Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ndugu Habari za majukumu? Mwenye uzoefu tafadhali, Je nikiasi gani cha weza kutumika kujenga nyumba yenye frame 3, ikiwa na sifa hizi. upana wa frame uwe wa wastani tofali za block bati za...
2 Reactions
0 Replies
263 Views
Asee nimetoa pesa kimakosa kwa wakala ikaenda kwa wakala mwingine ..nime wapigia voda wamesema wameizuia na nisubiri ndani ya masaa 24 . Je kuna alie wahi kukutwa na shida kama hii na...
4 Reactions
26 Replies
575 Views
Wakuu habari ni sehemu gani dodoma nitapata usafiri wa IT zinazopita kutoka dar kuelekea bukoba..mtukula
0 Reactions
0 Replies
109 Views
Sasa hivi jamaa wanaleta vitimbi vyao hadharani na hamna kitu unaweza kuwafanya. Ni kama wana utawala wao wapo Dunia yao isiyo na Sheria. Wao ndio mabingwa wa kubebana mishikaki na kuchomekea...
12 Reactions
102 Replies
3K Views
Pale Mwanga Tower, Makumbusho limetokea tukio la mtu asiyefamika kujirusha kutoka gorofani, ambapo inasemekana tukio hilo limetokea mapema leo majira ya saa kumi na moja asubuhi. Mpaka majira ya...
16 Reactions
501 Replies
72K Views
Hii nasimulia kama njia ya kupata relief mana ni kitu nilikwazika sana kwann ameongea maneno Yale.! Au alikuwa na chuki za ndani na Mimi mana yeye anajiweza kwa hali zote lakin Mimi sikuwai...
9 Reactions
75 Replies
4K Views
Vijana wa pwani mtusaidie kujua
1 Reactions
0 Replies
100 Views
Maraisi wengi wa Africa mashariki baada ya kugundua comedy zilio jificha kweny kanisa nyingi za kilokole wameanza kufuatilia hizo kanisa za kilokole ku zi monitor na kuzichunguza, kwa mfano Paulo...
2 Reactions
4 Replies
237 Views
Wadau hamjamboni nyote? Wenye elimu zenu mkiongozwa na ndugu mshana na bujibuji nipeni ushauri Niwatakie siku njema
2 Reactions
26 Replies
868 Views
Katika jamii yetu, ni kawaida kwa wanaume kuwekeza katika mali na kuhifadhi fedha zao. Hata hivyo, wengi hujikuta katika mawimbi ya maamuzi magumu kuhusu ni nani anapaswa kuwa mshiriki katika mali...
13 Reactions
201 Replies
5K Views
Hii imetokea kama dakika 50 zilizopita ambapo dereva bodaboda hadi muda huu kashakufa baada ya kukanyagwa na lori na bado yupo hapa barabarani watu wanamshangaa tu kama wapo kwenye maonesho hakuna...
14 Reactions
50 Replies
2K Views
Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani. Tarehe: Ijumaa, 06 Disemba, 2024 baada ya Salat Al jummah...
8 Reactions
87 Replies
2K Views
Wengi wao ni madhulumati makubwa na wanyonyaji kwa kiwango kisichomithilika na kuelezeka! Bila kuwa 'mafia' utajiri usahau abadani. NB: Asante boss Med ila umenifunza nisiwe bwege tena kwa...
4 Reactions
11 Replies
442 Views
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile ameitaka serikali kutoa nafasi zaidi kwa vyombo vya habari kama sehemu ya kichocheo muhimu cha kuhakikisha malengo na mipango ya...
0 Reactions
0 Replies
98 Views
AMANI IWE JUU YENU __tuendeleeni tu kupambana
2 Reactions
0 Replies
113 Views
Katika Historia ya miaka 250 ya US sijawahi kusikia raia wa Marekani amefungwa, ameuwawa, amewekwa kizuizini au amepotezwa kwa sababu amempinga au amemkosoa Rais wa nchi hiyo.
3 Reactions
4 Replies
138 Views
Habari wakuu, Baada ya miaka kadhaa tangia nimehitimu shahada yangu ya kwanza ya maswala ya uchumi na fedha nilikua naomba anayefahamu sehemu yoyote Kwa hapa Dar ambapo naweza kwenda kusomea...
3 Reactions
9 Replies
343 Views
Na Mwandishi Wetu. Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameonya vikali wakandarasi wazembe wanaochelewesha miradi ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), akisisitiza kuwa Serikali...
1 Reactions
0 Replies
114 Views
TAMISEMI ondoeni shida ya usafiri kutoka vituo vya SGR. Malalamiko ya shida ya usafiri kutoka vituo vya SGR sio mageni. Ni kama viongozi wa mikoa hii ya morogoro na wenzao wa Dodoma...
0 Reactions
6 Replies
295 Views
Anonymous (79a2)
VItuo vya kukatia tiketi za basi ni changamoto sana kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka. Baadhi ya makampuni yamefungia mifumo ya kukata tiketi online pia makampuni mengine yamejikatia...
3 Reactions
3 Replies
225 Views
Back
Top Bottom