Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wazazi tunapishana kweli niko gari la Goba nyuma kabisa naona katoto ka shule kanachat Nakauliza umetoka shule ndio darasa la ngapi form 2. Unaruhusiwa kuwa na simu shulen ndio nawekaga silent...
8 Reactions
23 Replies
773 Views
Huyu jamaa licha ya kwamba alikuwa akifanya kazi private lakini alisimama kidete kuwatetea madaktari wanaofanya kazi serikalini mishahara ipande. Kama madaktari wangekaza mpaka sasa mshahara wa...
22 Reactions
95 Replies
3K Views
Moja kati ya silaha kubwa sana ya wanasiasa kuwabakiza madaraka pale mambo yao yanapoenda kombo basi huwa ni jeshi la polisi. Polisi ukiondoa yale mavazi yao na wao ni wananchi wa kawaida tu...
2 Reactions
9 Replies
294 Views
Kwema wakuu Hali ya maisha imekuwa ngumu, imenibidi niingie google chapu kuangalia namba yangu ya bahati labda ntatoboa Ila nilichokutana nacho nimepagawa nikasema nije nililete kwenu wakuu...
17 Reactions
148 Replies
6K Views
Maeneo ya Buza, hususan Mwembeyanga, yamegeuka kuwa kitovu cha changamoto kubwa za kimazingira. Mtaro wa maji machafu unaoanzia Mwembeyanga hadi karibu na Kituo cha Daladala cha Usalama...
3 Reactions
21 Replies
779 Views
Swali kutoka kwa mdau kuhusi hizi imani tatu, Uislamu, Ukristo na kwa Mganga Naomba kuwasilisha bila kuongeza kitu chochote. Nawasilisha.
2 Reactions
30 Replies
684 Views
Kwa siku za karibuni kumekuwa na tabia kwa wanasiasa kuanza kuingilia uhuru na haki yetu ya kuchagua maisha ya kuishi na ambayo hayavunji sheria za taasisi yoyote. Kutokana na...
1 Reactions
0 Replies
103 Views
Wanabodi, Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa. Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate. Hii...
24 Reactions
365 Replies
7K Views
Bibi mmoja aliyefahamika kwa jina la Anna amefariki dunia Septemba 3, 2024 akiwa na miaka 132 ambapo mamia ya watu wamekusanyika kumuaga katika Kijiji cha Huruma eneo la Uru Kaskazini – Moshi...
41 Reactions
143 Replies
5K Views
Dawa za kulevya zimekuwa tatizo kubwa linalohatarisha ustawi wa taifa letu. Athari zake hazijaathiri tu watumiaji binafsi bali pia jamii nzima. Uporaji wa ndoto na maisha ya vijana, kuzorota kwa...
3 Reactions
5 Replies
434 Views
Na mwandishi, Manyara. Taasisi isiyokua kiserikali ya Mati Foundation yenye lengo la kusaidia jamii ,wahitaji na makundi maaalumu ikiwemo wenye ulemavu iliyoko chini ya kampuni ya Mati Super...
2 Reactions
0 Replies
231 Views
Ndio maana tunaambiwa tusijenge mazoea. Nakumbuka hawa vijana walifanikiwa kutengeneza Drama kama hii mwanzoni na Diamond akafunga safari hadi Zanzibar kwenda kumuomba Zuchu msamaha wakati ana...
3 Reactions
2 Replies
290 Views
1. Dhamana za muda mfupi zinaitwa Tresury Bonds au T bills✅ 2. Ni uwekezaji kama wa hisa✅ 3. Hazina kodi ✅ 4. Huwezi chukua muda wowote✅ 5. Zinauzwa siku maalumu✅ 6. Ni za serikali siyo...
0 Reactions
0 Replies
290 Views
Hili ni suala linalogusa hisia za wengi, hasa inapokuja kwenye uwajibikaji wa serikali na tija ya Tume zinazoundwa mara kwa mara. Ni kweli kuwa Tume zimekuwa sehemu ya utamaduni wa kushughulikia...
1 Reactions
5 Replies
279 Views
Wakuu, kupitia uzi wangu wa UTT nimejifunza kuhusu T bills au Dhamana ya serikali za muda mfupi. Ninachojua ni Mnada kama wa fedha! MWENYE UJUZI WA DHAMANA YA MUDA MFUPI ASHUSHE NONDO...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Sanaa yenyewe hii hapa Mnada mmoja huko New York, Marekani, umeuza Sanaa iliyopewa jina la Comedian. Kazi hiyo ya sanaa imetengenezwa na msanii Maurizio Cattelan, na imeuzwa kwa dola za...
3 Reactions
20 Replies
918 Views
Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii. Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua...
11 Reactions
73 Replies
3K Views
Ule mradu wetu wa bwawa umefika asilimia ngapi?
2 Reactions
3 Replies
290 Views
Mwaka ujao nitajitahidi nifike pale Israel nikajionee jinsi Mji wa Daudi na Ushahidi wa Kihistoria na Kibiblia, gharama za kuingia kufanya ziara ni shekeli 45-60 sawa na 30,000-40,000 ya...
8 Reactions
44 Replies
1K Views
Kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 nchini, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendesha mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo Waandishi wa Habari mkoani...
0 Reactions
1 Replies
328 Views
Back
Top Bottom