Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Dstv wanapaswa kutujali wateja wao. Nmelipa king’amuzi mwezi sasa unaisha lakini kila nikiwasha niangalie naambiwa bad weather na jua hili kali la dodoma bad weather inatoka wapi mwezi mzima...
0 Reactions
2 Replies
81 Views
Wa Salaamu . Hizi app za kukopesha fedha mitandaoni zimekua nyingi mno. Kila ukiingia online ni promotion za app hizo. Kwa wale wataalamu wa kiuchumi hii ni kiashiria gani kimaendeleo? Je hii...
3 Reactions
9 Replies
190 Views
Anonymous
Habari za leo Mdau, naomba utusaidie kupaza sauti iwafikie taasisi ya OSHA. Wanavyuo wa NIT, Ardhi na Chuo cha Maji 2024 tulilipia pesa 30,000 kwaajiri ya mafunzo semina ya Usalama mahala pa kazi...
1 Reactions
5 Replies
209 Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko (wa tatu kutoka kulia), akiwa katika uzinduzi Rasmi wa tawi la benki ya Exim Tanzania wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Kulia kwake ni...
0 Reactions
1 Replies
108 Views
Wakuu habari za jioni? Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani...
40 Reactions
194 Replies
15K Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Maisha mpaka mtu kufanikiwa anakuwa amepitia mambo mengi kuna stages , kuchekwa , kupuuzwa , kusemwa vibaya , kudharauliwa . Ukiona mtu ana roho mbaya haijaja bure amefundishwa na walimwengu...
7 Reactions
14 Replies
362 Views
Anonymous
Wananchi wa Ruvu na vitongoji vyake tunateseka saaaana na shida ya maji aisee. Ni wiki ya tatu.mfululizo hatuna maji na tunauziwa dumu elfu moja. Kinachoshangaza zaidi ni kwamba sisi wananchi ndo...
0 Reactions
4 Replies
162 Views
Naibu Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi, Geoffrey Pinda, amewataka watumishi wa ardhi nchini kuacha kuyumbishwa na misimamo ya kisiasa, badala yake wanapaswa kutekeleza majukumu yao...
0 Reactions
1 Replies
86 Views
Wakuukwanza niseme nakushukuru sana kwa JamiiForums haswa inaleta exposure watu tunapona kimya kimya kwa maana siku niliyojiunga sikulala ni kama nilikesha natafuta hizi parts nasoma mpaka...
1 Reactions
11 Replies
271 Views
Soma hiki kisa kisha jenga hoja juu ya swali Mume na mke walitembelea shamba na wakaona fahali 🐂 akifanya mapenzi na ng’ombe. Kisha mke akamuuliza meneja wa shamba: "Fahali hufanya mapenzi mara...
3 Reactions
5 Replies
277 Views
Waliokulia vijijini mashambani wanalijua hili... Waliokulia mijini kwenye uchafuzi wa kila aina na vurugu zote hawaijui ladha yake Ukisoma habari za peponi na vile kulivyo unaweza kukubalina nami...
12 Reactions
113 Replies
2K Views
Honestly hivi kila mtu maisha kwake ni magumu hivi? au am cursed? napitia ile moment ambapo kila kitu hakiendi,kila ninachogusa kinaharibika zaidi asee. wezetu huwa mnapitaje kipindi kama hiki ...
19 Reactions
93 Replies
1K Views
  • Redirect
https://www.instagram.com/p/DGgkSgJtzpz/?igsh=MTdpbGZyenB4eHd2NQ== Source: mwananchi online
0 Reactions
Replies
Views
Mwanasheria anasema, kuoa na kufunga ndoa ni vitu viwili tofauti, binafsi yake hapendelei kufunga ndoa sababu ya ‘repercussions’ endapo mtagombana. Anasema ni bora uwe na ‘X’ kuliko kuwa na...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
Amani kwenu watumishi Huyu mwamposa kashindikana Kwa sasa dunian wa kushindana naye ni pope Francis mwenyewe hakuna tena mwingine Hata shetani hawezi kujaza watu kama anaojaza mwamposa Hata...
18 Reactions
67 Replies
3K Views
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye. Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku...
26 Reactions
502 Replies
87K Views
Nyakati ngumu huunda watu wenye nguvu, watu wenye nguvu huunda nyakati nzuri, nyakati nzuri huunda watu dhaifu, na watu dhaifu huunda nyakati ngumu." by G. Michael Hopf. Its simple mabibi na...
1 Reactions
6 Replies
131 Views
Ni miaka 15 sasa imepita tangu ninusurike kuuawa na walimwengu. Nilikuwa nikiishi Tabora, na jioni moja, nilikuwa natembea mjini Tabora. Wakati natembea, nikajihisi kubanwa haja ndogo, nikawa...
40 Reactions
126 Replies
3K Views
Kulingana na baadhi ya Wamalawi kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Lilongwe kipo hakipo Mbeya na kipo Mbeya hakipo Lilongwe. Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Back
Top Bottom