Hakuna kiumbe chochote chini ya jua ambaye hana mama,hakuna binadamu yeyote ambaye hajui umuhimu wa mama,hakuna asiyejua uthamani wa mama ktk malezi na kukufanya uwe ulivyo ,kesho tarehe 7-march...
Wandugu,
Hii taarifa nimeisikia lakini sina hakika kama ilishawekwa humu jamvini. Leo nimeiona kwenye Michuzi. Wenye habari tafadhali tuhabarisheni zaidi. Hii dawa inafanya kazi kweli? Kama...
ndugu wana JF, nakumbuka kipindi cha usajili wa namba za simu TCRA walitoa angalizo kwamba yeyote ambaye hatasajili namba yake ya simu ya mkononi, namba hiyo haitatumika tena mara baada ya muda...
habari za weekend wana JF?
mie jamani nimepewa nyumba na baba(ya urithi) haijaisha imejengwa mpaka kwenye 'lenta' ni ya vyumba vinne,sebule na jiko je gharama za kuimalizia itakuwa kama shilingi...
Line yangu ya voda nilikuwa nimeismiplace. Nikaenda vodacom mlimani city ili nipatiwe namba ile ile. Nikamkuta dada mmoja na kumueleza shida yangu. Akaingiza ile line kwny computer ghafla akageuka...
MAONI KUHUSU KAURI ZA VIONGOZI WA SERIKALI ZIDI YA MAANDAMANO YA CHADEMA
baada ya serikali kutoa kauri kupitia viongozi wake mbalimba kuhusu maandamano ya chadema
lifeofmshaba imekua ikifanya...
Napenda kunukuu moja ya barua ndefu za Jenerali Ulimwengu kwa raisi JK alizomwandikia siku chache mara baada ya kupata ridhaa ya NEC na TISS kurudi ikulu kwa awamu ya pili..
Na nukuu kama...
UDP ni miongoni mwa vyama vya siasa hapa nchini, ambavyo vimepoteza umaarufu wake. Hali hiyo imekifanya chama hicho kupoteza wafuasi wake karibu katika nchi nzima, kiasi kwamba hivi sasa chama...
Kuna nyepesi zinasema Serikali ilitenga katika bajeti yake karibu Tshs Billion48 kwa ajili ya mikopo kwa watumishi wa Serikali ili waweze kununua vitu kama Magari, Samani za ndani na Matengenezo...
Leo nilikuwa natafuta mbuga za wanyama za nyumbani.. nimeshangaa sana kuona kuwa ni mbuga moja tu iko online, Saadani National Park ndio pekeee unayoweza kuipata online.. Cha ajabu the might...
Tangu mwaka 2005 tumekuwa(baadhi yetu) tukifuatilia kwa ukaribu utendaji wa viongozi mbalimbali hapa nchini, pia hotuba zao na namna wanavyojibu matatizo na maswali ya wananchi kwa maneno na...
Hey! habari zenu wapenzi wa Jf? nashukuru sana kwa aliyetujulisha kuwa tunaweza kutumia Itv online tuliyopo nje ya nchi, asanteni sn maana mm binafsi sikujua. Sasa ninaomba msaada kidogo mbona...
Largest passenger plane in the world, Lufthansa Flight 400, makes inaugural flight to New York City
BY David Handschuh
DAILY NEWS STAFF WRITER
Saturday, March 5th 2011, 4:00 AM...
Kuna taarifa kuwa Jwtz wanatarajia kulipua bomu lilijichimbia ardhini maeneo ya Buyuni jijini Dar.mlipuko huo unatarajiwa kutokea mida ya saa 5 asubuhi ya leo.wakazi wa maeneo haya wametakiwa...
Madini yote Tanzania,Mbuga za wanyama Tanzania,Mlima mrefu Afrika Tanzania,Rais mwizi mchakachuaji asiye na aibu,mbinafsi,malaya,mwoga,fisadi na mnafiki Tanzania,Samaki wa maji baridi na maji...
MWINJILISTI wa Kanisa la Pentekoste la Mto wa Mbu, Jackson John ambaye alikuwa mmoja kati ya waliojeruhiwa kwenye mapigano baina ya
waumini wa madhehebu ya kiislamu na kikristo yaliyotokea...
kwa anayefahamu kuhusu taarifa/habari za kutokewa na Bikira Maria kwa mtoto mmoja huko Kibosho mkoani Kilimanjaro - Tanzania miaka zaidi ya kumi iliyopita, napenda kufahamu alipo kwa sasa na...
Kutokana na nayoona niwepo mazingira ya hospitali nimeona kuwa mwajiriwa wa serikali katika kada za afya tena akiwa wale wa ngazi za chini wanapata haya:-
1. Wanasiasa na watumishi wa serikali...
Members can you imagine -
If by any chance someone had come up with the suggestion of advising all the victims to divert from the stadium and go straight to the "white house" ... would have...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.