Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kuwa kuna changamoto ya uhalifu maeneo ya karibu na Chuo Polytechnic College Mkoani Tabora, ambapo waathirika wakubwa ni Wanafunzi wa Chuo hicho, Jeshi la...
Wadau, kheri ya mwaka mpya wa 2025!
Bila kupoteza muda nataka niwasanue wale wenye tamaa na pesa za fastafasta kabla vilio havijawa vingi.
Ni hivi, Kuna scam inaendelea mtandaoni ipo hivi,
1...
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Kagera Wilayani Muleba ni muhitimu wa Diploma in Animal Health and Production katika Chuo cha Igabiro Training Institute of Agriculture kilichopo Muleba.
Tangu...
Huko Sengal na Gambia kuna tawi la imani ya Kiisalmu lenye umaarafu na ushawaishi mkubwa maeneo hayo linaloitwa "Baye Fall" ambalo lilianza zaidi ya Karne moja iliyopita.
Hawa Waislamu wa Baye...
Katika Dunia ya Sasa au tuseme Dunia ilipofikia kuna mambo kabisa unayaona si ya kawaida lakini yamegeuzwa kuwa ya kawaida sana.
Kawaida lakini si kawaida.
Siku zote ilikuwa ni ajabu sana kijana...
Tukiwa angalia bado vijana tunafanya chaguo mbalimbali bila kuzingatia siku zijazo. Wakati mwingine chaguzi hizo hutumaliza katika maisha yetu ya baadae. Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo mtu...
Kuna mtu anakusanya takataka Sasa Leo amekuja kwangu ananigongea mlango kwa Fujo sana je naweza kumshitaki??
Ikiwezekana anilipe?? Mana natumia kama fursa ya kupata hela je inawezekana???
Nilimsikiliza mtoto wa baba wa Taifa ambaye ni mkuu wa mkoa wa Rukwa nadhani kuhusu huyu mzee.
Yupo na ataendelea kuwepo.
Binafsi niliwahi kuangalia sinema flani inaitwa SiSU, ile sinema kuna...
Ni katika kusaidiana. Ninavyojua, kichwa ndio sehemu hatari na delicate sana kuliko sehemu nyingi za mwili, kwa kiasi kikubwa.
Je, vest ya kuzuia risasi inatosha bila kifaa kingine? Huwa naona...
Pombe za Kienyeji ni miongoni mwa vyanzo vya mapato ambavyo vimesaidia familia nyingi za 'Nshomile' kupata elimu, leo hii wapo maprofesa, Daktari, Injinia, Walimu na Wafanyabiashara ambao misingi...
Nimeona nianzishe thread maalum kwa ajili ya kufafanua program ambazo kila uchao zinatangazwa humu jukwaani kama njia rahisi ya kujipatia fedha mtandaoni ilhali ni Ponzi. Mfano wa program hii ni...
Wakili na mwanaharakati Tito Magoti amewataka wahitimu kuacha kutumika kusambaza hashtags na badala yake watafute kazi za kufanya za kuwaingizia kipato wasitumike kama TP.
Kupata taarifa na...
Mwezi Jana nilikuwa phuket kwa kazi fulan sehemu inaitwa Patong!
Kilichosaidia nili book mapema Agoda lengo nikifika nibadili hotel maana kwa siku moja mtu unatozwa baht 12,000 Sawa na usd 500$ ...
Dar Es Salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha haya ndiyo majiji yetu pendwa hapa nchini na kuna (Dodoma) na (Tanga) haya huwa kama siyaelewi hivi.
Dar Es Salaam kuna Magufuli Bus Terminal, Mwanza kuna...
"Watu waliozaliwa kati ya mwaka 1975 na 1995 ni kizazi cha kipekee zaidi katika historia, na hii ndiyo sababu:
Walizaliwa kati ya vizazi viwili: kimoja kabla ya mtandao wa intaneti na teknolojia...
Ambaye amewai fika na kuishi chini maurritius tunaomba atupashe habari kuhusu nchi hiyo kuanzia utaratibu wa kuingia chini humo,Maisha ya kila siku na shughuli za kiuchumi kama ajira na...
Habarini wakuu wa kazi naombeni kujuzwa utumishi (sekretarieti ya ajira wanatumia utaratibu gani kumpata mshindi wa baada ya oral interview?
Kuna post moja ya kazi ilitangazwa waombaji waliofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.