Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Simba katuheshimisha Watanganyika.. Kamnyoa kipara mwarabu. 💪🏿🙏🏿💥💥..! TAL ni SIMBA kwa alama .. Ni alama Ya uthubutu mkubwa na fearless.. Tumeanza na SIMBA tunamaliza na LISSU💪🏿💪🏿💪🏿 Huko chama...
16 Reactions
36 Replies
834 Views
Asante, Donald J. Trump! Rais Trump ametimiza ahadi ya kampeni kwa wafuasi wa chama cha Libertarian katika siku yake ya pili ya kurejea ofisini kwa kumsamehe muundaji na mmiliki wa tovuti ya...
1 Reactions
0 Replies
192 Views
Nakumbuka Mwaka 2012 Kipindi Ujana Maji Ya Moto 😂, Nilianzaga Mazoezi Ya Ngumi Kwa Ajili Ya Self Defense (Deep Down Ni Ukorofi Tu Ndo Ulikuwa Unanisumbua) Basi Bana Nikapiga Tizi Usiku Na...
2 Reactions
5 Replies
221 Views
Habari ya asubuhi, nimekuwa mfuatiriaji wa huu UCHAGUZI na kipindi Cha kampeni CHADEMA ila hawa baadhi ya makada heshima ZAO ZITASHUKA Kwa kiwango Cha 4g badhi ni hawa. 1. Yericko Nyerere...
6 Reactions
28 Replies
788 Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Mvua kubwa sana inanyesha hapa Dar sijapata kuona. Tangu nizaliwe sijawahi kushuhudia mvua kubwa kiasi hiki. Serikali ijiandae kukabiliana na athari za...
17 Reactions
292 Replies
16K Views
Tumewaona wanyama na binadamu wengi wakizeeka na kufa lakini sio nyoka.. Ni ngumu sana sana kukutana na nyoka mzee.Siri ni moja tu. Nyoka wana hulka ya kujivua gamba (ngozi ya zamani) pale...
14 Reactions
39 Replies
886 Views
Mpaka sasa wamefanikiwa walau asilimia 40 kutengeneza kundi la upinzani ndani ya CHADEMA Kwamba sasa kuna makundi mawili yanayokinzana 1. Kundi la mwenyekiti 2. Kundi la makamu Makundi haya...
12 Reactions
56 Replies
2K Views
Jeshi la Uokoaji (Zimamoto) Mkoani Arusha, limeshindwa kumuokoa kijana aliyeshindwa kutoka kisimani hali iliyopelekea afie ndani ya kisima hicho. Baada ya Jeshi la Uokozi kushindwa kumtoa kijana...
-1 Reactions
32 Replies
1K Views
Huko DRC vijana wahuni wa mtaani, wanaotishia amani Kwa kuvamia makazi na kuuwa raia, kubaka, kutoboa watu macho, kukata viungo vya watu hasa wanawake ,wazee na watoto, kuuwa mifugo, kuharibu...
21 Reactions
148 Replies
7K Views
Nilimfahamu kwa karibu kipindi cha ukarabati wa kisasa wa Bills.. Nilikuwa sehemu ya technical team.. Hivyo tulionana karibia kila siku pale site Mwamba ni mtu makini sana mtulivu asiye na...
12 Reactions
28 Replies
1K Views
KUTOKA KWENYE KITABU CHA NGUVU YA MIMEA Choma Kuni za mpaina ili kuvutia pesa ndani ya nyumba
0 Reactions
5 Replies
151 Views
Habari wakuu, Kuna mtu mmoja wa sura ya kihindi amepita Dar es Salaam, maeneo ya Mwenge, anawatabiria watu maisha yao. Je, na nyinyi mmemwona? Je mambo anayo watabiria watu ni ya kweli?"
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Anonymous
Hapa Mkoa wa Kigoma kumeibuka wimbi la mauaji na ukabaji katika Kata ya Nyumbigwa, Wilaya ya Kasulu yanayodaiwa kufanywa na baadhi ya raia wa kigeni wakiwemo kutoka Burundi. Raia hawa huchukuliwa...
2 Reactions
5 Replies
636 Views
Mnaofuga paka. Mtagundua paka usipompa attention, ndio atakuja miguuni mwako, kutaka kucheza na wewe. Ila ukianza kumpa attention, kutaka kumfata fata, mara nyingi ataanza kukukimbia.. Wanaume...
28 Reactions
71 Replies
2K Views
Jana nilitoka nje ya wilaya niliyopo kwa ajili ya jambo flan flan, sasa wakati nikiwa huko ugenini mwenyeji wangu alichelewa kunifuata baada ya kumsubiri kwa muda alikuja. Basi akasema amechelewa...
17 Reactions
102 Replies
2K Views
Msimu wa safari za Mwaka Mpya wa Jadi wa China umeanza hivi karibuni. Msimu huu ni wa kwanza wa safari za Mwaka Mpya wa Jadi wa China tangu kutangazwa kwa mapumziko ya siku nane ya sikukuu hii...
1 Reactions
0 Replies
190 Views
TV hii inafanya vizuri sana , naomba nimpongeze mmiliki na ningefurahi kumfahamu..
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu habari za Leo! Naomba niwashirikishe sakata la kungolewa Mita/ Dira za Maji na Koki lililotokea usiku wa kuamkia Leo huku kwetu Kiluvya Madukani/Almaarufu kwa Omari, Makurunge Jirani na...
0 Reactions
2 Replies
216 Views
Kwa darasani kwa sasa ni ngumu kurudi labda naweza pata njia nyingine nzuri ya kufahamu hasa kusoma na kuongea. Nataka kufanya hivo kwasababu zifuatazo 1. Napenda Sana kusoma na kuangalia habari...
8 Reactions
32 Replies
1K Views
Kumbukumbu la Torati 14:22 [22]Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. Thou shalt truly tithe all the increase of thy seed...
11 Reactions
130 Replies
3K Views
Back
Top Bottom