Kuna tetesi kwamba JF inampango wa kuingia mkataba mnono na Bw. Julian Assange. Kwa mujibu wa tetesi hizi wadau wote kama revolution, Ivuga, MM, Maxeme Mello, Invisible, Maria Roza, Paka Jimmy...
Wakaati watanzania mkishangaa kuona kampuni ya atcl ikiwa icu ndani ya oxygen msishangae kuwambiwa kampuni kubwa kama hii tangu 31April 2010 imekaa bila kuwa na bodi maalum..wakati hili...
Wana JF, hali ni mbaya loliondo. Kwanini wagonjwa waliopo kwenye coma wanapelekwa huko? Sipendi mtu afe ila tuangalie ukweli zaidi
Source: GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Waliokufa Loliondo...
Nilikuwa nawaza hivi itakuwaje babu(loliondo) akisema ameoteshwa tena kwamba watu wote waliokula dawa watakufa mwisho wa mwaka huu? Ingekuwa patashika...mpaka mjengo mweupe au?.......
Wakuu..
mimi ni msikilizaji mzuris ana wa kipindi cha PJ cha kuperuzi na kudadisi cha clouds kila siku asubuhi
NIme-note kwamba hawa jamaa ni lazma waanze na managazeti ya rostam aziz.... lazima...
:blah::decision:HONGERA SANA BABU KWA KUWEZA KUGUNDUA TIBA YA HOMA ZETU LAKINI SWALI LINAKUJA KWAMBA UMASIKINI NCHINI UPO TENA SANA JE HAKUNA TIBA AU MTABIBU WA KUGUNDUA TIBA MAANA HOMA HII IPO...
Mahakama kuu kanda ya Dodoma ,jana ilitupilia mbali kesi iliyokuwa ikimkabili Mbunge wa singida mashariki Tundu Lissu (CHADEMA) na kusema kuwa kesi hiyo iliyofunguliwa kimakosa hivyo haiwezi...
Sehemu nyingi za jiji la dar es salam wape migambo walio wekwa na manispaa husika ili kuwaondo wafanya biashara wanaofanya biashara sehem zisizo rasmi cha kushangaza pindi migambo hao wanapopita...
Nawakumbusha wakristu wote kwamba leo ni juma tano ya majivu siku ambayo wakristu wanaanza rasmi mfungo kuelekea kuteswa, kufa na baadaye kufufuka mwokozi wao yesu kristu. Tusisahau kwenda...
Aliyejeruhiwa na simba adai aliponzwa na fulana nyekundu
NA MOSHI LUSONZO
8th March 2011
B-pepe
Chapa
Maoni
Hatimaye mtu aliyejeruhiwa kwa kushambuliwa na simba katika eneo la Mbagala...
Wandugu Wasalaam,
Nisaidieni wale wanye uzoefu wa hii punguzo la Kodi kwa Walimu anapoagiza gari kutoka nje.
Mfano: Kuagiza gari from Japan ni USD 2400 na shipping 1500 nataka kujua hii...
Wana Jf naleta hii kutoka Arusha, kuna Askari wa barabarani (trafic) mitaa ya mianzini anasimamisha kila hiece (daladala) na na kijana mmoja anamchukulia 1000 kwa kila gari, akisha simamisha wala...
WAKAZI wa maeneo ya Mbagala Kizuiani, Rangitatu na maeneo mengine ya karibu jana waliingia katika wasiwasi mwingine wa kuhofia kuondoa uhai wao baada ya Simba kuvamia maeneo hayo.
Wasiwasi...
Hi, jamani kama jina langu lilivyo jobless ni muhitimu wa chuo, nmemaliza shahada ya kwanza chuo kikuu kishiriki cha ushirika na studi za biashara (muccobs) ba-procurement and supply mgt. Nna...
habari za kuaminika toka Dodoma zasema kuwa mgomo wa wananchuo wa CBE dodoma umeingian siku ya tatu hii leo.
wanachuo hao wamegoma kushinikiza mitihani iwe inatungiwa CBE dodoma na sio CBE dar...
Hivi karibuni jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka mwanaume mmoja anayedaiwa kuua wanawake.
Mwanaume huyo ambaye anasakwa na polisi, anadaiwa kuwa ndiye aliyewaua wanawake watatu kwenye nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.