Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Leo kutwa nimejaribu kufungua http://www.ippmedia.com lakini naona hawapo hewani. Kulikoni jamani?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kati ya mambo ambayo yalivuta hisia za wengi katika mwaka 2009 ni kitendo cha ofisi ya kikwete kutangaza kuwa Kikwete ataongea na wananchi moja kwa moja kupitia vyombo vyetu vya habari tofauti na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Siku ya mwaka mpya mimi pamoja na mwenzangu baada ya kumaliza shughuli zetu zilizo tupeleka Mjini Arusha kwa wakati huo tuliamua kwenda CLUB AQ kwakuwa ipo karibu na stendi ya mabasi ambayo tunge...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
SABABU MOJA INAYOTUFANYA AFRICA KUWA NYUMA KIMAENDELEO KWA MIAKA 25 NI? VIONGOZI WA AFRIKA Abdoulaye Wade ( Senegal )- age 83 Hosni Mubarak ( Egypt ) - age 82 Robert Mugabe ( Zimbabwe ) - age...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Haya kwa wale mliokuwa na wasiwasi na dawa ya Babu Mch. Mwasapile, watafiti wamesema leo haina madhara yoyote kwa binadamu na wanafanya uchunguzi kwa wagonjwa 200 waliotumia kikombe cha Babu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta simu aina ya nokia E7. Kwa wale wanaofahamu wapi (tz tu) naweza kupata simu hii wanijuze. picha inaambatanishwa. Am waiting to hear from u soon.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
As road accidents continue to claim thousands of lives, permanently disabling thousands more, there is a grave concern that mushrooming substandard motor driving schools are the root cause of the...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Babu wa Loliondo ametangaza kwamba watu wasimamishe safari za kwenda kumwona mpaka tarehe 1 April 2011 ili apate nafasi ya kupunguza wagonjwa waliopo kwa sasa. Inasemekana kwamba foleni kwa sasa...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
hilo ni Ghala la kuifadhia chakula chan'gombe!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu watanzania naomba mjue baadhi ya viongozi wetu walivyo wezi,viongozi wawili waandamizi wa CDM wanamiliki mgodi huko Nyarugusu kinyume na utaratibu. Hakuna kiongozi wa wilaya wala mkoa...
0 Reactions
84 Replies
8K Views
20% he is managed to be awarded five kili music awards, he is a real natural talented musician with natural voice, sio kubana pua, mostly his songs real touch society..big up 20%,wewe chunga tamaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Siasa zina mambo jamani niko na kada mmoja wa ccm anadai eti huduma za loliondo ni moja y ilan zake za uchaguzi 2010/2015..haahaa wakati ukweli ni kwamba yule mzee ni kada mkubwa wa chadema...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
The placebo effect is a real and powerful psychological response to treatment. Physical conditions do not improve with placebos. Placebos do not cure, as many people mistakenly believe; it is the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wadu wote mliopo humu jamvini. Leo napenda kuwashirikisha hii hotuba nzuri ilitungwa na Mwanaharakati Vitali Maembe; " Hotuba ya mfungwa Mswahili, by Vitali Maembe, Chanjo 2010...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kongamano kubwa bado linaendelea hapa Ar mjini. Mada motomoto zipo hewani,katiba mpya, ikiwepo siri ya maandamano ya CDM. Nk. Pia linarushwa live kupitia radio IMAAN.
0 Reactions
55 Replies
6K Views
Inaudhi sana. Kiongozi bila aibu unadai kuwa ni haki yako kutibiwa nje ya nchi? Badala ya kutoa wazo la kujenga hospitali ili wote tutibiwe hapa. Alafu kesho utasema hata wewe haujui kwani...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Title inaweza ikawa inatisha kidogo, lakini nadhani issue ya humu ndani sio kubwa sana, ila nadhani ni ya muhimu. Kwa mtazamo wangu, vyuo vikuu ikiwemo UDSM inasaidia kuipeleka nchi hii pabaya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndoto, ndoto, babu anatibu kwa sababu kaoteshwa! Yes ameoteshwa kuponya magojnwa matano sugu! Hii ni kwa mujibu ya wenzetu walioenda huko kupata tiba. Siwalaumu hata kidogo wagonjwa kukimbilia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mawaziri wetu wa Wakuu wa Mikoa wakitoa kauli kuhusu mambo fulani tunasema Serikali imesema au imeagiza. Sasa hivi 'Wakulu wetu' wanamiminika Loliondo kwa Babu kutibiwa, kwa nini tunashindwa...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Kauli ya Lipumba ' kama kuna mwananchi yeyote anaamini chadema inaweza kuongoza nchi hii, huyo ana matatizo aende kunywa kikombe cha babu loliondo' Mwananchi 26.03.2011
0 Reactions
1 Replies
938 Views
Back
Top Bottom