Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Good Morning wadau wa JF. Visa vya rafiki kuwa adui ni vingi mno na vimeandikwa sana humu na sehemu zingine mbalimbali. Je, adui yako anaweza kuwa rafiki? Au aliyewahi kuwa rafiki kisha akageuka...
2 Reactions
24 Replies
779 Views
Juzi tarehe 2/2/2023 Mjumbe wa Shina namba 9 Mbezi Beach B Bw. Daudi anasema alipigiwa simu akiambiwa kuna mtu ambaye amefia kokoni, ambapo alipofika eneo la tukio akakuta kichwa cha mwanaume huyo...
5 Reactions
35 Replies
5K Views
Matukio ya kinyama yametokea dhidi ya wanawake wawili katika Mtaa wa Chinyika jijini Dodoma ambao miili yao imeokotwa huku mmoja ukionekana kujeruhiwa na kitu chanye ncha kali. Kwa mujibu wa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mbuni ni ndege, tena MKUBWA aliyejaa minofu inayovutia. Nimemuangalia na kumtafakari, hakika amenona. Nimeona huko kwa wenzetu, nyama yake inauzwa bei mbaya na inatajwa kwamba ni nyama yenye...
3 Reactions
18 Replies
498 Views
KAMA HIVI NDIVYO UNAVYOISHI MJINI NI BORA URUDI TU KIJIJINI UKAISHI KULINGANA NA KIPATO CHAKO. Yawezekana hii isiwe makala nzuri kwa waishiyo mijini huku wakijisifu kila siku na kuwabeza waishiyo...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakuu kwanza Nawatakia sabato njema upendo na Mwanga ukatawale katika maisha yenu. Nina ndugu yangu Ana umri wa miaka 33 kazaliwa 1992 Elimu yake darasa la saba. Ndugu hana Kazi ya kudumu ...
1 Reactions
5 Replies
208 Views
Naomba JamiiForums itazame yafuatayo. Je, ni sahihi kwa mkandarasi kutaka kupunguza kilomita za barabara kwa kuchepusha barabara karibu na vyanzo maji eneo la Kitulila huku akijua kufanya hivyo...
0 Reactions
4 Replies
137 Views
Kodi mnakusanya lakini hata usafi wa kuondoa buibui mmeshindwa??
0 Reactions
3 Replies
189 Views
Hili suala limekaaje kitaalamu, mfano benki kama NMB ukitaka kutuma pesa kwa mtu kutoka kwenye Akaunti ya benki kwenda kwa namba yake ya simu Cha mtema Kuni utakiona. Je hii ni sawa wakuu? Kwanza...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
Wakuu Anaitwa Mussa Mkama mhariri wa zamani wa gazeti la Dira ya Mtanzania na baadae Fahari Yetu, mwenye namba zake anipe, kuna habari yake aliiandika, nataka kumpa vielelezo, nadhani itasaidia...
0 Reactions
0 Replies
97 Views
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amewataka Viongozi wa Chama cha Msingi Kisuke katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama kusitisha utunzaji wa nyaraka za ofisi katika Jaba...
0 Reactions
1 Replies
191 Views
Kichwa chahusika. wanajamvi, serikali kwa ujumla na watu wa haki za binadamu, tumuunge mkono raisi trump kwa kupinga ushoga na usagaji, tuone hao wa haki za binadamu watapitia wapi labda...
2 Reactions
2 Replies
225 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri...
1 Reactions
19 Replies
784 Views
Hima ni kundi la watu wa asili ya Kibantu na Nilo-Hamitic linalopatikana hasa katika maeneo ya Afrika Mashariki na Kati, hasa Uganda, Rwanda, Burundi, Tanzania, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
0 Reactions
3 Replies
360 Views
Shaloom Shaloom Katika pitapita zangu kwenye barabara ya Morogoro nimekumbana na tatizo kubwa la foleni kutoka ubungo mpaka Kimara kuelekea Mbezi. Foleni ni kubwa na haisogei kutokana na shughuli...
3 Reactions
20 Replies
480 Views
Nikiwa nataka kujua kuhusu nchi huwa natembelea page zenu IG na X. Hamna upande mko upande wa wananchi. Kipindi ambacho habari za kijamii zimekuwa zikikwepwa na vituo vingi nyie mmekuwa...
10 Reactions
7 Replies
218 Views
Habarini, Mliowahi kutoka nje ya nchi hii basi mkuje kutuhabarisha kuhusu hili. Nini mmeona? Nini mmefanyiwa ili tunaohangaika kutoka tujue mapema. Kuna mmoja alisema yeye aliwahi kuvutwa pua...
0 Reactions
0 Replies
149 Views
Licha ya awali usafiri wa Mwendokasi kuvutia watu wengi lakini kwa siku za hivi karibuni abiria wengi wamekuwa wakilalamikia changamoto mbalimbali ambazo zinajitokeza kwa nyakati tofauti. Kwa...
2 Reactions
4 Replies
550 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…