Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ukitaka kupunguza tatizo la msongamano Kariakoo ondoa wakinga, wachaga na watanzania wenye asili za kihindi, kiarabu, kisomali, kichina, n.k.. hawa ni almost asilimia 70 ya biashara za Kariakoo...
3 Reactions
41 Replies
1K Views
ZE AKILI ZANGU ZA ASUBUHI LIVE U KNOW: ..Hii picha nilipiga loongtime ago in the 90s nikiwa Seamen au Baharia (Ass. Engineer) katika meli ya "MV. LUXEMBOURG" ya kampuni ya Celestie Belgique...
11 Reactions
42 Replies
8K Views
Habari, Naomba ushauri wenu au mwnye changamoto kama yangu anaikabili vipi? Kwa ufupi, me huwa nasahau majina ya ndugu/jamaa/marafiki punde tu baada ya kutengana(hata kwa week) Hili swala...
0 Reactions
1 Replies
129 Views
Leo, Disemba 6, 2024, basi lililokuwa limebeba wabunge waliokuwa wakielekea kwenye mashindano ya michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali katika eneo la Mbande, Kongwa...
2 Reactions
3 Replies
461 Views
Anonymous (0df3)
Umeme umekuwa na tatizo kubwa sana Maeneo ya Mbezi na Kimara umekuwa unakatika na kurudi mara kwa mara, na kuna muda unarudi unawasha taa tu, hauwashi hata Fridge wala AC kwa kuwa unajua kinaweza...
0 Reactions
20 Replies
895 Views
Hakika Maisha yana mambo mengi ya kushangaza na kustaajabisha sana,kuna mambo ambayo huenda hukuyategemea ukakuta yanatokea katika namna ambayo hukutarajia kabisa Unapovuka daraja na kwenda...
6 Reactions
6 Replies
238 Views
Kadinali huchaguliwa na nani na vigezo vyake ni vipi?
0 Reactions
3 Replies
243 Views
Wadau salama, CCM hoyee. Huwa nina tabia ya kupiga story na wazee watu wazima kidogo. Sasa kuna huyu amebakiza kama miezi sita ya kustaafu kazi ya utumishi wa umma. Anaitwa mzee Shayo, anasema...
13 Reactions
66 Replies
3K Views
Kuna kampuni moja inaitwa Qnet ni kampuni tanzu ya Qi company,ni biashara ya mtandao makao yake makuu yapo Hong kong,wana deal na kuuza saa,vifaa tiba n.k. ni hivi wanashawishi watu wakope na...
72 Reactions
1K Replies
257K Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita kimepata pigo baada ya diwani wake wa Kata ya Nyaruyeye Halmashauri ya Geita, Malimi Saguda kufariki dunia. Malimi ameshika nafasi ya udiwani kwa vipindi...
0 Reactions
0 Replies
248 Views
Kulingana na kuongezeka kwa matukio ya utekaji nyara nchini, nitoe wito kwa watanzania wenzangu kwamba sisi kama nchi tunasheria za ukamataji na hakuna aliye juu ya sheria Endapo ukiona mtu...
2 Reactions
15 Replies
578 Views
Elimu ni tendo au uzoefu wenye athari ya kujenga akili, tabia ama uwezo kimaumbile wa mtu binafsi katika dhana ya kiufundi. Elimu ni njia moja wapo ambayo hutumiwa kimakusudi na jamii kupitisha...
2 Reactions
294 Replies
22K Views
Natoa wito kwa Watanzania wenzangu wote wenye upendo na kuthamini uhai na haki za binadamu wenzao. Imetokea mara kadhaa kwamba watu wanatekwa, wanapiga kelele kuomba msaada lakini watu wanaangalia...
7 Reactions
8 Replies
399 Views
Wakuu, Wafanyabiashara wa Kariakoo wamemchagua Mwenyekiti wao mpyA anayeitwa Severini Mushi aliyepata kura 229 akimshinda, Martin Mbwana aliyekuwa akitetea kiti hicho ambaye amepata kura 12...
3 Reactions
14 Replies
657 Views
Baadhi ya wakazi wa Dodoma wamepata hasara na usumbufu baada ya mvua kubwa kunyesha kwenye maeneo yao na kisha maji kuingia ndani na kuharibu mali mbalimbali. Soma Pia: TMA yatangaza mvua za siku...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Wakuu.. Katika kipindi hiki cha mwezi December watanzania wengi wanakuwa katika hekaheka za kusafiri sehemu tofauti wakifurahia maisha baada ya miezi 11 ya purukushani za kutafuta riziki. Wewe...
5 Reactions
29 Replies
1K Views
Wakuu nataka kufanya biashara ya kuuza protein powder suppliments kama Mass gainer, amino core etc naomba kujua wapi nitapata hizi suppliments kwa bei nafuu kwa ajili ya kuuza? Anayejua hili...
0 Reactions
16 Replies
454 Views
Mhe. mbunge, Andrew Chenge, akiwasili katika Mahakaman ya Kinondoni leo asubuhi kusikiliza hukumu yake.Umati uliokuwa ukifutilia hatima ya Chenge uliokuwepo mahakamani hapo asubuhi. Chenge...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hakuna kitu kibaya sana humu duniani kama shida" Haichagui mtu siku wala mwaka oohh, Haina katu taarifa shida uingia bila hodi Si mtoto wala mkubwa iko shida-aa, Kila siku shida shida haishi hadi...
1 Reactions
0 Replies
127 Views
Ni nini kitatokea katika hili? iwapo hawa wamiliki hawatapatikana au ndo Chenge atakuwa hana kesi ya kujibu??? na je wao imekuwaje wawe watuhumiwa wakati ndo waligongwa???. Au wameshapewa kitu na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom