Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna maswali huwa najiuliza bila majibu. Hivi kama kampuni ina jumla ya thamani ya shillingi Billion kumi, na ina jumla ya hisa 10 ( kila hisa ina thamani ya bilioni 1). Na hiyo kampuni kwa...
11 Reactions
236 Replies
27K Views
Na WAF - Ruvuma Waziri wa Afya Mhe. Jesnista Mhagama amesema kiwango cha maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua kutoka asilimia 18 mwaka 2010 hadi asilimia...
0 Reactions
0 Replies
144 Views
Kwa mvumo wa upepo wa historia, CCM inasimama, mwanga na kivuli, Katika shingo za wanyonge, majuto na matumaini, Pamoja na machungu, bado ni kimbilio. Mwarobaini wa taifa, au nadharia ya...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) ametoa wito kwa Wazazi, Walezi na Walimu kuwalea, kuwaandaa na kuwafundisha Wanafunzi katika misingi ya nidhamu bora na tamaduni za kitanzania ili iweze...
0 Reactions
0 Replies
176 Views
Katika uhalisia ndani ya uchaguzi kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu pamoja na ukiukwaji wa sheria za uchaguzi ikiwemo kuwaandikisha watoto chini ya miaka 18 kinyume cha sheria...
1 Reactions
2 Replies
188 Views
Kwema wanajamii? Naombeni mawazo kidogo, nikifika nyumbani mtandao unasumbua hivyo kuhusu suala la kuwa online linakuwa gumu. Kuna njia gani naweza tumia ili niweze endelea kuwa online?
3 Reactions
15 Replies
427 Views
Hii ni baada ya kukumbwa na hitilafu
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Leo nimewapeleka wateja wanne toka Mozambique kwenda Zanzibar Jana wakati nakata tiketi zao wakasema wanahitaji abcd, Tukapeleka zote Leo wamepanda boti kwenda Zanzibar wanafika wanazuiwa...
4 Reactions
9 Replies
572 Views
Habari za mchana huu. Dah nimelifuatilia tangazo la YAS na MIXX BY YAS. Yaani chini ya sekunde sitini mtu anakupa content ya maana na kueleweka. Maana mpaka sasa kwa matangazo ya kwetu hasa...
4 Reactions
4 Replies
694 Views
Ni katika kituo cha kupigia kura Mivumoni madale Majira ya asubuhi vituo vinafunguliwa! Polisi wanawathili kwa ajili kuhakikisha ulinzi na usalama wa raia na mali zao (kura zao) Masanduku ya...
25 Reactions
32 Replies
2K Views
Uchaguzi ukifanyika mnatumika bila aibu badala ya kusimamia haki. Watetezi wenu mnawatesa wakipigania haki zenu kama vile vichwani hamna ubongo bali tope! Mnatuhumiwa kuwateka na kuwatesa na...
5 Reactions
6 Replies
456 Views
Jeshi la Polisi Nchini limesema katika kushiriki Maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia kwa Mwaka 2024 litashirikiana na Wadau mbalimbali kufanya Maadhimisho hayo katika Kanda...
0 Reactions
0 Replies
237 Views
Habari yenu wana jamvi. Kuna mikopo ambayo huwa inatolewa na serikali kupitia hazina Kila mwaka kwenye halmashauri zetu. Sasa nimefukuzia huo mkopo Miaka 3 sasa bila mafanikio hata sijui huwa...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Sehemu wanazopendelea Kukaa majini. Ikumbukwe kuwa majini walipopigwa na kufukuzwa,hawakuzuiwa kuendelea kuishi katika mgongo wa ardhi,Laa hasha! Bali walitawanywa na kuzuiwa kuishi katika...
0 Reactions
9 Replies
820 Views
Salaam. Moja kwa moja kwenye mada. kwa ufupi kuna kipindi fulani nilikuwa na kipindi kigumu sana. Kuna kaka mmoja kaka wa rafiki yangu akaniunganishia kazi hapa Dar es Salaam. Ila wakati napata...
12 Reactions
44 Replies
1K Views
Maisha lazima yaendelee. Ni kauli za wafanyabiashara kwenye maghorofa mawili yaliyo pembeni ya lile lililoporomoka katika soko la Kariakoo ambao sasa wanaendelea na shughuli zao za kibiashara...
1 Reactions
0 Replies
193 Views
Roman Empire ilikuwa na nguvu sana ndio maana mpaka leo inaendelea kutawala dunia.
13 Reactions
166 Replies
4K Views
Mpaka sasa hivi milioni mbili yangu hata sijui ntaipataje Msitumie huu mtandao kama mnapenda pesa zenu
1 Reactions
2 Replies
264 Views
Aisee kama mwanadamu ndiye ameletwa kuja kutawala dunia kwanini tunaviogopa baadhi ya viumbe kama nyoka,simba,chuo,tempo na baadhi ya viumbe? Na kwanini? Napatwa na hasira nyingi kujiuliza kwanini...
1 Reactions
12 Replies
353 Views
Tangu mtandao ubadili jina yaani ni majanga tupu. Ni zaidi ya lisaa sasa, huduma ya Mixx by Yas (zamani Tigo pesa) haipo hewani. Sio kwa menu ya kawaida wala kwenye App yao. Nilikuwa nilipie...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom