Wakati Wabongo bado mnabishana na siasa za CCM na CHADEMA, na wengine wakipanga mikakati ya namna gani watachukua nchi 2015 ili wafanye ufisadi, wenzenu wanajenga nchi yao. Na hii ndio Dubai ya...
jumatano na alhamisi asubuhi baada ya uefa champions league nilikuwa nasikiliza redio fulani. ilipofika kwenye kipengele cha habari za michezo wakizungumzia michuano hiyo wale watangazaji...
wandugu
Baada ya kusikia kuwa serikali imemzuia Mchungajio msaafu Ambilikil Mwasapila nimebakiwa na maswali mengi sana kwa serikali. Sababu waliotoa ni kwamba hana kibali hilo ndilo...
Wagonjwa wagoma kuondoka Loliondo
*Wadai viongozi wanazuia baada ya wao kuponywa
*KKKT yapeleka mafundi kuweka sawa miundombinu
*Ndesamburo apeleka helikopta kusaidia walio mahututi
Na Said...
Nilitembelea familia fulani, lakini katika maongezi tukaishia kuongelea suala la Neti za mbu zenye dawa maalum(viwatilifu) inayodumu kwa miaka 3 hadi 5, maarufu kama neti za George Bush.
Huyo...
Wagonjwa wagoma kuondoka Loliondo
*Wadai viongozi wanazuia baada ya wao kuponywa
*KKKT yapeleka mafundi kuweka sawa miundombinu
*Ndesamburo apeleka helikopta kusaidia walio mahututi
Na Said...
serikali ya china yataka kuwekeza katika umeme kilimo miundo mbinu na usafiri wa anga nchini.
Wamesema wamekuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina rasilimali nyingi ukilinganisha na nchi...
Jana baada ya kutoka kwenye kuwajibika as usual nikafika zangu home kama kawaida umeme ukawa umekatika. Baada ya umeme kurudi basi nikakumbuka nilinunua gazeti la Mwananchi. Katika kupitia kurasa...
ASILIMIA nne hadi sita ya Watanzania ndio wanaodaiwa kujua kunawa mikono kabla na baada ya kula huku kundi kubwa likionekana kutokujali kabisa afya zao, ilielezwa.Kauli hiyo ilitolewa juzi na...
Kwa kile kinachooneka kuwa mwendelezo wa serikali kutowajali wananchi wake na kuwathamini wawekezaji, leo ni siku ya tatu wafanyakazi wa kampuni ya MeTL upande wa kitengo cha kuzalisha Maji na...
.."Hivi haya ma-migodi yanatusaidia nini katika hili? Maana hizi ndiyo raslimali zetu na kila siku zinachimbwa zinaisha na sisi hatuoni faida yoyote ile katika maisha yetu...tusihoji? Itafika siku...
Habari wana Jf, kuna hadithi za zamani ambazo hadi leo bado unaweza kumsimulia mtoto na akafurahi, hadithi kama za Abunuwasi, Panga la Shaba, Kaka Mbweha na Sungura, Bulicheka na nyingine nyingi...
World set to witness biggest full moon in two decades next week 2 hours ago by ?*Kev Hedges Listen to this article (by ReadSpeaker) Next weekend promises full moon gazers the biggest visible...
Print 02/05/2011 African Intel.
The son of the Crown Prince of Abu Dhabi, Sheikh Khalifa bin Zayed Al-Nahyan, is to buy a plot of land on the Zanzibar coast for $1.4 million. This coveted...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.