Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana...
SHUKRANI na USALITI
Wapendwa marafiki wa ukurasa huu wa Kalikawe Lwakalinda Bagonza, napenda kuwashukuruni nyote kwa kuniombea na kunitakia heri katika siku yangu ya kuzaliwa (6 Desemba).
Salaam...
Kwa muda sasa, waendeshaji wa safari (waongoza watalii) nchini Tanzania wamekuwa wakikumbana na changamoto kubwa kutokana na tofauti za viwango vya kubadilisha fedha vinavyotumika na taasisi za...
Moja ya sifa za uongozi imara ni pamoja na UWAZI katika kufanya mambo na utoaji taarifa kwa wadau juu ya mwenendo wa shughuli na matokeo.
Hata hivyo, moja ya kosa viongozi wengi WAWAZI ambalo...
Wakuu hope mmeamka salama.
Nina jambo kidogo nahitaji ushauri ndugu zangu, Mimi ni kijana wa kiume ni mkaz wa Dar es salaam ila kwa sasa nipo mkoa wa pwani kibaha nimejiriwa na mtu binafsi...
Dkt. Godwin Mollel, Naibu Waziri wa Afya amesema: "Nimekuwa nikiwasisitiza wabunge na Watanzania kwamba elimu mbalimbali zinazotolewa na wataalam wa afya, lakini elimu anayotoa Profesa Janabi na...
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya uwepo wa kimbunga ‘CHIDO’ katika Bahari ya Hindi, Kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar.
Taarifa iliyotolewa na TMA imesema mifumo ya hali...
MKUU wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, Farida Mgomi, amepongeza Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama ya Samia (Samia Legal Aid) kwani katika mikoa ambayo imefikiwa na kampeni hiyo imeonesha...
JINSI VIJANA WASIVYOJUA THAMANI YA MUDA
LIFE BEGINS AT 40.... HOW OLD ARE YOU?
Life Begins at 40....
Huo ni msemo wanao Waingereza wakimaanisha maisha yako ijapokuwa yanaanza toka milele...
Wakuu wana jf naomba msaada wa swali hilo...nimezunguka dukani nimekuta pasi Philips made in china designed in Netherlands...je ni fake ... kwenye box lake nje imeandikwa namba 1..0rijino.
Habari ya wikiend wadau..
Naona tatizo la usafiri kila ikikaribia mwisho wa mwaka bado linaendelea kuzoeleka na kuonekana kawaida.
Leo nimejaribu kufanya booking kwa bus kampuni zaidi ya tatu...
Joseph Zablon, Dar es Salaam,
Baadhi ya wakazi wa Jijini Dar es Salaam wamelalamikia bei ya Sh5,000 inayotozwa kununua kadi janja ya Mwendokasi, iliyozinduliwa jana na Waziri wa Tawala za Mikoa...
MBUNGE KAPUFI ATOA ANGALIZO, "MIKOPO HII MKAITUMIE KWA MALENGO KUSUDIWA"
KAPUFI AKABIDHI HUNDI ZAIDI YA MILLION 600 KWA VIKUNDI 69 VYA WAJASIRIAMALI MPANDA
Wanufaika wa mikopo ya asilimia 10...
Habari zenu wakuu. Natumaini mko salama humu jukwaani. Bila kupoteza muda, naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Jana nilikutana na mjadala mtandaoni kuhusu uzinduzi wa kadi mpya za...
Wakuu habari zenu?
Kuna hii miwani ya spy glasses .mtu anaweza kununua halafu unaongea yeye anakurecord kwa muda wa saa moja na robo bila ya wewe kujua .
Kwa hii miwani ni rahisi sana kuchukua...
According to wiktionary
Time refers as the inevitable progression into the future with the passing of present and past events.
Kwa kiswahili
Muda ni maendeleo yasiyoepukika katika siku zijazo na...
Iringa road Dodoma kipande cha Mkonze kuanzia sheli ya Weruweru hadi Cross over ya SGR vumbi limezidi,,
Mkandarasi wa SGR aliharibu lami wakati wa kutengeneza daraja cross over, naona amemaliza...
Jamani hali ya elimu ya juu ndiyo hiyo wafanyakazi wa vimemo wameota mapembe hawafungui library ya chuo kisa wao wameenda sabato.Hizi dharau sana aisee.
Kwa stahili hii tutafika kweli uchumi wa...
Nimeamini mdomo kiwanda cha maneno
Elimu huongeza busara
Kulikuwa na haja gani ya kusema wazazi wake hawana elimu?
Kwambababa yake hakusoma kabisa na mama yake ni darasa la saba B
Lengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.