Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Haina uhalisia Kauli yake itawafanya watu wengi waogope mazoezi Hatuna vituo vya kutosha vya kufanya uchunguzi kama huo Ni gharama kufanya chunguzi Watu wangapi umewasikia wakifa kwa sababu ya...
5 Reactions
26 Replies
7K Views
Wakazi wa Langai wapo katika hali ya wasiwasi kutokana na kusimama kwa ujenzi wa daraja ambalo lilitarajiwa kuwa kiunganishi muhimu cha usafiri na usalama wa wakazi wa eneo hilo. Mwananchi mmoja...
0 Reactions
4 Replies
238 Views
Katika maisha Nina amini biashara ambayo inaweza nikafanya wewe ukatoboa kuna mwingine hawezi tobos 👉Tuendelee na moyo huo huo wa wa upendo as wanajamii! 👉Usisite kutoa mawazo yako pale mwenzako...
2 Reactions
0 Replies
100 Views
taharuki imetoka katika mtaa wa ngusero kata ya osunyai mkoani arusha baada ya vijana zaidi ya tisa wenye mapanga kudaiwa kuvamia sherehe ya ubarikio uliokuwa ukifanyika na kumkata mkono na sikio...
11 Reactions
74 Replies
4K Views
Hivi kuna uhusiano gani kati ya wanyamwezi pamoja na wasukuma na zanzibar? Au kati ya Wanyamwezi pamoja na Wasukuma na zanzibar? Maana Zanzibar kuna idadi kubwa ya Wanyamwezi pamoja Wasukuma...
2 Reactions
1 Replies
144 Views
NAJUA MPO HAPA MLIOTOA MIMBA NAOMBA NIKWAMBIE KAOMBE REHEMA KATUBU KWA MUNGU PALE MIMBA INAPOINGIA UHAI UNAINGIA NA MTOTO ANAKUWA WA MUNGU SI WAKWAKO TENA MWANAUME WEWE UMETUMIKA TU KUTENGENEZA...
5 Reactions
12 Replies
392 Views
Alipokuwa akiapa kushika nafasi ya juu nchini, aliapa kulinda katiba na si ugali! Alipowaapisha viongozi aliowateua, hawakuapa kuhakikisha kuwa ugali unapatikana bali kuilinda katiba! Iweje basi...
5 Reactions
21 Replies
423 Views
Wakuu, ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya Ukanda wa Pwani ya Kaskazini mwa bahari ya Hindi (Mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Morogoro, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia)...
3 Reactions
4 Replies
562 Views
Nashindwa kuwaambia jinsi nilivyojikatia tamaa kiasi cha kuwa kichaa. Ila ninachoweza kuwaambia tu vijana wenzangu tuacheni kubeti kwa malengo kwamba tunapata pesa huko haraka haraka. Fikiria...
46 Reactions
210 Replies
22K Views
Wakuu! Ile ajali ya wabunge ukitazama kama ilikuwa ndogo lakini baadhi ya wabunge hali zao bado ni mbaya hadi wamehamishiwa MOI au tuseme maombi ya baadhi a wabongo? =====================...
2 Reactions
12 Replies
945 Views
Hapa siongelei zile akili za darasani au utafutaji wa hela (hii formula tu) Nilikua na jirani yangu, yeye anafanya kazi kama mwalimu wa Kiswahili ila ukimuuliza mada yoyote juu ya sayari, anga za...
3 Reactions
2 Replies
259 Views
Tanganyika Packers LTD, Kawe, Dar es Salaam 1945-1975. Kilikuwa kiwanda cha kuchakata na kusindika nyama kwa ajili ya kuuza ndani na nje ya nchi. Eneo la Mloganzila (Muhimbili) lilikuwa ni eneo...
31 Reactions
46 Replies
2K Views
Katika usafiri wa Sgr, umelenga watu wanafanya kazi maofisini tu. Kwa mfano mtu kama fundi Umeme au Fundi makenika Hawa watu wanavifaa vya chuma au Mafundi Bomba. Ukifika katika ukaguzi...
0 Reactions
13 Replies
527 Views
Wakuu kuna jambo naomba tuwekane sawa, haswa kwa wale ambao wameshakaa nchi tofauti tofauti kuna taarifa nimeiona huko USA, kuna watu wanaishi kwenye magari kwasababu hawana uwezo wakulipa pango...
24 Reactions
138 Replies
5K Views
Basi kwa kushare positive energy kama ilivyokusaidia chumvi ya mawe, wasaidie wengine ushuhuda wako na namna nzuri ya kuitumia kuleta matokeo bora. Nyuzi zimeandikwa, makala zimeandikwa, videoz...
1 Reactions
3 Replies
400 Views
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), leo Desemba 10, 2024 kinaungana na wadau kuadhimisha siku ya Haki za Binadamu Duniani, ambapo maadhimisho hayo yanaenda sambamba na mjadala unaoangazia...
0 Reactions
0 Replies
188 Views
Wakati Shule zikiwa zinafungwa kwa kumaliza mwaka wa masomo lakini kuna baadhi ya Shule za msingi zinaratibu utaratibu wa Wanafunzi kutokwenda likizo badala yake wanashinikiza kuendelea na masomo...
2 Reactions
33 Replies
1K Views
Mawasilino na binamu Mimi....Hongereni binamu kwa uchaguzi huko nyumbani. Binamu....Asante ndugu yangu ,nilikuambia hatuwezi kukubali kutangaza mpizani hata kama ameshinda. Binamu....Zengwe...
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Najua ni mtendaji mzuri haswa, naamini Bado tunahitaji huduma yake, Toka ateuliwa kuanzia kuwa mwenezi hadi mkuu wa mkoa wa Arusha nimekuwa nikimfatilia. Inaonekana RC Makonda ana kidonda na...
4 Reactions
22 Replies
967 Views
Watendaji wa serikali mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia miongozo ya matumizi ya fedha za umma ili kufanikisha mipango ya serikali inayolenga kuimarisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi. Wito...
1 Reactions
0 Replies
121 Views
Back
Top Bottom