Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mwanakwaya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Buhangija, Manispaa ya Shinyanga, Agatha Nyahuma (32), mkazi wa Bugayambelele, Kata ya Kizumbi, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana...
1 Reactions
18 Replies
614 Views
Wakuu, Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo. Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke...
34 Reactions
391 Replies
7K Views
Nanukuu...... Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na...
37 Reactions
660 Replies
29K Views
Ikiwa ni siku chache zimepita tokea maazimisho ya siku ya wanawake duniani na hapa inchini kwetu ambayo iligubikwa na mfululizo wa vibweka,mbwembwe,tambo,mikwala/lawama dhidi ya wanaume, vitu...
3 Reactions
17 Replies
180 Views
Nimeona ma simu zaidi ya 60 kwenye taarifa ya habari wamekamatwa matapeli WA simu Naamini KUWAPATA WAHUSIKA n NGUMU sana Kama n hivyo hizi SIMU TUNASHAURI tukawape wale wanasaidia jamii kama...
3 Reactions
1 Replies
39 Views
Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa. Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika...
15 Reactions
176 Replies
2K Views
Siku hizi imeibuka tabia ya baadhi ya askari polisi kuvaa kininja na wengine kuvaa mask pasipo sababu ya msingi. Wengine wanavaa shingoni vile vitambaa kama vya masheikh/ waarab (kama alivyopenda...
0 Reactions
5 Replies
192 Views
Kurogwa ni shambulio la kiroho kwa kutumia nguvu za giza, waweza kujilinda kwa njia kadhaa ikiwemo ya uhakika ulinzi wa Mwenyezi Mungu, Vita ya Mababii na mitume dhidi ya shetani ilikuwa ya...
8 Reactions
42 Replies
1K Views
Maisha yanaenda kwa kasi mno. Ni miaka mingi imepita ila nawakumbuka ndugu zangu vijana wa kitanzania....kutoka Mbagala, Temeke, Kinondoni na Kariakoo walioenda ukanda wa maziwa makuu kujitafutia...
62 Reactions
321 Replies
27K Views
Yaani hawa YANGA wana hasira sana. Kuna gazeti limeandika kwamba simu moja tu itairudisha YANGA kwenye gemu pamoja na msimamo wa sasa kwamba hawachezi tena dabi. Sasa SIMBA wasiombee YANGA...
3 Reactions
22 Replies
282 Views
Msanii wa Reggae Cocoa Tea, aliyezaliwa Colvin George Scott, amefariki dunia. Alipata umaarufu miaka ya 1980 kwa nyimbo maarufu kama "Lost My Sonia" na "Rikers Island." Cocoa Tea maarufu kwa...
5 Reactions
13 Replies
216 Views
Wadau wa JF, poleni na mihangaiko ya maisha! Leo naja na jambo zito, zito kama mawe ya almasi yaliyolala ardhini yakisubiri wachimbaji wenye macho ya kuona fursa! Kuna mabillioni ya fedha...
13 Reactions
35 Replies
977 Views
Habari. Ni utaratibu upi hufuatwa ili mtu aweze kupata mkopo wa fedha benki kwa kutumia nyumba au kiwanja kama dhamana? Risk zake zipoje. Faida na hasara zake je, na kama kuna...
3 Reactions
24 Replies
338 Views
Machi 2023 Rais Samia Suluhu Hassan aligusia ‘mikopo chechefu’ wakati akipokea taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) 2021/2022. Wengi hawakufahamu ni kitu gani. Pia...
1 Reactions
12 Replies
850 Views
Kuzaliwa mwanaume ni zawadi ya kipekee sana ambayo hukuichagua ila ulipewa kwa mapenzi ya Mungu. Tutambue ya kwamba Mwanaume hakuumbwa MATESO bali mateso yalichaguliwa na Mwanaume mwenyewe...
7 Reactions
5 Replies
132 Views
Huenda Heading isilete maana ya moja kwa kwa moja lakini kwenye maelezo nitaeleza kwa kirefu sana.Japo ni ndefu ila nitafupiza sana mimi sijui kuandika ....".inaendelea" Hii ni familia kubwa ya...
1 Reactions
3 Replies
167 Views
Mwanafunzi Mhoja Maduhu anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa na mwalimu kupita kiasi na kusababisha damu kuvujia kwenye ubongo, amezikwa huku huzuni na simanzi kubwa vikitawala. Pia soma ~ Simiyu...
0 Reactions
3 Replies
281 Views
Wakubwa kwema!,jamani Mimi nilikua nauliza je Kuna ukweli wowote kwamba sigara aina ya embassy imetengenezwa Kwa kiwango cha juu kidogo kulikoni hizi sigara zingine,maana nilimsikia mzee mmoja...
0 Reactions
2 Replies
91 Views
Mshtakiwa Ferdnand Ndikuriyo (27), maarufu Chuma cha Chuma ameshindwa kutimiza masharti matano ya dhamana ikiwamo kusaini bondi ya Sh10milioni na wadhamini wawili raia wa Tanzania wanaotambulika...
1 Reactions
2 Replies
344 Views
Mwenye connection ya mizigo ya magari makubwa kanda ya ziwa msaada tafadhali
0 Reactions
0 Replies
36 Views
Back
Top Bottom