Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Anonymous
Kitefure Longuo A Moshi Vijijini, tuna changamoto ya kutokuwa na huduma ya maji kutokana na maji kutotoka hali ambayo inaathiri Watu wengi ikiwemo sisi Wanachuo na Wanajamii kwa jumla, hali hii...
0 Reactions
5 Replies
334 Views
Meneja wa Barrick nchini, Dk.Melkiory Ngido akitoa taarifa ya utendaji wa Barrick na Twiga kwenye kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge...
0 Reactions
0 Replies
125 Views
Habari . Mimi ni muumini mkubwa wa kutoa , Ila katika utoaji wangu huwa nikimsaidia mtu ambaye hatuna undugu wowote , baraka huwa zinarudia kwa kiwango kikubwa Sana. I need to understand kwa...
4 Reactions
30 Replies
414 Views
Kupata uhakika unaweza kufanya utafiti mdogo tu na utagundua hili Kwa Sasa Tanzania hasa Bara ni kama vile Vijana Wote walikufa yaani hawaonekani kabisa kama Wapo tofauti na Gen Z hapo Kenya...
1 Reactions
5 Replies
155 Views
Anonymous
Niliwahi kuandika hapa JamiiForums juu hatari ya biashara kandokando ya barabara kuwa kuna siku gari likosa mwelekeo leo limetokea. Tunaposema wananchi wa kawaida huwa ni kama vile kelele. Lakini...
1 Reactions
0 Replies
90 Views
Malalamiko ya Mgawanyo wa Walimu Kupitia Njia Mpya ya Uajiri ya Ofisi ya Rais Katika Utumishi wa Umma: Katika mchakato wa uajiri wa walimu unaofanywa na Ofisi ya Rais Utumishi, kumekuwa na...
1 Reactions
0 Replies
227 Views
Sinza D (Mtaa wa Sinza Madukani) kuna mradi wa uchakataji wa maji taka unaofanyika chini ya usimamizi wa karibu wa Diwani wetu ukifadhiliwa na Benki ya Dunia na kuratibiwa na DAWASCO, ambapo...
2 Reactions
1 Replies
123 Views
Mo amefanikiwa sana kibiashara na ndio $bilionea wetu hapa bongo anayetambulika rasmi, akipewa kitengo cha DOGE kuleta ufanisi serikalini anaweza kuleta mabadiliko makubwa? Tukumbuke pia Wahindi...
1 Reactions
12 Replies
172 Views
Miaka mingi sana najificha na sitaki zungumzia haya mambo lakini kwa kile nlichokiona usiku huu nimeamua tu kumwaga mboga kwakua wao wamemwaga wali. Niulize chochote nitakujibu elimu yote ipo hapa.
3 Reactions
12 Replies
359 Views
Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ na Uhispania πŸ‡ͺπŸ‡Έ zinapanga kujenga tunnel la Euro bilioni 6 ili kuunganisha nchi hizo mbili. Njia hiyo itakuwa na urefu wa kilomita 38.5, na kilomita 28 chini ya bahari kwenye kina cha...
3 Reactions
28 Replies
706 Views
Heshima kwenu wakuu! Twende moja kwa moja kwenye mada husika, 1. Niliwahi kujichangachanga na kununua simu Samsung galax s9+ mwanangu akalilia kucheza game, nikamwekea game ya magari nikampa...
7 Reactions
20 Replies
466 Views
Utafiti uliotolewa na kuonyesha kuwa 40% ya watumishi wa umma ni mizigo, kwa maana wengi ni wavivu, wazembe na hawatimizi wajibu wao ipasavyo, naunga mkono utafiti huo kwa 100% Chanzo kikuu ni...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Nimeona aina mbalimbali za madaktari kama ifuatavyo πŸ‘‡ ila sijaona Doctor of Men
4 Reactions
25 Replies
558 Views
Wadau ninateswa na chwa kwenye site ambayo ninaendelea na ujenzi. Nyumba bado haijaisha ili watu kuhamia lakini ghafla wamejitokeza mchwa na kusababisha vishimo shimo ndani ya vyumba 2. Baadae...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Kuna swali huwa linanizunguka kichwani hasa linaniambia lengo la kuja duniani nini? Kwanini wengine duniani watajirike na wengine wawe masikini? Na kwanini wengine wamake Impact ila wengine...
6 Reactions
53 Replies
875 Views
Wakuu hivi sehemu sahihi ya kiutafutaji katika ya Morogoro na Katavi ipi ni sahihi? Kwa maana ya biashara ya mazao na maduka ya dawa Morogoro maeneo ya Ifakara, Mvomero, Malinyi, Kilombero na Mlimba?
2 Reactions
3 Replies
257 Views
Danieli 2:27-45 27 Danielii akajibu mbele ya mfalme, akasema, Ile siri aliyoiuliza mfalme, wenye hekima hawawezi kumfunulia mfalme; wala wachawi, wala waganga, wala wanajimu; 28 lakini yuko Mungu...
0 Reactions
2 Replies
93 Views
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba apendekeza nyongeza ya TSh bilioni 945.7 kwenye Bajeti Kuu ya Serikali ya 2024/25 kutoka kwenye ile ya awali ya Trilioni 49.3 iliyowasilisha Bungeni Juni 13,2024...
0 Reactions
1 Replies
240 Views
Mwezi haujaisha ila mmh!!Nimepiga mzigo mmoja hatari sana. siko sure saana na hizi kitu!!…. Maana wiki sasa leo naona kama nawashwa washwa Wenye uzoefu wa hizi dawa za prophylaxis wanitie moyo!😎
2 Reactions
15 Replies
297 Views
  • Redirect
Malipo ya kazi ya caregiver hutofautiana kulingana na mambo kadhaa, kama vile: 1. Mahali pa kazi: Malipo yanaweza kutofautiana kulingana na nchi, mji, au eneo la kazi. Kwa mfano, malipo ya...
0 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…