Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Katika kipindi ambacho teknolojia inaendelea kukua kumekuwepo na ongezeko la michezo mingi ya upatu hasa kupitia mitandao (digital platforms), katika michezo hiyo kumekuwepo na ugumu wa kutambua...
0 Reactions
7 Replies
231 Views
Rais Samia ameagiza waziri ya ardhi na tume yake ya clinic ya ardhi wapige kambi kilindi wahakikishe migogoro yote ya ardhi itatuliwe. Wilaya ya kilindi ndyo inayongoza kuwa na migogoro ya ardhi...
0 Reactions
1 Replies
71 Views
Mkuu wa wilaya ya Hai, Hassan Bomboko ameagiza kuondolewa kwa mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa Mabweni, Vyoo na Nyumba ya mwalimu katika shule ya Sekondari Saashisha kwa kile...
0 Reactions
3 Replies
110 Views
Anonymous
Picha zinaongea yote, wahusika wameshachezesha kuwahi viwanja. Walisema walipoulizwa kwa contacts zao, kwamba kuanzia tarehe 17, sasa itakuwa tarehe 25 Februari. Mnao wahi mkawahi. Labda...
0 Reactions
1 Replies
157 Views
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO. 1. 15%- HESLB LOAN =115,650/- 2. 2%- CWT contribution. =15,420/- 3. 5%- SECURITY FUND. = 38,550/-...
22 Reactions
305 Replies
35K Views
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kama wanaume wangekuwa waadilifu, wenye Haki, upendo, Akili na kupenda UKWELI. Ni wazi Wala tusingekuwa na vuguvugu na harakati za kumkomboa Mwanamke, sijui Haki...
1 Reactions
4 Replies
120 Views
Anonymous
Kumekuwa na shida ya maji Wilaya ya Nachingwea kwa miezi minne sasa maji yanatoka kwa kusuasua wakati huohuo Mamlaka ya Maji (MANAWASA) haijatoa sababu za msingi za uwepo wa hali hiyo au wala...
0 Reactions
0 Replies
160 Views
Kuna tabia ya baadhi ya watu kuwa wagumu kuomba msamaha wakiwa wamekosea, Huwa ni ngumu kwako kuomba msamaha au huwa ni vigumu wewe kuombwa msamaha, kipi kinatokea mara kwa mara kwa upande wako?
2 Reactions
58 Replies
596 Views
Anonymous
Juzi tarehe 23/02/2025 saa mbili na nusu usiku walimkata panga mtoto wa jirani yetu hapa Mwanalugali B na kumpora simu kisha wakalisahau panga hilo eneo la tukio.
1 Reactions
1 Replies
142 Views
MHADHARA (89)✍️ Kitu pekee utakachokula/utakachomeza bure mjini ni mate yako tu. Lakini vingine vyote ni gharama. Hakuna cha bure, ni lazima ulicholishwa utalipia kifedha, kiroho, kimwili...
5 Reactions
12 Replies
230 Views
Ni muhimu Mtumiaji wa Huduma za Mawasiliano ya simu kuhakikisha anachukua tahadhari wakati wa usajili wa laini yake ya simu kwa Wakala kwa kuhakikisha Mtoa huduma ya kusajili na kuhakiki...
4 Reactions
11 Replies
541 Views
Mdada mmoja alikuwa anasema kumeongeza issue ya wake za watu kudanga kutokana na tamaa za wadada wengi kujirundiikiana marejesho juu ya marejesho hadi imepelekea wake za watu sasa kuanza kudanga...
5 Reactions
23 Replies
588 Views
Mwaka jana nilikuwa Masasi mtwara. Wale jamaa ni wakarimu ila watata mno. Imagine jamaa wanakuomba kukushukuru. Utasikia " NAOMBA KUSHUKULU."
8 Reactions
19 Replies
376 Views
Pesa ndo Inaamua mambo Mengi sana, na Pesa ina maamuzi ya kushangaza. Pesa inatawala maamuzi ya watu walio wengi, na Pesa inamaamuzi na ni kirainishi cha mambo Mengi. Note Pesa ni jawabu ya...
2 Reactions
2 Replies
113 Views
Hii yote ni kujitafutia acceptance katika dunia inayoongozwa na literates. Kuna wajinga maarufu bongo hii wakisha shiba vihela vya kupaisha majina ya wanaume wenzao wengine baada ya kusambaza...
10 Reactions
32 Replies
540 Views
Kumekuwa na utaratibu wa Dawasa kufika eneo la nyumba na kukata maji bila hata kutoa taarifa kama wanakata maji ilhali wenye nyumba wapo na namba za simu wanazo kwenye karatasi zao. Je, hii ni sawa?
2 Reactions
12 Replies
228 Views
Handsome boy Wasira hajui digital campaign ni nini? Anasubiri mtu wa kubishana naye ! Hajui kama Dunia imebadilika
0 Reactions
0 Replies
80 Views
Hadi sasa ni nchi nyingi zilizopiga marufuku matumizi ya sumu ya ‘Potassium Bromate’ kwenye uokaji wa mikate; Nazo ni Nchi zote za umoja wa ulaya, Nigeria, China, Peru, Korea ya kusini ...
3 Reactions
27 Replies
837 Views
Habari za Uzima WanaJamiiForums. Kuna kitabu Nimekipoteza ktk mazingira Nisiyoelewa, kinaitwa UCHAWI UNAVYOKUPATA NA KUJIKINGA Cha mwandishi MUNGA TEHENANI wa FAMILIA YA JITAMBUE. Huyu Bw...
12 Reactions
130 Replies
4K Views
Back
Top Bottom