Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi amewaasa wananchi wa Wilaya ya Ileje kuungana na kushirikiana kwa pamoja kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia, kwa kukemea na kushirikiana na Vyombo vya...
0 Reactions
0 Replies
166 Views
Wakuu, Nimeona kuna baadhi ya Wachaga wameshaanza kupanda Esta na Marangu Coach kuelekea kwao. Simu zenu hatutapokea Januari. Unaendaje Moshi mapema hivi? Una uhakika hiyo 500k yako ita-survive...
3 Reactions
4 Replies
242 Views
Habari za leo wakuu; Baada ya kupigwa sana na kuhangaika na watu mpaka level za kimahama kuhusu kuibiwa idea mbali mbali. Sasa nimekuja kwenu wadau kuomba hekima zenu kwa biashara hii ambayo...
2 Reactions
16 Replies
695 Views
ni jambo la kusikitisha kuna siku niliwahi sema humuu JF kumetapakaa matapeli na watu wa hovyo sana,, just assume watu wanaomba kazi humu mtu anadiriki kujifanya anakazi anakupatia tena...
0 Reactions
7 Replies
357 Views
Hivi huu mtindo wa kuita watu kwa kutanguliza neno "mzee" ni umetokana na nini? Halafu kwa nini ni wanasiasa tu wanaitwa wazee? Utasikia mzee Kikwete, mzee Mbowe, mzee Kinana, mzee Warioba, Mzee...
1 Reactions
5 Replies
310 Views
Mfalme Ogu anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati yaani Uislam, Ukristo na Uyahudi. NB: Nimezingatia dini zote tatu zinavyomzungumzia Inaelezwa alikuwa ni mfalme...
1 Reactions
11 Replies
566 Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile itaelekezwa kwa Mtanzania mwingine...
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Akizaliwa ng'ombe au mbuzi wa aina hii kwenye boma lako, utamuua au utamfuga? Wakulima wengi huwaua, lakini kibaolojia hali hii inaitwa Incomplete Genetic Makeup, na hutokea hata kwa binadamu.
3 Reactions
10 Replies
470 Views
USAJILI WA WASICHANA NA WAVULANA WALIOKATIZA MASOMO YA ELIMU YA SEKONDARI Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima kupitia mradi wa SEQUIP-AEP unaotekelezwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa...
6 Reactions
6 Replies
445 Views
Habari wadau. Kuna mdau yeyote anafahamu hili eneo. Je panafaa kuweka makazi yaani kujenga na kuishi? Nategemea majibu kutoka kwenu.
4 Reactions
68 Replies
5K Views
Habari wananjamvi, Sidhan wnavijana waliosoma wanafurahia kuona haya. YAAN KUNA wakati unawaza inasoma ili iwe nn? Unapambana kuwa mwanasiasa ili uwe nani Na hii n kutokana na muendelezo...
0 Reactions
1 Replies
199 Views
Kuna biashara nyingi ambazo unaweza kufanya mtandaoni ambazo zinaweza kukuingizia kipato. Hapa ni baadhi ya biashara tano ambazo unaweza kuzingatia: 1. Uandishi wa Maudhui (Content Writing) na...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari yenu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza kwanini yesu alipokuwa anaombea watu wenye mapepo alikua anayotoa hayo mapepo kwa watu na kuyaelekeza kwa nguruwe, naomba msaada mnieleweshe...
0 Reactions
15 Replies
623 Views
Jana wakati natoka kazini, nilipata wasaa wa kupitia maeneo yangu ya kujidai TABATA. Kwa bahati nilikutana na kijana mmoja ambaye nilimfahamu kupitia kazi zetu hizi. Kwa bahati mbaya sana...
6 Reactions
64 Replies
10K Views
Naona kama Serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali. Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi...
27 Reactions
162 Replies
10K Views
Huu Uzi ndio unahitimisha Mjadala wa Amani Kambayao kwa kumaliza mashaka kwamba alikuwa Mtumishi wa TRA ama la Wakati wa kutoa Heshima za Mwisho mbele ya waombolezaji walioongozwa na Mkuu wa mkoa...
2 Reactions
46 Replies
2K Views
Mkuu wa Idara ya Mkakati wa TEHAMA na Uhandisi wa Programu wa Vodacom Tanzania PLC Cleopatra Mukangara (kushoto), akipokea tuzo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Ukaguzi na Udhibiti wa...
0 Reactions
0 Replies
152 Views
Anonymous (3d05)
Habari gani wanaJamiiForums? Mimi ni mdau wa jamvi la JamiiForums nikitokea Kilwa Kivinje Mkoa wa Lindi. Nina mambo mawili ninataka kuyafichua kwa leo. Moja, ni kuhusu walimu wa kiume wa shule...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom