Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Amini usiamini hata ng'ombe, paka, kuku na wanyama mbalimbali wafugwao wanao uwezo wa kununa, kucheka na kuongea najua utabisha Toka 2005 nilijikita kufanya utafiti wa maisha ya wanyama hasa hawa...
5 Reactions
25 Replies
657 Views
Habari za jioni, Karibuni kwenye uzi huu kwa ajili ya kuhabarishana kutoka kwa mshahara kila mwezi, nyongeza ya mshahara na updates mbalimbali za mishahara kwa Watumishi wa Umma. Ahsanteni.
13 Reactions
125 Replies
9K Views
Takwimu za Video zao Mtandaoni za Jana na Leo za watu waliokuwa wanfuatilia uchaguzi chadema Kupitia JAMBO TV 🅴 TUNDU LISSU ANAZUNGUMZA MUDA HUU Kutazamwa: elfu 140Ilitiririshwa saa 2 zilizopita...
4 Reactions
15 Replies
762 Views
Taasisi ya Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imebaini ubadhirifu mkubwa wa mali na fedha zinazozidi Shilingi bilioni 2 katika Msikiti wa Manyema uliopo Kariakoo, Dar es Salaam. Matokeo haya...
-1 Reactions
1 Replies
267 Views
Ndugu wa wagonjwa wenye wagonjwa wanaopatiwa huduma za matibabu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wameshauriwa wanapowatembelea wagonjwa wao kuwapelekea vyakula vyenye...
0 Reactions
6 Replies
240 Views
Vijana wengi wanachomini kuwa hauwezi kufanikiwa pasipo Connection . Ila ukweli ni kwamba kuwa hauwezi kufanikiwa Pasipo network. Nini maana ya Connection - Kuungana wewe na mtu Fulani . Mfano...
0 Reactions
1 Replies
187 Views
https://youtube.com/shorts/uniqnNb37D8?si=tx3ZRU-dGCu6Bye_
0 Reactions
1 Replies
136 Views
Niwe muwazi, Tangu viongozi mbalimbali CHADEMA walivyoanza kukiri kwamba bila katiba mpya hawawezi kuchukua uongozi wa nchi kusema kweli imani yangu na mapenzi yangu kwa chama hichi imeporomoka...
3 Reactions
21 Replies
531 Views
Umeanguka Babeli. Umeanguka binti sayuni. Ulitarajiwa kuwa furaha kwa wengi lakini harufu ya kidonda chako imeongezeka. Uchungu wako umezidi, ghadhabu na ukali wa upole wako vinatisha. Nzi wengi...
1 Reactions
3 Replies
154 Views
Kama huyu rafiki yangu yuko humu tafadhari nimtumie namba yako PM Nakutafta sana
0 Reactions
14 Replies
422 Views
Wengine wakiumwa na wadudu hao mwili unaumuka sana haijalishi ni sehemu gani ya mwili Wengine wanaumuka ikiwa sehemu iliyoshambuliwa ni usoni pekee Wengine wanaumuka ikiwa wadudu waliomshambulia...
1 Reactions
9 Replies
231 Views
POLISI KUENDELEA KUSIMAMIA USALAMA SHUGHULI ZA VYAMA VYA SIASA BILA KUJALI ITIKADI: BASHUNGWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Jeshi la Polisi litaendelea...
0 Reactions
4 Replies
123 Views
https://youtu.be/23QtRyNYoyY?si=NeqYAKxzKpR9T93K https://youtu.be/jG1nesE5JKM?si=h_STHh1C1f7sIBiM
0 Reactions
0 Replies
66 Views
jirani yangu nilimwambia awafungie Ngombe wake waache kuniharibia shamba hakuskia, nikatuma chief na mzee wa mitaa hakuskia, nikatuma baba yake mzazi hakuskia. Mimi nikanunua dawa iko na sumu...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Wote mmeona namna huu uchaguzi ulivyo kuwa wa wazi, Tofauti na Ndio za CCm na Hapana zao
5 Reactions
15 Replies
412 Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mtu mmoja amekutwa na maambukizi ya virusi vya Marburg (MVD) katika Wilaya ya Biharamuro mkoani Kagera. Taarifa hiyo inakuja siku sita tangu Shirika...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Wafahamu Yahoo Boyz vijana wa Nigeria ni wakina nani? Wapo tayari kupata pesa kwa gharama yyte ile. Pitia thread hio ya X kuwafahamu...
0 Reactions
3 Replies
275 Views
Watanzania wanaoishi Jamhuri ya Czech wameahidi kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa zinazopatikana katika nchi hiyo kwa manufaa ya nchi na wananchi. Ahadi hiyo wameitoa Januari 18, 2025...
1 Reactions
4 Replies
176 Views
Moja kati ya sifa kubwa aliyonayo Rais wetu ni uwezo wa kusikiliza kila mtu na uwezo wa kuvumilia mambo mengi. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Msikivu na Mvumilivu. Pakua Samia App kupitia Play...
1 Reactions
6 Replies
148 Views
Zile zama za kuwa na uhakika wa ajira ukiwa na elimu zilishapita kitambo sana. Hali imebadilika mostly kuanzia 2010 soko la ajira za kisomi limekuwa gumu sana, Ajira nyingi inabidi uwe na...
4 Reactions
20 Replies
472 Views
Back
Top Bottom