Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Leo Mei 6, 2024, JamiiForums (JF) imetembelewa na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael A. Battle, kwa lengo la kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na taasisi, ambapo amepitishwa kwa...
28 Reactions
93 Replies
4K Views
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette Nørgaard Dissing-Spandet ameitembelea JamiiForums (JF) na kufanya mazungumzo na Uongozi na Watendaji wake ikiwa ni pamoja na kujionea maendeleo ya Taasisi...
22 Reactions
63 Replies
3K Views
Kulikuwa na malalamiko sana kwenye mamlaka hii maana kila kijana ukimkuta kijiweni lawama kwa NIDA ila hali mnavyoenda nayo kiukweli niwape maua yenu💐💐💐💐💐💐 Jamaa wangu alipeleka maombi tarehe 01...
2 Reactions
13 Replies
556 Views
Katika hali isiyo ya kawaida website ya kusajilia Kampuni ya ORS iliyo chini ya BRELA iko down kwa zaidi ya masaa 3 sasa ! Ikitoa ujumbe wa "capacity problem" message kama hizi hutokea pia ambapo...
0 Reactions
2 Replies
111 Views
Kuna wadau wanaamini katika uchawi mdau karibu utujuze je ni jambo gani lilikufanya uamini kuna uchawi?
4 Reactions
18 Replies
376 Views
Malaka ya Mapato Tanzania (TRA) ndugu zangu mmetoa matangazo ya kazi na kuwataka Watanzania waombe lakini sijui ni kwa makusudi au bahati mbaya mtandao wenu ni shida kiasi kwamba inakuwa ni vigumu...
0 Reactions
9 Replies
698 Views
Katika maisha kuna aina nyingi za watu , leo nitakupa aina tatu za watu ambazo zinaweza kuwa msaada kwenye maisha yako kwa namna moja au nyingine. 1.Leaf People (Watu Majani). Hii ni aina ya watu...
4 Reactions
4 Replies
301 Views
Wakuu, Kuna mila na desturi za kiafrika ambazo zingeendelea kuwepo tungekuwa na idendity ya yetu kipekee sana katika bara letu na duniani kwa ujumla, Tamaduni kama vile uvaaji wa nguo za heshima...
1 Reactions
1 Replies
88 Views
Ni kijiswali tu nilichojikuta kinanijia hivi kichwani Mungu, Vigogo wote wanaowalipa wako Dodoma, mbona chawa wao wamekomaa tu Dar?
1 Reactions
20 Replies
545 Views
Walimu na Wanafunzi wa shule ya msingi Nachingwea wameomba serikali na wadau waliowahi kusoma hapo kusaidia kuboresha majengo ya shule hiyo yaliyo na hali mbaya. Shule hiyo ina Wanafunzi 549...
1 Reactions
12 Replies
988 Views
Saa chache tangu taarifa ya kufukuzwa shule kwa wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga kwa madai ya wazazi wao kukiunga mkono Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkurugenzi Mtendaji wa...
6 Reactions
62 Replies
3K Views
Meta imeanza kufuta maelfu ya nafasi za kazi huku kampuni hiyo kubwa ya mitandao ya kijamii ikichukua msimamo mkali dhidi ya wafanyakazi wanaoshindwa kufanya vizuri na kujiandaa kifedha kwa ajili...
1 Reactions
4 Replies
404 Views
  • Redirect
Mzee John Samwel Swai(61) mstaafu wa Jeshi la Polisi amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumsaidia asiondolewe katika kambi anayoishi kwani bado hajalipwa fedha za mizigo pamoja na fedha za likizo...
1 Reactions
Replies
Views
Ripoti za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), zimeendelea kuonesha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara tangu Serikali ilipoamua kulifufua kwa kununua ndege...
2 Reactions
15 Replies
425 Views
NIRC YASHUSHA NEEMA PWANI KUJENGA VISIMA VYA UMWAGILIAJI VITANO NIRC Pwani Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imesaini mkataba wa mradi wa uchimbaji visima vitano vya umwagiliaji katika Mkoa...
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Brigedia Jenerali, Fransic Mndolwa alipofanya mahojiano na kituo cha Televisheni cha ITV kwenye kipindi cha dakika 45 Februari 10, 2025 alisema Wananchi kuongozwa haimaanishi hawana akili, kwani...
2 Reactions
10 Replies
353 Views
Polisi wao ni watekelezaji wa sheria, Bunge ni watungaji wa Sheria baada ya CPD kuzipitia. Mapenedekezo yanatoka katika idara husika. Sasa, Bodaboda zina plate number kwa nyuma tu ila mbele...
0 Reactions
4 Replies
206 Views
Serikali mkoani Kigoma imeahidi kuendelea kusimamia kwa ufanisi miradi yote ya Maendeleo na kuhakikisha inakamilika kwa wakati na ubora kama ilivyopangwa sambamba na kutosita kuchukua hatua kwa...
0 Reactions
1 Replies
114 Views
Amani iwe kwenu wanajamii Mama mjamzito usiku wa kwenda kuzaa akimuota Bikira Maria Anamzaa Yesu, kondo zimezagaa zagaaa. Hiyo ndoto inakuwa na maana gani? Na alizaa wa kiume
1 Reactions
11 Replies
266 Views
Back
Top Bottom