Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wafiwa wazua kizaazaa hosptali wakidai maiti yao imeuzwa Na Geofrey Nyang'oro VURUGU kubwa zimeibuka jana katika Hosptali ya Manispaa Temeke Jijini Dar es Salaam, baada ya mwili unaodhaniwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia habari mbali mbali kutoka serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwa jinsi mambo yanavyoendelea huko hatuna budi Tanzania bara tukaanza kudai serikali yetu ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wiki iliyopita nilialikwa katika mkutano mmoja wa bidhaa , kampuni moja kutoka India ilikuwa inatafuta watu wa kuweza kutangaza na kuuza bidhaa zao za aina mbali mbali kama vifaa vya mawasiliano...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa wiki ya pili sasa eneo la Yombo Vituka limekuwa katika hali ngumu ya usalama, ni eneo kuanzia Buza hadi kufika Vituka Sigara. Kuna kikundi cha vijana ambacho kimeamua kupiga watu mapanga hovyo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Lile chokochoko la kutaka Zanzibar itambuliwe kama nchi kamili sasa limepiga hatua zaidi baada ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kuwasilisha sera ya vitambulisho vya Mzanzibari mkaazi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
  • Poll Poll
Wana JF, hivi imekuwaje, kila nikiamka threads za dini zinazidi kumiminika tu... na ingekuwa bora kweli kama hizi threads zingekuwa si za kukashifiana katika mambo haya ya imani kama inavyoonekana...
0 Reactions
95 Replies
14K Views
Legal case against God thrown out - 10/20/2008 A judge has thrown out a case against God - as the Almighty doesn't have an official address and legal papers can't be served. Nebraska...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kunakampuni moja hivi ya mambo ya ICT ambayo inamilikiwa na wadosi. mtu akiajiriwa pale hata kama mshahara wake ni 400,ooo kwa mwezi, wenyewe katika zile form za PPF wanaandika mshahara 100,000...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
CHADEMA wazidi kuitesa CCM Mwenyekiti Mbowe akihutubia Musoma mjini na Kulwa Karedia MAMIA ya wakazi wa mji wa Musoma na vitongoji vyake jana walijitokeza kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwinjilisti: Mbeya kulaaniwa na Mungu Na Charles Mwakipesile Mbeya MRATIBU wa Maombi wa huduma ya Tanzania Itubu Taifa, Mwinjilisti Ambokile Mwasomola, amesema kitendo cha wananchi wa Kijiji...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Any one out there in the know?!.... Rumors are going around that the leader of the controversial nation is dead, lakini hamna chombo cha habari kinachosikika au kusema kuwa kina habari ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
sidhani kama kuna mantiki yeyeto kwa ITV kuendelea kutumia jina hili kwa sasa kwa ajili ya habari za dar es Salaam pale jioni. Tuna jiji zaidi ya moja sasa hivi kama sikosei kuna Arusha, Mwanza...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Finn’s Facts:We pay intellectuals peanuts, they decamp to cheap politics FINNIGAN WA SIMBEYE THIS DAY DAR ES SALAAM INTELLECTUALS at the Hill last week questioned the government’s...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
,,,,,Ndugu wana JF,kile kikao cha KERO za muungano,kiliisha isha vipi???,Manake wakati tulikua tumekaa kutolea MISO yetu huko kwa akina CHACHA,mpaka CCM ikaporomoka,tungependa kujua na huku upande...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NILIWAHI kuandika habari za kiongozi mmoja wa juu wa CCM ambaye alikifananisha chama chake na puto lililojaa pumzi; kwamba sasa linakaribia kupasuka. Alikifananisha pia na himaya ya Kirumi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndio kawaida hapo Magogoni Ferry halafu wanashangaa wanapokimbiwa na samaki. Tuna safari ndefu !!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wapendwa Wana-JF Hatimaye utafiti huu umekamilika! Nimeambatanisha speech ya waziri Nkulo alyezindua utafiti huu tarehe 3 oktoba mwaka huu. Pia kuna summary ya matokeo hap chini. Kisha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mods,kama hii haipaswi kuwa hapa mataiweka mahara husika. Je wachumi embu tuambieni,Uchumi wa Marekani umezidi kushuka kiasi cha kuathiri kwa kiasi kikubwa shughulri zao za ki-bank. Lakini...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwafaka:Back to zero By Mkinga Mkinga THE CITIZEN The Civic United Front (CUF) has set a new condition for the resumption of the stalled Mwafaka talks with the ruling Chama Cha Mapinduzi to...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
2008-10-18 10:32:03 Na Simon Mhina Kimbunga cha ufisadi bado kinakitesa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiasi kwamba, sasa hali ya mgawanyiko inajidhihirisha ndani yake kutokana na wabunge wake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…