Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Katikati ya Ureno, kuna muundo wa miamba ambao unakinzana na matarajio yote ya kisayansi.. Upinde wake wa kustaajabisha na usio na dosari unazua swali—ni nini hasa kinaendelea hapa? Je, hii...
2 Reactions
3 Replies
133 Views
Dar nilipaona pazuri sana. Ila baada ya kuhamia huku mkoani aisee nimetokea kupachukia sana dar. Dar unakuwa na hela ila matumizi mengi na ya ajabu. Vurugu nyingi. Mfano mimi kulala dar ilikuwa...
34 Reactions
76 Replies
2K Views
Japo ndio kiumbe mwenye akili kuliko wenzake hapa Duniani. Ila kwa maisha yake yote anagharamia. Lazima, alipie maji, nyumba, umeme, mavazi, chakula, usafiri, matibabu , mapenzi n.k. Yaani...
7 Reactions
24 Replies
329 Views
Wadau wa JamiiForums, Habari Zenu! Hivi umeshawahi kusikia msemo "Mafanikio yako yanategemea mawazo yako"? Au labda "Acha kulala, fanya kazi kwa bidii, tajiri mkubwa analala saa 3 usiku na...
7 Reactions
40 Replies
585 Views
Anonymous
Hivi karibuni tatizo la kukatika kwa umeme mkoa wa Mtwara limekuwa kubwa na kero kwa wananchi. Mkoa wenye gas asilia na makaa ya mawe lakini tatizo la umeme limekithiri. Najiuliza wakazi wa...
0 Reactions
1 Replies
164 Views
Watu wengi wanamsikia Shetani, na wanaamini yupo, lakini hawajui yeye ni nani, alitoka wapi, anafanya nini na malengo yake ni nini. Ifuatayo ni “CV” yake. Imeandikwa kwa Kiingereza. Ukiona lugha...
25 Reactions
201 Replies
5K Views
Serikali imetangaza kuwa uwekezaji katika Reli ya Standard Gauge (SGR) umeanza kulioa, huku takriban Sh15.7 bilioni zikizalishwa katika kipindi cha miezi minne tangu kuanzishwa kwa reli hiyo ya...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Hivi hatuezi kuacha kurushiana Risasi? Tukae chini tushikamane tuimbe nyimbo za amani. Wenye njaa wasaidiwe, wasio na mavazi wavishwe, ambao hawana makazi wapate Makazi? Kwani ni lazima vita...
2 Reactions
11 Replies
146 Views
Yaani Haya Maisha Bwna. Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata. Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba...
79 Reactions
276 Replies
6K Views
  • Redirect
Imagine mzazi analipishwa ada milioni 3. Mzazi huyo ni mteja wa hiyo shule anaepeleka faida ya mamilioni ya hela kwenye shule. Lakini mwanae anateseka hapo shuleni ila mzazi anakuja kulia lia na...
2 Reactions
Replies
Views
Maisha ya kijijini.. Mandhari za kuvutia sana.. Changamoto kiduchu.. Wote mnafamiana.. Hakuna gesti za wageni au ni chache na hizo chache hazina shorttime na hazina vibao vya vyumba vimejaa😀
10 Reactions
72 Replies
1K Views
Wakuu habari, Naulizia benki gani inanunua deni kutoka HESLB? Msaada.
4 Reactions
8 Replies
158 Views
Utafiti wa Kisayansi Wathibitisha: Wakristo ni Watu Wenye Furaha Zaidi Utafiti wa kisayansi unaoendelea unathibitisha kuwa Wakristo mara kwa mara huripoti viwango vya juu vya furaha na kuridhika...
7 Reactions
17 Replies
275 Views
"Nadharia ya Farasi Aliyekufa" ni sitiari ya dhihaka inayoonyesha jinsi baadhi ya watu, taasisi, au mataifa hushughulikia matatizo ya wazi yasiyoweza kutatuliwa. Badala ya kukubali ukweli...
2 Reactions
12 Replies
235 Views
Leo nimetembela kijijini kama ilivyoada kwa sisi tunaoishi kijamaa basi hupata muda wa kukagua maendeleo ya watoto tunaowakuta hapo nyumbani. Nimeshangaa sana kuzikuta mada za mtoto wa darasa la...
7 Reactions
32 Replies
2K Views
Wakuu, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa utabiri wa mvua kubwa katika Mikoa ya Kigoma, Katavi, Tabora, Singida, Dodoma, Simiyu, Mara, Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Kagera, Geita...
5 Reactions
35 Replies
1K Views
Shura ya Maimamu Tanzania KUTOKA MAHAKAMA KUU LEO TAREHE 4/3/2025 MASHEIKH 12, WATOKA GEREZANI. WATANO NI FAMILIA MOJA YA ULATULE. MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, (2015-2025), kwa...
20 Reactions
215 Replies
7K Views
Kuna kitu mie kinanitatiza sana jamani hivi kwenye utawala wa magufuli iwe ni Busisi au Kamanga, kwa kupitia vivuko hivi hivi tunavyoambiwa havitoshi sasa hivi mbona tulikuwa hatukalishwi kiasi...
0 Reactions
0 Replies
37 Views
Wadau wa Jamiiforums, tuzungumze kwa ukweli mchungu! Leo naomba tusahau unafiki na tuweke uzalendo kando kwa dakika chache. Tukubali tusikubali, Watanzania wengi wana IQ ndogo! Na hili si tusi, si...
6 Reactions
11 Replies
278 Views
Divorce rates have no relation with literacy, this is one interesting data in the world, better have a girl in India rather than Spain.
4 Reactions
5 Replies
154 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…