Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

  • Redirect
Can hupa ya maji ya plastiki yenye kifuniko cha bluu. Ina lebo yenye maandishi yanayosema "RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA" na "Hongera Mh. Rais." Inaonekana kuwa ni bidhaa maalum...
0 Reactions
Replies
Views
Anonymous
Ndugu zangu, kuanzia Mbezi mwisho kwenda Goba na mitaa yake (Kwa Robert, Muhimbili, Mageti n.k) maji ni changamoto karibia wiki ya pili sasa. Na hili joto tunaishia kuoga jasho tu, mamlaka husika...
2 Reactions
8 Replies
165 Views
Mbona kwenye ile nchi ya Colombia utapeli na kutojali ni kama vile sehemu ya maisha karibu kila nyanja? Kwa mfano, mtu ametoka jimbo moja kwenda jimbo lingine kutazama mechi ya dabi, amekata...
1 Reactions
1 Replies
86 Views
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala ametoa wito kwa viongozi kuhakikisha wanawasaidia vikundi mbalimbali ili wajue namna bora ya kutimiza vigezo vya kupata mkopo wa aslimia 10 unaotolewa...
1 Reactions
2 Replies
49 Views
Hebu mtazame mama huyu kutoka kitongoji cha Luami, wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Tangu anazaliwa mpaka anakua mtu mzima anashuhudia wanawake kama yeye wakitembea umbali wa kilomita 5...
2 Reactions
3 Replies
83 Views
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, ametoa rai juu umuhimu wa nchi za Afrika kushirikiana na kuibua Wagunduzi wake ili kuzalisha teknolojia yake badala ya kuendelea kuwa tegemezi. Dkt...
1 Reactions
3 Replies
73 Views
Nchi za Africa kw High income, Upper Middle income, lower middle income na low income
2 Reactions
3 Replies
103 Views
Ni muhimu kuthibitisha kila picha unazokutana nazo mtandaoni zikihusishwa na matukio tofautitofauti ili kupata uhalisia kabla ya kuendelea kuwasambazia wengine. Kumbuka unapofanya uhakiki wa...
3 Reactions
4 Replies
302 Views
Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, ametoa kiasi cha fedha shilingi milioni 10 kusaidia kukamilisha ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Majengo, Kata ya Ilenza, ambayo ujenzi wake...
1 Reactions
4 Replies
106 Views
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Mhe Juma Chikoka amezindua utoaji wa Huduma za Afya kwenye Kituo kipya cha Afya cha Kata ya Makojo (vijiji vya Chimati, Chitare na Makojo) Jimbo la Musoma Vijijini...
1 Reactions
3 Replies
70 Views
Huyu mwenzenu ameshasema "Count me out", amesema yeye kubeba zege, kulima bado sana, hayo tuachiwe wanaume. Kumbuka kauli mbiu ya mwaka huu ni “Kwa Wanawake na Wasichana Wote. Usawa. Haki na...
4 Reactions
14 Replies
198 Views
1. Tumesikia na kushuhudia timu za Simba naa Yanga zikipigwa fainj na TFF kwa wachezaji wake kuingia uwanjani kwa kuruka ukuta eti kwa kisingizio chaa kuukwepa uchawi. Pia viongozi na mashabiki...
4 Reactions
10 Replies
243 Views
Wakuu, Akiwa kwenye maashimisho ya kitaifa ya siku ya wanawake, Rais Samia amesema kuwa pamoja na harakati za usawa baina ya mwanamke na mwanaume zinazoendelea lakini huwa kuna mambo hayana usawa
0 Reactions
3 Replies
382 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amekipongeza Chuo cha Uhasibu Arusha pamoja na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma...
1 Reactions
2 Replies
75 Views
Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Mheshimiwa Ummy Mwalimu, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha shilingi bilioni 10 kwa ajili ya...
1 Reactions
4 Replies
127 Views
Katika miaka ya hivi karibuni, ugonjwa wa misplaced priorities umekuwa janga sugu miongoni mwa Watanzania. Tunaishi kama watu waliopoteza dira—tukisherehekea anasa na matumizi ya kipuuzi huku...
2 Reactions
2 Replies
105 Views
Anonymous
Uongozi wa CHASO yaani Chadema students Organization umeshuhudia uvunjifu wa Sheria unaoenda kufanyika katika chuo cha Mwalimu Nyerere baada ya kufatilia ilo uongozi uliandika barua kwenda kwa...
4 Reactions
5 Replies
166 Views
Ni masaa kadhaa tangu shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, TFF kutoa taarifa rasmi ya kuahirishwa kwa mchezo na 178 wa ligi kuu Tanzania bara huku mashabiki na wadau wa soka nchini wakiachwa...
1 Reactions
2 Replies
158 Views
Hili tatizo la hawa watoto waliokosa malezi bora kwenye familia zao (Panya Road) linazidi kuwa kubwa siku hadi siku. Sababu kubwa wahusika wanadili na matawi, badala ya kuchimbua mizizi ili shina...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…