What do you know about water?
Water is our planets most valuable resource. It is rare in some parts of the world, which makes it particularly valuable
The total volume of water on Earth is...
Kuanzia saa Nane Usiku wa kumkia leo 8/03/2011 umeme umekatika sehemu kubwa sana ja jiji la Dar es Salaam.
Hadi muda huu (saa Moja asubuhi) bado umeme haujarudishwa na TANESCO hawajatoa maelezo...
Waheshimiwa wanaJF nataraji mnaendelea na majukumu yenu ya kiutendaji vizuri kabisa. Nahitaji michango yenu katika jambo hili: KAMA CHEO CHA UWAZIRI MKUU KINGEKUWA KINAPIGIWA KURA:
1. NANI KATI...
Ndugu zangu kuna hili linaniumiza akili yangu na nimeshindwa kuendelea nalo. Siku moja nilikwenda ferry ya Magogoni. Nilichoona pale ikaniachia maswali mengi. Unakuta mwanajeshi na kwanza mwenye...
Nilipozaliwa miaka 47 zama ziiilee ,nilikuwa najivunia kuwa mmoja wa wazaliwa ktk ji-nchi hili ,miaka ya 1985 wakapeana vijiti lol matumaini yakawepo na nikawa sina hofu kutamka mbele ya mataifa...
Kipindi cha kampeni kimekwisha na wote natumaini tulikuwa ktk kuwasiliza na kuzichambua hoja ,ahadi,sera za wote wenye kugombea nafasi mbalimbali,.Usishangae hata wewe pia ulishiriki either...
katika pitapita zangu na kwa udaku wangu katika vyombo mabalimbali na kukusanya mawazo mbalimbali kutoka katika vyanzo vya ndani na nje yetu na kuweka rank, nchi yetu imepaa juu zaidi ya nchi...
Ni kazi ngumu kwelikweli kujikomboa huku ukitegemea misaada.Jambo hili limedumaza sana maendeleo ya nchi zetu changa na hivyohivyo wanawake.
Hii kauli mbiu ya wanawake isemayo WANAWAKE...
hivi kwan nini redio na/au tv stations zinakuwa na vipindi vinavyofana wakati fulani? mfano jumapili jioni redio nyingi utakuta vipindi vya nyimbo za zamani(wenyewe wanaita flash back).jee hii...
Juju Nation tunasongo mbele!
Miracle healing: 2nd patient dies
As more people flock to Loliondo for the miracle cure, one person collapsed and died yesterday while awaiting to reach the...
Akina mama waumini wa kanisa Katoliki wilayani Songea waamepinga vitendo vya wanasiasa walafi wa madaraka wanaotaka kuiingiza nchi ktk machafuko. Wameahidi kufunga ili pepo mchafu aweze kupita...
Ndg wana jamvi.. Salam nyng kutoka Shinyanga..
Leo nilikuwa mmoja wa maelfu ya waandamanaji waliojitokeza mjini Kahama.
Watu walikuwa ni wengi haijawahi tokea.. Hali ya usalama ilikuwa tulivu...
Jamani naomba kujua ni blog ipi inatumika kukusanya maoni katika mchakato wa katiba mpya. naomba wataalamu wa IT watusaidie tutoe maoni yetu jamani tujenge nchi yetu ya karne hii.
Jumapili, katika pitia magazeti... kuna mtu aliandika habari hii ya kufikirika kidogo kuhusiana na mimba za hawa akina dada/wanawake/wasichana hususani walio wengi...
Kiufupi ni kwamba, zamani...
A strong woman knows how 2 keep her life in order. Even wth tears in her eyes, she still manages 2 say 'I'm Ok' wth a smile. Send this 2 a strong woman. Happy Woman Day to woman wote wa Jf.
4 March 2011 Last updated at 06:04 ET
Tanzanian girls risking rape for an education
By Lizz Pearson BBC News, Arusha, Tanzania
Usta remembers the night that drunken men broke into the mud...
Msaada kwenye tuta:damu itamwagika! wasema wana CCM
Swali, Hivi Viongozi wa chadema kusema
Kutokana na hali mbaya inayowakabili wa Tz, hizo pesa zisilipwe inahusiana vipi na damu kumwagika?
Hivi...
Tanzanian woman 'kept as slave'
Mwanahamisi Mruke, 47, who was flown over from Tanzania in October 2006, was summoned by a bell to carry out chores for Saeeda Khan, 68, around her...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.