeandikwa ALFAGROUP?kuna mtu amekuja ananiuzia laptop nikaichunguza...
Jamani nimeipenda katuni kwenye gazeti la Mwananchi leo, inaonyesha CCM wakijisifia kuwa wameshatekeleza Sera ya Afya kwa kuwaruhusu wabongo kupata Tiba huko Loliondo kwa Babu... My Take: Kuna...
Ndugu wana JF wenzangu wasalam,
Baada ya salamu napenda kuelezea kisa cha hivi karibuni kilichotokea cha mama mmoja kupoteza maisha baada ya kupata kansa ya jino iliyotokana na uzembe wa...
Leo nimeelezwa na mzee mmoja mkongwe kwamba kabla ya mfumo wa vyama vingi vya siasa kulikuwepo chama cha mlengo wa kusaidia wachaga kama vilivyo vingine vya kikabila,kijamii na kilitwa Chaga...
POLISI Kikosi cha Usalama Barabarani, kimemtaka Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Israel Sekirasa, kusaidia upelelezi wa kubaini polisi walio...
Kabla na baada ya Mwl Nyerere kufariki, mfuko huu walikuwa na ofisi zao mkabala na Makumbusho ya Taifa, Dar.
Baadaye, wakalibomoa jengo la ofisi zao wakiwa malengo ya kujenga ghorofa refu na...
Nimeikuta hii kwa michu, eti BWM anajiita President, 1995-2005 badala ya kujiita Former Tanzania President 1995-2005... Anyways ni bora angeendelea kuwa Presidaa maaana ni kama hatuna Presidaa vile...
waziri wa afya wa Kenya Bi Mugo amesema atamshinikiza waziri wa afya wa Tanzania ili babu akamatwe. Sababu aliyoitoa ni kuwa babu ni mganga wa kienyeji na anadanganya watu kuwa anatibu. Ushauri...
Habari zilizoandikwa katika magazeti na kusikika katika redio na Televisheni siku kadhaa zilizopita zilieleza kwamba Babu wa Loliondo ameoteshwa na Mungu dawa ya kuwatibu watu magonjwa sugu...
jana alhamisi nilisoma gazeti moja likiikariri mamlaka ya mawasiliano kuwa imeryhusu kampuni tatu kuagiza ving'amuzi ambavyo vitatumika pale mfumo rasmi wa analogi utakapofungwa rasmi desemba 2012...
Nikianzia Ikulu na Wizara zote,Balozi zote Mashirika yote ya kimataifa yakaenda pale Dodoma Na kila HQ ya shirika lolote likawa Dodoma je hizi foleni zakila siku, Jumatatu hadi Jumatatu! haziwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.