Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mungu hajagawanyika katika nafsi tatu. Mungu ni nguvu, Mungu ni energy. Mungu amesambaa katika kila kona unayoijua. Roho zilizo ndani ya nafsi na miili yetu ni sehemu tu ya Mungu. Ndiyo maana hata...
5 Reactions
43 Replies
1K Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba linafanya uchunguzi wa vifo vya watu wawili ambao walifariki dunia wakati wakipatiwa matibabu katika hospitali ya Ali Khamis Camp Vitongoji Chake Chake Pemba...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Wakuu mwenye anajua software au app nzuri ya kufanyia aptitude test atuandikie hapo chini au anayejua chochote kuhusu hio test atuambie hapo chini kwa manufaa ya vijana wanaowiwa kuomba BIG 4 hapo...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Mtandao wenu mmeufanya kuwa wa hovyo. Hakuna kutoa pesa iwe benki au kwenu wenyewe. Hamtoi taarifa kuwa kuna changamoto. Mbona mnafanya dunia kuwa ya kizamani sana?
1 Reactions
7 Replies
176 Views
Fungulia tu hizo redio zao usikie habari za makongamano na ibada za kubariki,kukomboa, kutakasa n.k mwaka mpya ujao. Ukiwa mpumbavu fulani unajipeleka halafu unaambiwa toa sadaka au panda mbegu...
3 Reactions
3 Replies
176 Views
Nini Elim ya kidato cha nne nahitaji kazi kwa mwenye kazi
2 Reactions
4 Replies
170 Views
Efm iko poa kwa asilimia kubwa. The production, The individuals and The deliverance, kwa kweli wanahitaji pongezi. Ila kwa upande mwingine Tv yao bado sana. Na imekaa hivi kwa muda mrefu sana...
6 Reactions
16 Replies
597 Views
Pongezi:Nilikuwa mbezi kituo kidogo Cha mabasi, kweli watu hawalali kusaka maisha. Mungu baba wape riziki watu wako. Wamama wauza matunda, wauza kahawa, vyakula na kulala sehemu yoyote kubwa uwe...
2 Reactions
2 Replies
191 Views
🐺 Mbwa mwitu hali mizoga, iwe ya wanyama au ya binadamu huishi maisha yake yote na mwenzi mmoja, na hafanyi mapenzi na mama yake au dada yake. Ni mnyama anayejitoa kwa mwenzi mmoja (monogamous)...
4 Reactions
12 Replies
522 Views
Ningependa kuwakaribisha wadau wote kwa majibu yenu juu ya swali hili hapa chini. SWALI Ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je ni lipi hasa tatizo letu sisi Waafrika/watu weusi hapa duniani, kwa...
10 Reactions
190 Replies
6K Views
Nimelala nimeota amenitokea nyoka mkubwa sana alafu akaanza kupaa juu yani anakwenda mawinguni. Anajua hii inamaanisha nini aniambie..
3 Reactions
18 Replies
357 Views
Wasambazaji/wauzaji wakubwa wa bidhaa za Christmas duniani. Population ya ukristo nchini China -According to a 2023 Pew Research Center analysis, about 2% of Chinese adults identify as...
1 Reactions
1 Replies
135 Views
Mdau umewahi kupotoshwa na maudhui yaliyotengenezwa kwa kutumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI)? Je ni vitu gani unavizingatia katika kutambua maudhui yaliyotengenezwa kwa kutumia teknolojia hii...
3 Reactions
4 Replies
376 Views
Kuna clip nimeiona facebook, gwajiboy ametembelea wananchi, ikatokea mwananchi mmoja wanasema alilalamika kwamba nyumba yake imeuzwa. 1. Alimpangisha muuza bucha 2. umeme ukakatika, nyama za bucha...
11 Reactions
27 Replies
2K Views
Unafanya muamala wa Milioni Moja kwa mfano. Kuna makato unakatwa kama ada ya huduma. Ile hela haimfikii uliemtumia kwa tatizo la mtandao. Badae mtandao unakaa sawa Wanakurudishia Milioni Moja...
2 Reactions
1 Replies
92 Views
Viongozi wa EFM, kipindi chenu kinachorushwa kila siku saa moja jioni, cha jioni ya Leo, ni kibaya, sana, kimejaa maudhui ya kingono ngono, lugha zisizo na staha. Kipindi cha Jana, tarehe...
2 Reactions
4 Replies
436 Views
Leo nilikuwa naelekea Kigamboni kupitia daraja la Nyerere, baada ya kuvuka nilipita ile njia ya kushoto inayopitia jeshini, kabla sijaingia kwenye kile kipande cha lami hapo katikati kulikuwa na...
3 Reactions
52 Replies
7K Views
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa mabehewa 264 ya mizigo yatakayotumika katika reli ya kiwango cha kimataifa - SGR yamewasili Bandari ya Dar es Salaam kutoka nchini China...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Back
Top Bottom