Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wapendwa kuna jambo linanikera sana.Ni tabia ya wenye magari kuwasha 'FOG LIGHTS' Sijui wanaona inapendesheza gari kwani nyingi ziko kwa chini.Lakini sijui wanajua kwamba kwanza hapa DAR hakuna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
The Tanzanian tour operators have obtained the monopoly for tourist activities in the Kilimanjaro region. The Tanzanian ministry for tourism, via the intermediary of the Tanzania Tour Operators...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa redio tumaini ni kuwa moto umeteketeza nyumba magomeni makanya, Mlio eneo la tukio tupeni mwendelezo wa habari.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
juzi juzi pinda katuibia eti ina muhuma sana wananchi kuvunjiwa nyumba wakati ukweli ni kwamba meya wa ilala JERRY kwa kushirikiana na mafisadi wa outdoor walikwenda kushitaki wa waziri mkuu hayo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna hearing ktk Congress in USA, ambayo inaquestion Muslim Community. Ktk mpango huu kuna mpango maalum wakufanya Wamarekani kufear na Uislam, kuongeza chuki na Uislamu. Je hii ni Chuki ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
The government might lose four factories worth over 10bn/-, including a cotton ginnery and a coffee processing plant, for failure to pay its debts to various stakeholders estimated at 1.5bn/-. The...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MWENYEKITI wa Chama cha Wanawake Madaktari (Mewata), Dk. Marina Njelekela juzi alitunukiwa Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Dk. Njelekela...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kipindi kifupi tu nimekuja kubaini hivyo, Nipale wenzetu wa Tanganyika wanapo sema sisi na Wzanzibar ni ndugu? Sasa tuangalie kweli sisi na Vichogo ni ndugu udugu huo umetunganisha wapi sisi kuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa redio tumaini ni kuwa moto umeteketeza nyumba magomeni makanya, Mlio eneo la tukio tupeni mwendelezo wa habari.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu naomba mawazo yenu asa kina dada kuna kosa gani kumweleza rafiki yako wa kike kwamba hali yetu ilivyo atuwezi kuendelea tafuta m2 mwingine na yote yanatokea baada ya yy mwenyewe kufanya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Two British investors who were forced to leave Tanzania in 2008 after a land conflict with a local dignitary are to take their case to international arbitration. The Silverdale Farm scandal could...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya zoezi la kutaka kuuza jengo la ATCL akisshirikiana na Mwenyekiti wa Cotwu taifa CEO wa ATCL Mpaka mh waziri akafikia kuchukua hati za jengo,Mh d mattaka sasa amekuja na njia nyingine kwa...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Kati ya evolutionary events zilizotokea katika zama hizi hi sim za mkononi. Kwenye miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000, umaarufu wa simu za mkononi ndio ulikuwa unakuja juu Tz. Kwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nimesikiliza kwenye kipindi chake cha jahazi anabisha kuwa hakuna miujiza ya uponyaji . Lakini kwa walio wa Kristu wanaamini kila jambo linawezekana endapo utaomba kwa imani . Au kibonde anaabudu...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Bintiye mzee makamba wa Vodacom Mwamvitta Makamba, alihonga hela taslimu Millioni 5 kwa Irene Kiwia na Nancy Sumari wa Frontline Management ili apewe tuzo la Woman of the Year. Inasemekana...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
kwa mara ya kwanza nawiwa kumpongeza ndugu kikwete kwa kuanza kitimiza ahadi zake ,lol!!ameanza kuleta pikipiki za aina yake toka sauzi afrika ,khe!!i thought bajaj would be better !?haya bwana...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Aliyekuwa mshindi katika kura za maoni ndani ya CCM katika jimbo la Iringa mjini kupitia CCM Frederick Mwakalebela na mkewe Celina leo wameachiwa huru na mahakama ya hakimu makzi Iringa katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waziri mkuu mstaafu ,Fredrick sumaye amekirejesha darasani chama chake CCM .sumaye anaamini ccm hakijahitimu au kimepotea njia.anataka kisome upya ili hatimaye kiweze kutunikiwa cheti cha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna jambo linanisumbuaga sana unapita njiani anapita mdada ana kamvuto fulani ss hapa kunatofautiana ww kama mwanaume unamtupia jicho la chabo kukubali ule mvuto unaporudisha macho uendelee na...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mara kwa mara nimekuwa nikisikia kauli za viongozi mabalimbali hasa bungeni(mawaziri) kwamba wafanyakazi wanaopangiwa kazi katika mikoa ya pembezoni wanaacha kazi.Napenda kufahamu tofauti iliyopo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom