Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
It has been a couple of years when my o-level teacher told me this statement.."NO HURRY IN AFRICA",sikutambua wala sikuelewa mana yake nadhani labda nilikuwa sijapanuka ktk upeo wa kudadavua na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hello wana JF Ningependa kutoa maoni yangu kama ifuatavyo Nashukuru wana JF kwa michango yenu na habari mnazotuletea sisi kwetu ikiwa ni changamoto kwetu kujua mambo yanavyokwenda nchini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Korti yawaachia huru Mwakalebela, mkewe Mahakama ya Mkoa wa Iringa imemwachia huru aliyekuwa mshindi wa kwanza katika kura za maoni nafasi ya ubunge wa Iringa Mjini (CCM),Frederick...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MTU anayetarajiwa kuepusha madhila kwa mwingine kutokana na taaluma yake kumbe anaweza akafanya kinyume chake na kuwa chanzo cha madhila hayo. Taswira hiyo ndiyo imejitokeza mkoani Mbeya ambapo...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Ujumbe wa Mh. Kigwangala kwa Wananchi Ndugu wana jamii Katika pita pita zangu kushangaa ulimwengu, nimekutana na ujumbe mahsusi katika wall ya Dr Hamis Kigwangala (mb) Nzega. (kwenye...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
I have just been informed that a lion has been killed in Mbagala area.....One person injured
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari zenu JF members! Leo EATV KWENYE KIPINDI CHA FNL utamuuliza maswali ya hapo hapo Mtabiri wa nyota. Hilo halihitaji majungu na mashaka uliza ujue pia upate uhakika wa kazi zake. Pia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MTOTO Jerry Martin [5] amelazwa katika hospitali ya MountMeru kutokana na majeraha aliyoyapata kutokana na adhabu na mateso aliyoyapata kutoka kwa baba yake mzazi. Jerry amekuwa akiteseka kwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Benki kuu ya Tanzania imekanusha uvumi unaosambazwa na watu wenye nia mbaya kwamba ina zoezi la kukusanya noti mpya kili kuziondoa katika mzunguko kwa madai kuwa ubora wake ni hafifu. Akiongea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu Kama saa mbili zilopita yaani saa tano usiku, dereva wa bajaji kanipigia simu akaniambia kuwa amepata ajali amegongana na tax, bajaj imeumia sana na yeye kachunika tu kidogo, na hiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hivi hiyo tume ya nishati ya bunge, imetoa mapendekezo kwa serikali, je mapendekezo hayo kweli yatalinda maslahi ya watz waliowengi au ndo imetumika kama vile formality kuwalinda wale wanaokula...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naona mkurugenzi wa BOT hapa anasema noti bandia sio jambo geni. Suala ni kuwa zimeingizwa juzi juzi tu hapa na kumekuwa na forgeries nyingi sana. Ni jinsi gani tatizo hili litatatuliwa? Hii ndio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima wakuu Naombeni munisaidie, hivi mfanyakazi akisha achishwa/kufukuzwa kazi na baada ya miezi sita kulipwa na NSSF michango yake ambayo aliwekeza NSSF, je hasitahili kulipwa gawio la faida...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakati najiuliza hivi kwa nini manesis na ma dk wa muhimbili mwananyamala amana wanaangali a mtu akifa kisa hana 2500 jana nimejua kumbe hizi roho zinatoka kwa mabosi wao na hivyo dawa ni kuondoa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
know that: you cant control the length of your life, but you can control its width and depth. you cant control the contour of your countenance, but you can control...
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Habari za Asubuhi wanaJF.Nimekaa sana bila kuwakumbusha vitabu vya enzi hizo zilizokuw zimeandikwa kwa Mfano Mwanangu Pepe huna masikio,Awafu mwenye nguvu,Siku ya Gulio katelelo,Chopeko na...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Tanzanian woman `enslaved` in UK By Special Reporter 9th March 2011 Email Print Comments Retired doctor paid her �10 a month, fed her just two...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu angalieni TBC kuna onyesho la bure mnazi mmoja la wale wasanii walamba miguu chini ya mwavuli wao[PRIME TIME]..ajabu ni kuwa tamasha hili tofauti la lile la malaria no more halikutangazwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Toka mzee anayesadikiwa kuwa anatoa dawa yenye uwezo wa kutibu magonjwa yaliyoshindikana mengi yamekuwa yakisemwa. Pamoja na mzee huyo kujaribu kueleza chanzo cha upatikanaji wa dawa hiyo bado...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WAFANYABIASHARA katika jengo la Machinga Complex, Dar es Salaaa, wamefichua mpango wa baadhi ya wanasiasa kuwashawishi ili washiriki maandamano. Mbali ya hilo, wamewaomba Watanzania wakubali...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom