Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Madhara ya kuchelewa kutoka kwa wazazi wetu yana mfanya kijana wa kiume kuona maisha ni magumu na hatimae kushindwa maisha na kutafuta soft kazi kama betting utapeli udalali wa viwanja kuendesha...
12 Reactions
79 Replies
2K Views
Stendi ya Mabasi Buza jijini Dar imetelekwzwa na kutotumika Kwa zaidi ya miezi 6. Stendi hiyo iliyojengwa Kwa zaidi ya Bilioni 1 imegeuka Malisho ya mifugo baada ya nyasi kutamalaki...
0 Reactions
8 Replies
404 Views
Mimi ni katibu wa kikundi fulani nimejafibu kuanziaha hatua za kufanya muamala M Mkoba lakini imeshindikana tangu Jumamosi. Nimejaribu kuongea na watoa huduma voda lkn majibu yao hayaeleweki Kama...
4 Reactions
20 Replies
598 Views
INTRODUCTION. Sikutishi, Ninakupa UKWELI Ili uamue mahali pa kwenda utakapokufa. MBINGUNI ni makazi ya Walio hai. KUZIMU: Ni nyumbani kwa wafu, ni gereza la kuwatunza wafu wakipitia mateso...
21 Reactions
553 Replies
27K Views
INTRODUCTON: Shalom!! Nawakaribisha tena Mbinguni, Mbinguni ndiko tulikokuwako milele kabla ya Mungu kutuleta duniani kupitia pumzi ya uhai Kwa baba na mama zetu wa duniani. Mbinguni ni wapi...
12 Reactions
196 Replies
5K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA). Kwa mujibu wa...
3 Reactions
46 Replies
3K Views
Eneo liko mjini! Limezungukwa na majirani waliopandiwa mawe ya umiliki! Sasa kawasiliana na kampuni iliyasajiliwa kurasimisha makazi. Kaambiwa: gharama za utambuzi 200,000/= (laki mbili)...
2 Reactions
2 Replies
173 Views
Habari wakuu, Kumbukumbu ya Wapendwa Wetu Mwaka Gani Hautosahau? Tunapokaribia mwisho wa mwaka, tungependa kuwapa nafasi ya kutoa shuhuda zenu za mwaka ambao hautosahau kamwe kwa sababu ya...
1 Reactions
4 Replies
170 Views
Wanabodi, Katika kumbukumbu zangu, jana ndio kwa mara ya kwanza nimeshuhudia Press Conference ya Idara ya Usalama wa Taifa (UWT-TISS) katika historia ya Tanzania. Hii ina maana moja tuu, kuna...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Itakapofika uchaguzi mkuu 2025, mtu aruhusiwe kupiga kura kwa kutumia simu yake ya mkononi kwa kutumia mifumo ya mobile money. Pawekwe kipengele cha kupiga kura kwenye menu, ambapo atachagua...
10 Reactions
55 Replies
3K Views
Tujikumbushe watu maarufu wakiwemo wanasiasa, wasanii, wanamichezo waliotutoka mwaka 2024
1 Reactions
11 Replies
738 Views
Huyu amekuwa akijiona ni mkamillifu sna na mjuaji kinoma yeye ameusika moja kwa moja kuhujumu chadema na hata saulika Leo amekuja naanza kuleta chuki zake na ukatoliki wake kwenye siasa za chadema...
1 Reactions
0 Replies
204 Views
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amefika kijiji cha Kwamsisi kilichopo katika kata ya Kwamsisi, wilayani Handeni mkoani Tanga kujionea hali ya upatikanaji wa maji katika eneo hilo na changamoto...
0 Reactions
0 Replies
138 Views
Ni zaidi ya wiki sasa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport air condition hazifanyi kazi, hasa kipindi hiki cha joto kali Dar es Salaam, hivi wahusika wanafikiria...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Michelle Botes, aliyetamba sana kupitia series ya Isidingo the Need miaka ya 2000, amefariki dunia. Michelle Botes, alijulikana kwa kucheza vyema nafasi ya mwanamke muuaji aliyeitwa Cherel De...
0 Reactions
7 Replies
560 Views
Ukisikiliza mazungumzo ya Mbowe ni dhahiri ameanza kumchafua Lissu hiyo ni dalili ya kushindwa. Lissu yeye anajenga hoja
2 Reactions
7 Replies
397 Views
Kama ikitokea siku mtu akakuhitaji umuweke bayana kati ya Life la Chuo na la Kitaa ni lipi lina songombingo nyingi basi vuta pumzi kisha mwambieee 'hakuna Embe litakaloweza kuota kwenye Mnanasi na...
8 Reactions
21 Replies
2K Views
Ubaya Ubwela & Nyie Hamuogopi vimepita,tujikite kwenye mada kuntu! Kuna mshikaji wangu mmoja tulimaliza wote Sekondari na bahati nzuri hata chuo tukasoma wote,Mimi na yeye tulitokea Kuwa marafiki...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
...Katika taasisi imara na tajiri duniani ni kanisa Katoliki. Kanisa hili tajiri na linaloutumia utajiri wake kuifaidia jamii (sio wachungaji wake tu), ina wachungaji wasomi sana na wanasayansi...
6 Reactions
214 Replies
51K Views
Back
Top Bottom