Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ukosefu wa Maji Baadhi ya Wananchi Mtaa wa Luguruni Wilaya ya Ubungo Tangu Februari 2024, baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Luguruni tumekutana na tatizo la ukosefu wa huduma ya maji. Tumeshajaribu...
1 Reactions
1 Replies
135 Views
Mimi Mkazi wa Mindu, Manispaa ya Morogoro jamani huku kwetu kuna kero ya maji mno licha ya kuwepo kwa bwawa lakini sisi hatuna huduma ya maji mpaka imekuwa kero inatulazimu kutumia maji ya kwenye...
1 Reactions
4 Replies
420 Views
Anonymous
Waziri wa Maji Juma Aweso alivyokuja alibadilisha uongozi kwenye idara ya maji hapa Morogoro na akasema maji yawe yanatoka hadi weekends kwa katikati ya wiki waweke utaratibu kama kutoka yatoke...
1 Reactions
2 Replies
269 Views
Geita, Tanzania https://m.youtube.com/watch?v=vUhvYl7Mfww Wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari Businda, wilayani Bukombe wapoteza maisha huku 73 wakijeruhiwa nchini Tanzania Tukio hilo...
0 Reactions
4 Replies
227 Views
“Tanzania ni moja ya Nchi 12 zitakazozindua mpango mahususi wa kitaifa kuhusu nishati, kupitia mpango wetu tunatarajia kuongeza kasi ya kuunganisha umeme nchini hadi kufikia 72% ifikapo mwaka...
1 Reactions
3 Replies
143 Views
Mungu alimuumba mwanaume kwa mfano wake, na sio MWANAMKE. Hivyo basi mwanaume ni kiumbe kitakatifu cha Mungu muumba na MWANAMKE ni kiumbe kitakatifu cha shetani, ndio maana nyoka aliweza kumtumia...
2 Reactions
6 Replies
278 Views
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa...
58 Reactions
324 Replies
7K Views
Hali ya usomaji wa taarifa zenu za habari hazifanani na sifa mnayojipa, usomaji wenu vituo havieleweki kiasi cha msomaji kuishiwa pumzi. Taarifa husomwa kimperampera yaani dakika sita mmemaliza...
3 Reactions
17 Replies
297 Views
Anonymous
Tafadhali ndugu Mavunde tusaidie sisi wakazi wa mtaa wa Chinyoyo kata ya kilimani tunateseka sana na ubovu wa barabara. Kata ya kilimani ina mitaa mitatu, Uzunguni, Chinyoyo na Image! Cha...
0 Reactions
4 Replies
164 Views
Wakuu niaje? Natumai mko poa... Twende kwenye mada tajwa hapo juu... Je kuna uwezekano wa kumuabudu Mungu pasipo kuwa na mafungamano na haya madhehebu ya kidini? Siku za hivi karibuni nimefanya...
18 Reactions
147 Replies
2K Views
Siku si nyingi niliandika hapa kuwa Kongo ni Taifa lililolaniwa. Kwa akili za viongozi wao wale Taifa lao litazidi kulaaniwa...
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Kama kichwa cha habari kilivyo! Makondakta na Madereva wa dala dala Mbeya wanatoa lugha mbaya sana kwa abiria. Sumatra waelimisheni abiria haki zao ndani ya dala dala acheni kushinda ofisini watu...
0 Reactions
0 Replies
97 Views
NOVENA YA MT RITA WA KASHIA YA SAA 15 MAALUM KATIKA SHIDA KUBWA(Sali Novena hii kila saa. Hadi ufikishe saa zote 15 bila kukatisha . Saa 15 za Novena hii hukumbuka miaka 15 ambayo Mt Rita aliishi...
9 Reactions
20 Replies
16K Views
Hivi inawezekanaje TBC1 kama Chombo cha Taifa kinatoa Kipaumbele kwa Saa zaidi ya Mbili (Masaa Mawili) Watangazaji wake kuonyesha Viongozi wa Mikoa (RC's) na Wenyeviti wa CCM Mikoa wakimsifia Rais...
10 Reactions
23 Replies
866 Views
Sijajua kwanini Watangazaji wetu tena nguli kabisa hawajaonekana wakifanya Kitu chochote Kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Au hatuna Watangazaji nguli wa Kimataifa hapa kwetu? Nimeshangaa...
3 Reactions
45 Replies
1K Views
Serikali ya Donald Trump imetambulisha sera ya bendera moja, ambapo bendera ya Marekani pekee ndiyo itakayoruhusiwa kupepea katika vituo vyote vya Serikali ndani na nje ya nchi zikiwemo ofisi za...
1 Reactions
0 Replies
161 Views
Yes, kwa maana hii competition ya AI itafanya intelligence kuwa na uwezo mkubwa wa kuweza ku dis-organize na re -organize kwa maana naamini AI it evolve kuwa kitu kipya then kwa kutumia ubunifu...
0 Reactions
2 Replies
117 Views
Nilikuwa naitwa jina fulani, kutokana na Imani yangu ya Dini,jina nililopewa na wazazi wangu, Baada ya kubadili Dini,mimechagua jina lingine linaloendani na imani yangu, Sasa nilitaka kubadirisha...
1 Reactions
42 Replies
3K Views
Kweli Tanga imeshawabadirisha wamaasai hahah bado wahadzabe😂😂 https://youtu.be/-Mk2nr6Nq7Q?si=8jbLCwgH2Q6Px5xd
1 Reactions
4 Replies
199 Views
Nilikuwa katika pitapita zangu za kawaida pale Ubungo Kibangu, lengo likiwa kumtembelea rafiki yangu wa zamani ambaye tulisoma naye sekondari. Ni kijana wa miaka 28, mcheshi na mwenye kipaji...
17 Reactions
66 Replies
2K Views
Back
Top Bottom