Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwema Wakuu! Licha ya Tanzania kuwa na mikoa mingi lakini Mkoa wa Morogoro ndio mkoa namba moja kwa uzuri kwa kuishi. Nitaeleza sababu kama ifuatavyo; 1. Tabia ya nchi na Hali ya Hewa Mkoa wa...
98 Reactions
442 Replies
53K Views
MBUNGE VAN ZEELAND AIPAMBANIA MVOMERO KUPATA MAJI SAFI NA SALAMA KWA WANANCHI WAKE "Je, lini Serikali itakamilisha mradi wa kusambaza maji katika tarafa ya Tuliani?" - Mhe. Jonas Van Zeeland...
2 Reactions
6 Replies
755 Views
Ndugu zangu hii naiona wilaya ya Nkasi iliyoko mkoani Rukwa , wilaya hii ni ngumu sana kupata uhamisho hasa kupitia mfumo wa Ess ambao uliletwa mbali na shughuli nyingine kumrahisishia mtumishi...
0 Reactions
0 Replies
147 Views
👉🏾Katika ulimwengu wa siasa, ambapo nguvu za madaraka mara nyingi hujificha nyuma ya pazia la kusadikika na wanaharakati wanajitokeza kama nyota za mwangaza katika giza la mang’amung’amu. Wakiwa...
1 Reactions
1 Replies
134 Views
Haya ni matukio makubwa yaliyotokea Tanzania mwaka 2024 Vifo vya viongozi wakuu: Tanzania ilimpoteza Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi (Februari 29), na Waziri Mkuu wa zamani Edward...
1 Reactions
5 Replies
370 Views
Top 100 richest people in the world (as of 21 December 2024): 1. 🇺🇸 Elon Musk, $444B 2. 🇺🇸 Jeff Bezos, $244B 3. 🇺🇸 Mark Zuckerberg, $207B 4. 🇺🇸 Larry Ellison, $190B 5. 🇫🇷 Bernard Arnault, $176B...
1 Reactions
8 Replies
693 Views
Kwenye jamii zetu au huku mitaanj kuna story zinasema,, Mume au Mwenza wa kiume akienda kucheat(kuchepuka) hali ya kuwa Mkewe au Mpenziwe ni mjamzito anaweza kusababisha matatizo kwa mtoto au mama...
4 Reactions
21 Replies
722 Views
SOMO: SIKUKUU YA CHRISTMASS NI MAPOKEO YA WANADAMU WALA SIO MAAGIZO YA MUNGU Wakolosai 2:8 Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya...
1 Reactions
8 Replies
393 Views
Kumekuwa na hali fulani kwamba watu wakifanikiwa kiuchumi au kusoma kidogo basi wengine wanasema hakuna Mungu na kutaka logic kwenye kila jambo linalohusu uwepo wa Mungu. Hawaamini hata...
12 Reactions
202 Replies
3K Views
  • Closed
Mzuka Wana jamvi. Bila kupoteza muda naombeni Maarifa na uchumbuzi wa kina juu la andiko hili NB : Lengo la huu Uzi ni kupata Maarifa kama hauna hoja na Maarifa yanayohusiana na Uzi pita...
3 Reactions
80 Replies
2K Views
1. Kuzaliwa kwa Yesu ni habari njema ya furaha kuu(Luka 2:10-11). Malaika walipoleta habari ya kuzaliwa kwa Yesu walisema hiyo ni habari ya FURAHA KUU. Na kwamba furaha hii kuu itakuwa kwa watu...
2 Reactions
6 Replies
283 Views
Kusema ukweli huwa nakereka sana kusikia nyimbo za dini, zinapigwa kwenye sehemu za starehe, hasa Bar. Sehemu hizi ni sehemu Shetani na jeshi lake wanafanya kazi zao kwa ufanisi, na anaona ni kama...
5 Reactions
138 Replies
8K Views
Hii elimu ya usalama barabarani mbona kama inatolewa kwa madereva, vipi kuhusu sisi tunaoendesha miguu yetu. Mana tunakufa kizembe sababu baadhi ya alama za barabarani hatuzielewi wala
2 Reactions
16 Replies
532 Views
Kariakoo baba lao. Nilikua nimeenda kununua Tende pale Msimbazi msikiti wa Idrisa kwa ajili ya iftar (kufuturisha). Sasa wakat naondoka nikapita mitaa ya katikati mule, nikaona meza moja Raba...
42 Reactions
275 Replies
37K Views
Kwanza heri ya krismasi kwenu. Kama mnavyojua kila kinachozaliwa hata kama kiwe ni mnyama lazima kiwe na kitovu kirefu na baada ya mda hukatika. Kwa upande wa binadamu kitovu huwa kinahifadhiwa...
8 Reactions
57 Replies
2K Views
Wakati unataka kuunganishiwa huduma ya umeme kama nyumba iko mbali kila nguzo moja ni sh. 515,000/, nguzo ni mali ya shirika, mwananchi ni mteja wa huduma ya umeme kwanini alipie nguzo? Huu ni...
30 Reactions
84 Replies
4K Views
Anonymous (227f)
Wakazi wa Nyang'homango kata ya Usagara jijini Mwanza hawajawai kuwa na maji ya bomba tangu nchi hii ipate uhuru japokuwa ipo umbali wa kilometa 6 kutoka Buhongwa Wananchi wanapambana kujenga na...
0 Reactions
0 Replies
108 Views
Wakuu, Wakati tunaenda kufunga mwaka na kuukaribisha mwaka mwingine ni vizuri tukaangalia nyuma na kujifunza kwa waliyopita. Moja ya kitu nilichoona hiki, watu wengi tumebeba trauma za utotoni na...
6 Reactions
8 Replies
415 Views
Wakuu naombeni kujua faida/umuhimu wa water dispenser Nimekuwa nikiziona Tu. Mtu friji analo na jug la umeme analo Ila bado anataka na water dispenser. Nini umuhimu wa water dispenser?
15 Reactions
45 Replies
5K Views
Hiyo ni kwa mujibu wa chapisho la Jarida la The Sun, ambapo limeeleza kuwa ngono kati ya roboti na Binadamu wa Kike itakuwa ya kawaida zaidi kuliko Wanaume. WANAWAKE watakuwa wanawanyima wanaume...
3 Reactions
8 Replies
502 Views
Back
Top Bottom