Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wakuu nimekuja kwenu, ofisi za TRA Temeke zina fikirisha sanaa katika uwajibikaji wao Nili-register TRA TIN Number mwaka 2020 branch ya Mbagala sasa nataka nihamishe ile TIN number location isome...
0 Reactions
12 Replies
308 Views
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kuandaa kanzidata za wanafunzi waliohitimu Vyuo Vikuu waliotoka Kaya...
0 Reactions
0 Replies
84 Views
Kwa wale ambao mmeshawahi kusikia namna 'punda' wa 'sembe ya mwakyembe' wanavyo 'packiwa' mizigo ya kusafirisha mtakubaliana na mimi kwamba biashara hii 'takatifu' ina faida kubwa iliyotukuka. Ni...
22 Reactions
182 Replies
33K Views
Leo mida ya mchana wife akiwa anatoka kanisani alikuwa ameongozana na binti muhitimu wa chuo cha ualimu. Hapa nyumbani nimefuga sungura wapo watatu nimenunua hivi karibuni baada ya madogo...
12 Reactions
48 Replies
893 Views
Mfanyakazi wa ndani mwenye asili ya Kiafrika Faustina Tay aliyekuwa akifanya kazi nchini Lebanon amekutwa amefariki baada ya kutuma ujumbe kuwa alikuwa akinyanyaswa Mfanyakazi huyo raia wa miaka...
1 Reactions
225 Replies
24K Views
Hawa watu ni wahuni wameshawapiga watz wanataka kusepa na pesa sasa. Meneja wao huo hapa anaitwa Emily yupo Uingereza +44 7429 429168. Ukiangalia list ya makampuni ya Uingereza hii kampuni haipo...
2 Reactions
34 Replies
998 Views
Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote? Pia soma > LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji
19 Reactions
120 Replies
4K Views
Waumini wawili wanawake, Mercy Rono (38) na Mercy Cherotich (30) kwa sasa wanauguza majeraha baada ya kutandikwa viboko na mchungaji wao, aliyedai kuwatoa mapepo kwa njia hiyo. Kwa mujibu wa...
9 Reactions
22 Replies
703 Views
Kuna siku nilikua Dodoma mitaa ya safina pale karibu na temple ya Hindu mandal Kuna wadada wawili walikua wameketi hapo nje ya Ile temple Kuna kama chemba iv Mmoja kati Yao alikua ana mtoto...
10 Reactions
32 Replies
842 Views
Habari Naomba kuuliza gharama za kujifungua katika hospital hizi private IPI gharama nafuu Na hii ya Jeshi lugalo Gharama zake zimekaaje
4 Reactions
7 Replies
295 Views
Kwa: Meneja wa Bongo Star Search (BSS) Dar es Salaam, Tanzania Yah: Kuanzisha Programu ya Kuwapeleka Washindi wa BSS Kushiriki Mashindano ya America’s Got Talent (AGT) Natumai barua hii...
2 Reactions
10 Replies
201 Views
Kama Ulaya ndiko kuna Kila Kitu cha Kumzuia Israeli asikibonyeze Kitufe, ila wameshindwa je, kuna sababu ya Kufichana?
5 Reactions
44 Replies
1K Views
Kwema wakuu Kama title inavyosomeka ningependa kujuzwa, kati ya Mbunge na Mkuu wa wilaya yupi ana mamlaka zaidi ya kiutawala/kiuongozi? Naelewa mbunge yupo kwenye mhimili wa bunge(legislature)...
2 Reactions
64 Replies
1K Views
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi), imewahukumu kifungo cha maisha Mafanyabiashara Abdu Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha baada ya kutiwa hatiani kwa...
20 Reactions
1K Replies
139K Views
Habari wakuu nimepata mchongo wa kazi nje ya nchi, nimepewa taratibu za kupata passport na inachukua muda wa mwezi na week kutoka, naombeni msaada kama kuna njia naweza kutumia kuipata kwa siku 7...
3 Reactions
38 Replies
472 Views
Leo ndio nimehitimisha kuwa wazazi wengi wanaopeleka watoto EMS ni wale washamba, mostly ni watu ambao wameishia shule za msingi. Wanadhani elimu ni KIINGEREZA. Mtoto makubwa yuko darasa la nne...
7 Reactions
42 Replies
780 Views
Anayefanya biashara ya hewa ukaa (carbon dioxide) naomba mawazo yenu. Ni miaka kadhaa sasa nilitaka kuingia kwenye hii biashara lakini nikaona malipo ni kidogo. Ilikuwa $12 per metric tonne!
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Lengo la kuondowa pombe za kwenye vifungshio vya plastiki kama zed,double punch na konyaji lilikuwa nini na mkaleta master,na vingine vikali lengi nini?
0 Reactions
4 Replies
142 Views
Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo. Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga...
10 Reactions
36 Replies
952 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…