Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mkazi wa Kitongoji cha Kiswanya, Mkoa wa Morogoro nchini Tanzania Amina Mapunda (26), alijifungua nje ya kituo cha polisi baada ya kutolewa mahabusu alikokuwa akishikiliwa kwa tuhuma zilizomhusu...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 na mitaala ya elimu toleo la 2023 utaanza kwa awamu mwakani, huku walimu watakaofundisha shule ya msingi wakipaswa kuwa na stashahada ya...
14 Reactions
180 Replies
17K Views
Basi limezidisha abiria na konda analeta dharau. Natakiwa kutoa taarifa wapi na namba zao ni zipi?
6 Reactions
47 Replies
2K Views
Harakari za uumbaji wa mwanadamu kiimani na utata unaojitokeza yapi maswali ya kujiuliza kwa kina. Je nani mwenye majibu yake au nani anaweza kutujibia. Ndugu zangu. A) Uumbwaji wa mwanamke na...
1 Reactions
43 Replies
1K Views
Majira ya Asubuhi ya leo Desemba 4, 2024, iliripotiwa kuwa Treni ya Abiria ya Kisasa (SGR) iliyokuwa ikitokea Dar kuelekea Dodoma imekwama katika Stesheni ya Kilosa Mkoani Morogoro kwa...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
ZAHANATI MPYA KUFUNGULIWA LEO KIJIJINI NYABAENGERE, KATA YA MUSANJA Utoaji wa Huduma za Afya waendelea kuboreshwa ndani ya vijiji vya Jimbo la Musoma Vijijini. Kata ya Musanja yenye vijiji...
0 Reactions
0 Replies
120 Views
Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna MCHAGA amewahi kutapeliwa MILIONI SITA NA KUPEWA SANDUKU wacha nikufahamishe;- Katika hali isio kuwa ya kawaida kuwahi kutokea duniani, Mwanaume mmoja...
18 Reactions
78 Replies
3K Views
Naomba nikiri hoja yangu imelenga kuleta hoja vijana wajitume na sio kuwa ombaomba ilihali wana nguvu. Mwaka 2023 mwezi wa 5 nikiwa natembea maeneo ya Ubungo jirani na NBC bank alikuja kijana...
17 Reactions
89 Replies
6K Views
Nimemsikiliza balozi wa Uingereza nchini Tanzania anayemaliza muda wake David Concur anasema wazalishaji wengi wa Tanzania wanashindwa kulihudumia soko la ndani kwa sababu bidhaa za kuagiza ni...
14 Reactions
136 Replies
3K Views
Anonymous (4ca3)
Mtaa wa Buganda, Kata ya Mkolani, Wilaya ya Nyamagana - Mwanza. Barabara ya Mtaa ni mbovu sana, watoto wanateseka kwenda shule, watu wenye magari hawayatumii tena, Bodaboda wamepandisha nauli...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Mtu hadi anapofikia kuitwa mmhamiaji haramu tena kwa wale wanavyoonekana hawana pesa ya kumlipa mtu awasafirishe kwa V8, Hii ni issue huenda ipo nyuma ya mtu fulani, either watu hawa wanapelekwa...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Jeshi la polisi Mkoani Iringa kwa kushirikiana na Jeshi la uhamiaji limekamata Watu 16 Raia wa Ethiopia wakisafirishwa kwa kutumia gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 katika eneo la Msitu wa...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi? Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari. Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana...
18 Reactions
54 Replies
1K Views
Wimbi la magari ya kifahari kutumika kusafirisha wahamiaji haramu kutoka Ethiopia, linazidi kushika kasi nchini na safari hii gari linalodaiwa kuwa la Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
6 Reactions
82 Replies
4K Views
Dajjal Au Kwa Jina La Kiingereza Antichrist;Huyu Ni Kiumbe Atakayeibuka Zama za Mwisho Wa dunia Na Kudai Kuwa Yeye Ni Mungu. Katika Vitabu Vya Dini Vinasema Hakuna Nabii Yoyote Alopita Bila...
32 Reactions
442 Replies
27K Views
Oktoba 28, 2023, Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akiwa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera alielekeza Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) - Kagera kumsimamia Mkandarasi M/s Abemulo...
1 Reactions
2 Replies
589 Views
Tabora Manispaa umeme unakatika sana bila mpangilio na hakuna taarifa yoyote, wanakata mchana na usiku, mjini kati, Ipuli, Isevya na maeneo mengine umene unakatwa ovyo ovyo. Siku haiishi bila...
1 Reactions
8 Replies
543 Views
Kwenye wimbo wa nipeni maua yangu wa msanii Roma kuna mstari unasema hivi: Askofu mfufua wafu anaiba kura za mpinzani atashindwaje kuiba sadaka za waumini kanisani. Mchungaji akitaka gari...
0 Reactions
2 Replies
238 Views
Imekuwa kawaida kwa Makonda wa mabasi ya safari za mbali kukaa au kusimama pembezoni mwa kioo cha mbele, wana nin'giniza sura zao bila kuzingatia usalama wao. Dereva pamoja na abiria ni lazima...
11 Reactions
99 Replies
3K Views
Tatizo la upungufu wa nguvu kazi linazidi kuwa kubwa duniani, na halikuwa tatizo la ghafla bali linatokana na mabadiliko ya kijamii na kisiasa ambayo yamekuwa yakijitokeza kwa muda mrefu. Kwa...
1 Reactions
2 Replies
280 Views
Back
Top Bottom