Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Niulize historia, fursa, diplomasia, n. K nitakujibu Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani. Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa...
25 Reactions
173 Replies
5K Views
Mkurugenzi wa kampuni ya altezza.travel, inayomilikiwa na raia wa Urusi, amekuwa akijulikana kwa mafanikio yake katika sekta ya utalii. Kampuni hii imeshinda tuzo ya mlipakodi mkubwa na mzuri...
0 Reactions
30 Replies
1K Views
========================== UPDATE: 27/06/2024 https://www.instagram.com/reel/C8tOKmmqjWh/?igsh=MWJhZWFjNTNhajNtcg ======================= TRA Tanzania Tanzania tuna mfumo wa kodi ambao naweza...
28 Reactions
155 Replies
12K Views
Mwenye kujua shule ya private maeneo ya kimara mpaka mbezi, kama nitajua na ada yake kwa mwaka itakuwa vizuri. NB: shule za karibu za government nilizojaribu kuzifatilia naona mazingira sio...
7 Reactions
31 Replies
356 Views
Hebu leo twende huku na kule duniani tuangalie matukio yaliyotokea miaka ya nyuma, yanayoaminika kuwa yalisababishwa na uchawi au nguvu za giza. Baadaye ntakueleza njia za kuwashinda wachawi na...
19 Reactions
95 Replies
3K Views
Ipo siku mtakumbuka huu Uzi Ila nawaambia vijana wa 2000 ndo wataleta mabadiliko ya kweli katika hili Taifa. Hiki ndo kizazi kimezaliwa katika nyakati ngumu sana, kizazi ambacho mtu anasoma...
5 Reactions
25 Replies
440 Views
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao. Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini. Sasa wanaona choyo kuona waislam...
16 Reactions
104 Replies
1K Views
Anayekuhubiria wanyonge wana nafasi yao enzini amechukua pesa zenu kajenga apartments. Anayepaswa kukuletea maendeleo kutokana makato amenunulia fortuner ya 2012 pesa yako. So what about you, ni...
7 Reactions
15 Replies
256 Views
Anaitwa GIDEON MLOKOZI MASHANKARA ana umri wa miaka 30, mkazi wa Tabata Segerea, Kazi yake ni mfanyabiashara wa kuuza magari lakini pia ni mwanaharakati huru wa mitandaoni,hajulikani alipo siku...
24 Reactions
173 Replies
10K Views
Watanzania wanalalamikia utaratibu uliowekwa na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Mh Dina Mathamani wa kumsaidia kijana aliyeibuliwa na mitandao hivi karibuni wa kufunguliwa account za bank...
3 Reactions
54 Replies
2K Views
Wakuu habari za January naiman wote n wazima wa afya...niende kwenye mada moja kwa moja Tarehe 25/12/2024 saa 9 Kasoro usiku wa kuamkia Boxing Day nilikabwa kwenye bajaji Tukio lilikuwa hivi...
4 Reactions
57 Replies
2K Views
JE, NDEGE INARUDI NYUMA? Ndege nyingi za sasa zina mfumo wa kurudi nyuma #reverse' ambao mara nyingi hutumika kupunguza kasi wakati ikitua (#Braking). Kwa baadhi ya ndege za 'Mapangaboi'...
40 Reactions
466 Replies
21K Views
Katika kila jamii, elimu hupewa nafasi ya kipekee kama nyenzo ya kufanikisha maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla. Wazazi huwekeza kwa gharama kubwa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu...
17 Reactions
156 Replies
2K Views
Grimes mwanamke aliyezaa na Elon Musk watoto watatu ameamua kuposti X/Twitter akilalamika Elon baba watoto wake hapokei simu au kujibu meseji zake kuhusu mahitaji ya mtoto wao anayehitaji matibabu...
0 Reactions
13 Replies
304 Views
Shirika la Bima la Taifa (NIC) linajivunia kumudu ushindani licha ya kuwepo na Makampuni zaidi ya thelathini kwenye soko la Bima Tanzania, imeweza kumudu ushindani kwa kufanya vizuri baada ya...
0 Reactions
3 Replies
844 Views
huyu hapa anafunguka facebook ""Niliharibikiwa na gari maeneo ya kutokea ikulu mda sio mrefu,nikavamiwa na vibaka Saba Mimi pamoja na Dereva wangu ambaye alikuwa anafungua tairi nimepigwa...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Kila siku tunazungukwa na matangazo na hadithi za kupata “hela chap chap” – mara biashara ya mtandaoni, mara crypto, mara forex, na nyingine nyingi zinazoahidi mkwanja wa haraka. Kila mtu...
4 Reactions
62 Replies
2K Views
Back
Top Bottom