Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Imekuwa ni kama fashini sasa Mtoto mdogo kabisa mwenye miaka 9 au 12 anakuletea barua kutoka shuleni inasomeka mtoto aanze kwenda boarding kwasababu masomo yanaanza saa kumi na mbili asubuhi...
0 Reactions
4 Replies
167 Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la ufugaji wa samaki Kanda ya Ziwa na hasa Jiji la Mwanza. Masoko mengi jijini Mwanza yamejaa hawa samaki wanaofugwa na ndiyo wanauzika kwa wingi. Ninaomba kuelemishwa...
1 Reactions
0 Replies
80 Views
Zab 103:10 SUV [10] Hakututenda sawasawa na hatia zetu, Wala hakutulipa kwa kadiri ya maovu yetu. Kupitia mstari huu tunaona kitu kikubwa sana kwa Mungu anachokifanya kwetu, inaonyesha wazi vile...
3 Reactions
6 Replies
98 Views
  • Closed
Katika mifungo hii ya kwaresima na mwezi wa Ramadhani kitimoto hauziki wakuu. kuna sehemu moja hapa kitaa ilikuwa hailali wala kutoboa hadi saa7 usiku bado ipo labda kama wamechinja nguruwe...
2 Reactions
6 Replies
114 Views
Zab 101:6 SUV [6] Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi, Hao wakae nami. Yeye aendaye katika njia kamilifu, ndiye atakayenitumikia. Kupitia andiko hili tunapata mtazamo wa Mungu juu ya...
3 Reactions
13 Replies
178 Views
Kundi la nchi za BRICS linaendelea kupanuka, na likiwa sasa limeongeza nchi washirika mwezi Januari mwaka huu wa 2025, baada ya kuingiza wanachama wapya mwaka jana. Sasa kundi hili lina takriban...
4 Reactions
4 Replies
180 Views
Ujenzi wa majengo mapya katika Hospitali ya Mji wa Babati umefikia asilimia 98 kutokana na ufuatiliaji wa karibu wa Halmashauri ya Mji wa Babati. Haya yamebainishwa na Mkurugenzi wa Halmashauri...
1 Reactions
5 Replies
121 Views
MWANAMKE TEGEMEZI ASIYE NA KAZI HUWEZI SEMA ANAKUHESHIMU AU KUKUTII. HESHIMA INATOKA KWA MTU ANAYEJITEGEMEA NJE YA HAPO TEGEMEA UNAFIKI Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kwa Sisi tusiopenda...
4 Reactions
10 Replies
194 Views
Jumla ya watu 16003 wakazi wa vijiji 30 wilayani Rufiji mkoani Pwani wamenufaika na msaada wa kisheria bila malipo kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria wa Mama Samia. Hayo yamebainishwa na...
1 Reactions
4 Replies
100 Views
Mkurugenzi wa Boston Consulting Group,Edward Lupasa ambao wanajihusisha na ushauri wa masuala ya kibiashara hususani kodi na kufanya uchechemuzi kwa vijana na Wanawake katika nyanja ya maendeleo...
1 Reactions
2 Replies
146 Views
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kushirikiana na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wameanzisha kituo cha umahiri (Centre of Excellence) cha usalama barabarani, hatua...
2 Reactions
4 Replies
135 Views
Afrika imegeuzwa kuwa ghala la mataifa ya nje. Madini yanachimbwa, misitu inakatwa, wanyama wanauzwa kama burudani kwa watalii, mito na maziwa yanavuliwa mpaka hakuna cha kuvua tena, lakini...
2 Reactions
2 Replies
91 Views
Anonymous
Habari wanajamvi wote wa Jamii Forums, Naomba kushea nao maumivu waliyonayo baadhi ya waliokuwa wafanyakazi wa Mamlaka ya BAndari Tanzania (TPA) ambao walikutwa na kadhia ya kusimamishwa kazi kwa...
2 Reactions
6 Replies
278 Views
Amewataka waislamu wawajari
5 Reactions
46 Replies
1K Views
Linapo kuja swala la MAMA hauwezi ukasema unaimani/una matumaini nae, kitendo hicho kinakuwa sio sawa kwasababu unakua hauna hakika nae... Na wala haitakiwi umuelewe kwasababu inatafsirika kama...
2 Reactions
2 Replies
92 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limepiga marufuku wananchi kuandamana baada ya uwepo wa taarifa ya kuhamasisha maandamano inayotajwa kutolewa na Mwenezi wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA)...
1 Reactions
2 Replies
97 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema mwanamke ni mbegu, tunu, chachu, faraja, dira, mbunifu na shujaa katika familia na katika kuongoza taifa kwa ujumla endapo akipewa nafasi...
3 Reactions
6 Replies
95 Views
Wadau wa Jamiiforums, Salamu Zenu! Kama kuna kitu kipo wazi kama jua la mchana ni kwamba mafogo (matajiri) wanafikiria tofauti na sie wa kawaida. Kuna watu wanasema eti "tajiri akisema ni mchana...
7 Reactions
17 Replies
512 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…