Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ahsanteni sana TARURA Mkoa wa Mbeya kwa kusikia kilio chetu Wananchi wa Kata ya Forest. Hatimaye vile vifusi vilivyokuwa vimemwagwa katika Barabara ya Sangu kuelekea Benki Kuu vimeanza...
0 Reactions
7 Replies
286 Views
Naibu Waziri wa Mambo ya ndani Mhe. Daniel Sillo amesema katika kipindi cha kuanzia mwaka 2022 hadi 2024 jumla ya wananchi 1,113 wamepoteza maisha kutokana na ajali zilizosababisha na pikipiki kwa...
2 Reactions
9 Replies
358 Views
Mods mnaweza unganisha uzi huu na wa mwanzilishi wa hii mada hii Robert Heriel Mtibeli Uzi ni : Moja ya dalili ya kijana kukosa maadili ya wazazi ni kuwafanya Wasanii wa muziki, drama na Filamu...
1 Reactions
1 Replies
85 Views
Ndugu wanabodi. Mimi binafsi ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Airtel. Lakini pia ni freelancer na agent wa mitandao yote ikiwemo na Airtel. Kitu kilichonistua mpaka kuandika hii thread. Ni baada...
3 Reactions
18 Replies
468 Views
Serikali ya Tanzania kupitia TCRA tunaomba mtusaidie Wananchi wenu, kuna mitandao ya simu (..) kila ukiweka salio la fedha unatafutwa na namba ngeni Kuna mitandao fulani ya simu kila ukiweka...
9 Reactions
22 Replies
589 Views
Nilipokuwa mdogo kiroho miaka 10 iliyopita,nilikuwa nikishiriki mila za jadi zilizohusisha kutambikia mizimu na kuomba kwa mizimu na kupekela sadaka kwa mizimu. Sadaka kwa mizimu zilikuwa ni...
3 Reactions
7 Replies
566 Views
Hakuna watu walio athiriwa na mtaala Mpya wa Elimu Tanzania kama wamiliki wa shule za EMs . Kwa sababu ya mtaala huo hata wale wazazi walio kuwa vichwa ngumu kuwatoa watoto Wao Ems kuwarejesha...
16 Reactions
227 Replies
5K Views
Anonymous
Kumekuwa na changamoto wakati wa kuhuisha leseni za LATRA Kwa waliopata mwaka 2023 ikidaiwa kuwa tumepewa kimakosa, huku tukifanya kazi kwa takribani miaka 2, Mwaka wa tatu huu unaambiwa umepewa...
0 Reactions
2 Replies
289 Views
ASSETS ZA ASILI ZA MWANAMKE NA MWANAUME. HIZI UKIZIJUA ZITAKUSAIDIA PAKUBWA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Assets ni rasilimali aliyonayo mtu au kampuni, taasisi au shirika, au taifa...
6 Reactions
13 Replies
575 Views
Ikiwa ni siku chache tu tangu Kundi la Tembo kutoka Hifadhi ya Burigi - Chato kuvamia Mashamba na Makazi ya Wakulima wa Kata ya Kasulo, Wilayani Ngara Mkoani Kagera, Wananchi wengi walioathirika...
0 Reactions
0 Replies
295 Views
My Take Hakuna Nchi imewahi fanikiwa kupambana na rushwa Kwa 100%. Ni ufisadi kwenda mbele πŸ‘‡ πŸ‘‡ https://x.com/elonmusk/status/1888176132484211041?t=B6ACjCkp3ZcJ-bjPBv7gXw&s=19 Eti hao ndio...
5 Reactions
74 Replies
2K Views
Katika mijadala mingi kuhusu dini na imani, kuna mkanganyiko mkubwa kati ya neno mpagani na mtu asiyeamini kabisa uwepo wa Mungu (atheist). Nimetumia neno wapagani kwenye kichwa cha habari ili...
3 Reactions
19 Replies
359 Views
Imeamuliwa 'next stage' isitishwe. Baadhi ya maombi ya unyenyekevu ya 'theState': 1. Sheria zifuatwe na zile zisizofaa zibadilishwe. 2. Mwakani kuwe na mwendelezo wa kuandika katiba ambapo bunge...
155 Reactions
399 Replies
71K Views
Ndio, hakuna kinachosaidika kwenda gaza directly, vitu vingi vinapita kwanza kwa hamas alafu wanapewa wananchi wachache kwa ajili ya ushuhuda wa bongomuvi. Wanashirikiana katika kuua ideology ya...
0 Reactions
5 Replies
132 Views
Miaka kama 13 imepita wakati huo tukiwa Ilboru sekondari nilikuwa na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tunaishi jirani kwenye jiji moja la kanda ya ziwa Tulikuwa hatufahamiani kabla...
72 Reactions
204 Replies
36K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Ajali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki...
13 Reactions
191 Replies
15K Views
Wapendwa! Kwa masikitiko makubwa, Familia ya Banduka inasikitika kuwatangazia kifo cha Mhe. Nicodemus Manase Banduka kilichotokea ghafla jana, Ijumaa jioni, wakati akipatiwa matibabu katika...
15 Reactions
71 Replies
5K Views
Hiyo inaitwa danganya toto, tunawahamisha Wapalestina Kwa Muda, wanaenda Saudia ili tuwajengee kagaza kazuuuuuuri katamuuu kana maghorofa ya kunesanesa ,viwanja vikali , kagaza kama Paris vile ...
0 Reactions
6 Replies
179 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…