Habari Wakuu?
Leo nimeenda buchani jijini la dasalamaa. Nikakuta bei ya nyama kilo moja ni elfu 12.
Je, huko kwenu ni kiasi gani?
Ikumbukwe Tanzania ni nchi ya 3 kuwa na ng'ombe wengi Africa...
Guys, mimi nina swali. Kwa nn hakuna application za kuchangiana pesa kwa wahitaji kwa 80% of the world countries na 💯 ya African countries km ilivyokua gofundme?
Naandika haya malalamiko rasmi kwenda kwa Rais wa Januhuri Muungano wa Tanzania na Waziri wa maji, kuhusu kukosekana kabisa kwa usambazaji wa maji eneo la Tabata kwa kipindi cha zaidi ya mwezi...
ENG. YAZID MABALA, MDAU WA MAENDELEO ANAYELETA CHACHU NDANI YA MWIBARA - BUNDA - MARA
Eng. Yazid Mabala ambaye ni Mdau wa Maendeleo aliyejikita kuleta chachu ya maendeleo ndani ya Mwibara, Bunda...
Wananchi wa Nkinga wilaya ya Igunga mkoani Tabora wamehimizwa kufika katika Kliniki ya Ardhi wilayani humo ili kupata Hati Miliki za ardhi zao hatua inayowapunguzia umbali na muda wa kufuata hati...
Habari zenu wakuu,
Nauliza ni minada ama magulio yapi hapa Tanzania ipo vizuri ki biashara yaani ina amsha amsha. Asilimia kubwa kila mkoa ina minada yake, je ni mkoa upi minada yake huwa iko hot...
Nilitembelea maeneo ya kariakoo juzi nikaona mazingira yaliyopo yale majengo ya maghorofa yalivyo kwa kweli yanitia wasiwasi kuhusu uimara wake kwamba huwenda yakaja kudondoka zaidi na kuuwa watu...
Nimeenda nimerudi, hawa jamaa wapo, hawahamishwi, tofauti na mahakama za kawaida.
Sijui kama Wizara wana utaalamu na mila za kuendesha mahakama kwamba hawa watu wa maamuzi hawatakiwi kuwa miaka...
Mchungaji mmoja John Chida wa Kanisa la Heri Huruma aliyekuwa akiishi eneo la Isakalilo, alifariki Dunia, Oktoba 2024 akiwa nyumbani kwake. Hadi sasa, tunapokaribia katikati ya Desemba, bado...
Habari zenu wana jamifourm!
Leo nimeona niwaulize kuhusu hili.
Nimeshuhudia baadhi ya wanyama kama Kuku ,mbwa nk, wakipigana na twasira yao wenyewe kwenye kioo.
Je, ni kwa sababu gani...
Kwa hili nawapongeza sana JF, Tena ingieni kabisa kwenye database zenu futeni kabisa mambo ya kula tunda kimasihara.
Swali kidogo; Hivi Miss world na world most sexiest woman nani mzuri kusema...
Hivi ni kweli wazee wetu wa kale walishindwa kuweka misingi imara kuanzia ngazi ya familia Hadi kitaifa..
Kwanini kwenye Jamii zetu nyingi za kiafrika kila mtoto anayezaliwa ndiye anatakiwa...
Mitandao ya simu pamoja na kurahisisha mawasiliano imekuwa njia rahisi sana ya kutumia na kupokea pesa, na kukiwa na jambo la dharula basi muamala ya simu inatoa suluhu ya haraka sana.
Kwangu...
Tanzania imeendelea kuburuzwa na Kenya,Uganda na Rwanda katika kuvutia wanafunzi wa Mataifa mengine kuja kusoma kwenye Vyuo Vikuu vyake.
Unadhani sababu kubwa ni ipi ? Je Lugha mfano Kiswaglishi...
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nakumbuka enzi hizo nikiwa mdogo miaka ya 2000+ nilikuwa napenda sana kusikiliza BBC yaani nilikuwa sipitwi. Moja kati ya habari nazozikumbuka ni watu kuvaa...
Tangu jumatatu mpaka muda huu kingamuzi cha Star times kinaonesha channels zote for free (buree!!) hata kama hujalipia unaona tu.
Hii sio Mara ya kwanza kwa Star times kuachia chaneli zote bure...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.