Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

...
0 Reactions
1 Replies
136 Views
Usafiri wa mwendokasi unazidi kuzidiwa nguvu kila siku. 🥲 kwa nini wasipunguze adha kuwa kuleta ata 20 Leo kuna mtu kamshika mwenzie shingo akijua ni nguzo Mwendokasi Mwendokasi Mwendokasi...
1 Reactions
7 Replies
219 Views
Gharama ya kuungiwa umeme kwa wakazi wa vijijini ni shilingi elfu 27 tu (27,000). Lakini kwa wakazi wanaoishi mjini gharama yake ni Laki tatu na arobaini na moja elfu (341,000)- Mh. Jones Olutu...
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Kidunia, kutokana na maendeleo, sayansi na teknolojia, ongezeko la ukwasi wa vitu yamewafanya watu kuwa na maswali mengi kuliko majibu kumekuwa na mahitaji makubwa sana ya kuelewa zaidi ya kile...
2 Reactions
6 Replies
215 Views
wananchi masikini wanahangaika ila mabeberu wapo bize kununua magari ya milioni mia nne ++ wakiendelea kula rushwa na kurundika madeni nchini, mwisho wa siku wanaachia ngazi na madeni yakushiba
0 Reactions
0 Replies
104 Views
Sawa ndugu, ili usimuingize Yesu Kristo kwenye mambo yenu ya kijinga.
8 Reactions
50 Replies
2K Views
Anonymous
Barabara ya kutokea Mvuha kupitia Kibungo Chini Mission kuja mpaka kutokea eneo la Mikese imekuwa kero kwa kila raia anayeitumia, na ajabu ni kuwa barabara hii imekuwa hivi kwa muda mrefu na...
0 Reactions
1 Replies
264 Views
Ipo hivi wakuu Kuna Jamaa nilimuamini sana maana niliunganishwa na rafiki yangu yani rafiki yake na rafiki yangu katika kumsaidia katika kazi!? Siku ya alhamisi akanishtua huyo rafiki yake na...
5 Reactions
12 Replies
694 Views
Wakuu this is my story. Jamii tunayoishi bado haijafunguka na kuifungua akili mpaka mwisho wake. Kuna watu mpaka leo hii wanazichukulia powah course za online. Mimi ni graduate wa shahada...
13 Reactions
45 Replies
2K Views
Shule ya Sekondari Reginald Mengi yapokea vifaa vya tehama Ofisi ya Mbunge Jimbo la Moshi Mjini imeendelea kutekeleza ahadi zake na kutatua kero mbalimbali za Jimbo kupitia Serikali Kuu...
0 Reactions
1 Replies
86 Views
Jamani mabus ya Hood yamefia wapi? Hood was the only competitor ya Abood and was going faster na pia was sharp wamefia wap? Abood mmewafanya nn?
7 Reactions
90 Replies
8K Views
Hakuna jambo linaondoa UTU WA MTU kama hichi kinachoitwa uchawa,Uchawa ndani yake umeficha maovu,umeficha ukweli,umeficha uzalendo na umeficha uMungu,kwa tafsiri ya chawa ni mtu aliyetayari...
7 Reactions
28 Replies
484 Views
Mwandishi: Dokta. Mungwa Kabili….0744 000 473 Nimekuwa nikipokea barua pepe kutoka kwa watu mbalimbali, wakitaka kujua masuala mbalimbali kuhusu ulozi, uchawi na jinsi ya kujikinga dhidi ya uchawi...
2 Reactions
30 Replies
65K Views
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia mwezi June mwaka huu 2024, deni la Serikali liliongezeka na kuwa Tsh. bilioni 96,884.18 (Tsh. trilioni 96.8) ambapo Kati ya...
8 Reactions
74 Replies
2K Views
Wakuu nipo Venue hapa kuna MTU anasoma nyuzi za Robert Heriel na kujifanya ni za kwake huku akijisifu. Hakika JF sasa ni zaidi ya chuo. Hivi wanafunzi wa masters utawadanganya kirahisi hivi!
30 Reactions
101 Replies
2K Views
Ujinga ni bahari kubwa na tunaendelea kuogelea bila boya
26 Reactions
230 Replies
7K Views
Hapa nawajibu wale wenzangu na Mimi, ukiona mtu anakueleza anapata faida fulani kwenye biashara fulani ujue hiyo biashara alishaacha kuifanya kitambo. Biashara ni Siri kubwa na faida za biashara...
25 Reactions
97 Replies
2K Views
Kuna wakati tunaingia kwenye ugomvi na watu kwasababu ya kushindwa kusema hapana Na Kuna wakati tunaingia kwenye magumu ambayo hatuku paswa kuya pitia kwa kushindwa kusema hapana Unapo shindwa...
1 Reactions
1 Replies
126 Views
Back
Top Bottom