Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mbunge nusura agome kushiriki mkutano wa UWT 2008-01-07 10:03:21 Na Selemani Semunyu, Morogoro Mbunge wa Viti Maalum (walemavu), Bi. Magareth Mkanga, nusura agome kushiriki mkutano wa Baraza...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Naomba kuuliza wataalamu wa uchumi, wanieleze faida zitakazo toka kwenye kiwanda cha magadi kinachopendekezwa eneo la Ziwa Natron. Mkataba utakuwa kati ya kampuni ya Tata Chemicals ya India na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Two Tanzanian stowaways to be deported January 22, 2008, 16:30 Two young stowaways, who spent a harrowing eight days on a small ledge above a container ship's rudder from Kenya to Port...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Hakuna haja ya tume nyingine tena itumie mabilioni for doing nothing! Tunachotaka ni kuona wahusika wote wanatiwa ndani haraka sana na kufikishwa mahakamani kujibu hatia dhidi ya ufisadi na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back to Story - Help Study: False statements preceded war By DOUGLASS K. DANIEL, Associated Press Writer Wed Jan 23, 6:43 AM ET A study by two nonprofit journalism organizations found that...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika taarifa za za habari jana usiku na leo magazetini kumejitokeza kitu cha kufadhaisha sana hususani ktk suala zima la mwanahabari Kubenea na mzee Tega. Sipendi kuhitimisha ila nimepatwa na...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Nilikuwa nauliza tuu kama bado ipo maana nilikuwa member pale lakini nasikia akina Big Ron walikuwa na ideas zingine wanaziozijua wao sasa watu huwa wanahanga wapi? Of course i meant decent...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele, niliskuwa napitia tovuti ya TACAIDS NA NIikaenda katika link ya forum na huku ndipo nikakuta picha za ngono...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
WanaJF, Kuna mdau mmoja ameniomba nipost 'dili' hii fresh... kama kuna anayeiweza, huu ndio wakti wa kuwa mjasiriamali... mi sina uzoefu wa biashara... From: Africa J Bwamkuu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nimekuwa nikitatizwa na swali hili. Kuna kampuni moja ya kizalendo iliyojulikana kama "Mwananchi Engineering and Construction Company" (MECCO). Hivi kampuni hii bado ipo ama ilikufa kama...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Najiuliza kidogo wana JF wenzangu kuhusu kukamatwa kwa watuhumiwa wa umwagiaji wa tindikali kwa mhariri wa MwanaHalisi Bw Kubenea na mapanga kwa Bw Ndimara Tegambwage walikamatwa lini maana mara...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii ni email ambayo imekuwa forwarded kwangu juzi na nimeona itakuwa vizuri nikii share na wadau hapa, rule zilizotajwa hapa ni kumi tu, ningependa kuona mchango wenu kwenye kuziongeza zaidi na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kutokana na ripoti hii ya BOT ni nani hasa mwenye uwezo wa kufungua mashitaka dhidi ya wahusika.Imedhihirika wazi kuna wizi umefanyika ktk bank kuu. 1,je ni bank kuu yenyewe ndio yenye jukumu la...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndivyo wanavyodai baadhi ya watu, wanadai hakuna aliyeshuhudia, hakuna picha za ajali hiyo, gari haijulikani iliko, na mambo kadha wa kadha. Bofya hapa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
It is about time someone has got into this. There has been a lot of fake colleges, claiming to be affiliated with well known Universities here in the UK. Basically they promise international...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Jamani Watanzania wenzangu nisaidieni kwa mawazo yangu Generation ya 50-70 years ndiyo yakulaamu kwa umasikini wetu. Sithani kama Generation zingine zitakuwa corrupt na kutojali nchi kama hawa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nyepesi nyepesi zimetoka kuwa Britney anatoka na mpiga picha wa ki Pakistan na ana mpango wa kubadili dini awe muislamu aitwe Begum Britney na kama hajamaliza habari ana mpango wa kujimuvuzisha na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kumekuwa na maandalizi ya Kikao cha Mabalozi wetu nyumbani wiki hii . Na msemaji mkuu nadhani kama sijakosea ni Balozi Mlay . Habari ambazo Lunyungu mtoto kanipa kwamba pamoja na mambo mengine...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MoDs: Kwa heshima na taadhima ninaomba mniruhusu kutumia ukumbi huu, japo hata kwa muda mfupi tu kumzungumzia ndugu yetu Mac na mchango wake mkubwa anaoufanya kimya kimya hapa JF. Wengi wetu...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Mimi ni Muislamu na Mwenyezi Mungu amenijaalia nimewahi kuhiji pia. Alhamdulillah. Siku moja nilimuuliza Sheikh, "masharti ya mtu kuwa Muislam ni yapi?" Akaniambia ni kukiri kwa moyo na kutamka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…