Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Nilipotaka kuthibitisha taarifa kuhusu leseni za kuchimba madini ya lithium nchini niligundua ramani ya "Mining Cadastre" haipatikani tena. (http://portal.madini.go.tz/map/) Wizara ya Madini...
0 Reactions
1 Replies
230 Views
Kikiwa ndio kitovu kikubwa cha biashara nyingi za nchi kwa mizigo inayotoka nje hasa China.. Kuna wababe na mafioso ndio wamezikamata biashara za huo mji na wengine wote ni wapagazi na wajakazi...
196 Reactions
761 Replies
131K Views
Mzee Chifupa: Bado tunachunguza vigogo waliomwua Amina na Prisca Nsemwa DUNIA imetakiwa kusimama imara na kwa nguvu ili kupinga dawa za kulevya kwa kuwa zina athari kubwa kwa jamii, hasa...
3 Reactions
62 Replies
31K Views
Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali. Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa?, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi...
9 Reactions
74 Replies
4K Views
Kuna watu hawezi kupitisha siku bila kujipost mtandaoni. Anajaza status weeee utasema analipwa na WhatsApp. Hana siri kila kitu hadharani kwenye mitandao, yaani huna hata haja ya kupeleleza habari...
45 Reactions
235 Replies
7K Views
Huwa najaribu kutengeneza heading fikirishi ili tujaribu kudadisi ukweli. Nilisikia watu wanaongea kwamba kuna uhusiano kati ya majira mbali mbali ya mwezi na akili/ubongo wa binadamu. Wengine...
0 Reactions
2 Replies
206 Views
Mkristo wa kweli au unayejiita umeokoka unaenda kutafuta huduma za maombezi. Eti umemwamini Mungu lakini mahitaji yako ni mpaka tena mtu mwingine akayapeleke kwa Mungu baba yako! Una akili timamu...
13 Reactions
40 Replies
936 Views
Ipo hivi nina dada yangu ambaye ni mjane mumewe alikufaga 2010 akamuachia watoto wawili wadogo sasa hawa watoto kwao waligawana kumsaidia mama kulea watoto mmoja alimchukua shemeji yake mdogo...
10 Reactions
108 Replies
3K Views
Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati... Nini hutokea? Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha...
18 Reactions
156 Replies
4K Views
Alikuwa na kiwanja Mbezi ambacho hakijajengwa. Akaja Mzungu fulani akajenga kwenye kile kiwanja,Mahinda akamuacha Mzungu akajenga nyumba ghorofa hadi ikaisha. Baada ya nyumba kumaliza kujengwa...
20 Reactions
134 Replies
42K Views
AJALI YA GARI SONGWE YAUA WATATU, YAJERUHI 15 Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limetoa taarifa kuhusu ajali mbaya ya barabarani iliyotokea Desemba 13, 2024, majira ya saa 12:30 jioni. Ajali hiyo...
1 Reactions
3 Replies
340 Views
Naomba msaada. Mimi niliomba passport ya kusafiria trh 30/03/2023 pale ofisi kuu ya Uhamiaji Kurasini. Nilimaliza taratibu zote za malipo, kupiga picha, Fingerprint na yule ofisa wa Uhamiaji...
1 Reactions
22 Replies
9K Views
Jana nilitongoza mke wa jirani hapa tulipopanga leo kanipita bila kusalimia hapa nilipo kichwa kinawaka sijui kamwambia jamaa? Akijua itakua mbaya kwa maana tunaheshimiana sana. Nyege mbaya sana
8 Reactions
46 Replies
1K Views
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amekanusha taarifa za kwamba Shirika la Reli Tanzania (TRC) linapanga kununua injini zinazotumia umeme na diseli ili kuisaidia treni ya SGR umeme...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,ni haki yangu kikatiba,nina elimu ya kutosha,umri unaruhusu,hivyo kwa mapenzi yangu makubwa na nchi yangu ya Tanzania ,na kwa kiu yangu kubwa ya kutaka...
1 Reactions
10 Replies
490 Views
Nimejikuta nawaza hivyo. Mawazo yangu yasipigwe rungu. Nieleweshwe kwa upendo! Dini mbili tu duniani, kati ya mamia ya dini zilizopo mpaka leo, Ukristo na Uislam, waumini wake wanaamini kwamba...
4 Reactions
58 Replies
1K Views
Huu ni uchonganishi wa wazi kabisa kati ya serikali ya CCM na wapigakura wake. Kama mmeona kuna umuhimu wa watu kupata vipimo basi fanyeni kwa wananchi wote. Ina maana mtu kama Giggy Money ana...
7 Reactions
19 Replies
748 Views
Tunajua akili za TAHOSSA zinakuwa kama zimewaruka, mwezi huu wakuu WA shule wa msingi na sekondary watakwenda dodoma wana ajenda zao zilezile hawana jipya Ila ninawapa tu tahadhari Waache kutumika...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Kuna Daladala moja inayofanya safari zake Kijichi Spice kwenda Darajani imekuwa na huduma mbovu kwa Abiria wake na wakati mwingine kutishia usalama wa Watu waliomo ndani ya gari hilo na hata...
0 Reactions
2 Replies
384 Views
Back
Top Bottom